Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Mkuu hapa kuna umuhimu ukatoa maelezo hasa mifano ya kampuni bus la baraka linafanikiwa moro-masasi, maning nice, pia ukadadavua potentiality ya Nachingwea in one? Baraka Ana Bus aina ya HIGHER. briefs kuhusu abiria, Nauli Zake fluctuations za passengers, motivational factors za flow btn Point A na B Predominant livelihood activities kama stimuli ya kibiashara na etc.Nashauri aina ya bus yutong ruti ifanye ya Dodoma hadi Mtwara au Masasi.Kama inawezekana tafuta basi ambalo lina choo ili kusiwe na tatizo la kusimama Mara kwa Mara abiria wakichimba dawa.Ruti nyingine ni Nachingwea to Morogoro.
Ukishamaluza process zote njoo inbox nikupe mchongo wa ruti Babu kubwa,ni ya kijania.Palipo na nia pana njia
Ni ndoto yangu ya muda mrefu ya kua na kampuni kubwa ya mabasi ya usafirishaji abiria.
Hivyo basi pamoja na maombi yenu ninaomba pia tusaidiane kushirikishana je ni ruti ipi ambayo ina uhitaji mkubwa wa mabasi au ruti ipi ambayo nitapiga hela kisawasawa.
Baada ya mapendekezo nitakuja kuleta mrejesho na kampuni yangu mtaijua.
Hilo la kwanza, jambo la pili, kwa sasa kampuni ipi nzuri ya kuagiza ama kununua mabasi (luxury), je YUTONG, au ZHONGTONG, pia naomba unapotaja ruti ya basi, pia pendekeza njia hio je YTONG itaweza au zingine, pia na bei zake. Na ni namna gani ya kuagiza.
Shukrani.
Hajui hata kampuni n zhongtong climber[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]angejua shughul anayoipaata mwekezaji asingesema[emoji1787][emoji1787] mkuu naona ww ni mnazi wa mwekezaji
Mfano kama Shabbiby ama Abood wanakaa kwenye soko kwa muda mrefu kutokana na uwekezaji wao wa ruti ya Dom to Dar sio ndefu ni fupi,basi linapata muda mwingi wa kupumzika na kufanyiwa service,sasa wewe unapeleka chombo Mwanza kinaingia Usiku saa 5,Halafu saa 11 alfajiri chombo ichoicho kinageuza dar kwanini mpaka hapo usifirisike.Shukran mkuu, nmechukua ushauri wako
Nmegundua wenye ruti fupi fupi wanafanikiwa sana kwenye business
Okey boss.Ukishamaluza process zote njoo inbox nikupe mchongo wa ruti Babu kubwa,ni ya kijania.
Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
Weka route ya Sumbawanga-Dodoma via Mbeya and Iringa.Palipo na nia pana njia
Ni ndoto yangu ya muda mrefu ya kua na kampuni kubwa ya mabasi ya usafirishaji abiria.
Hivyo basi pamoja na maombi yenu ninaomba pia tusaidiane kushirikishana je ni ruti ipi ambayo ina uhitaji mkubwa wa mabasi au ruti ipi ambayo nitapiga hela kisawasawa.
Baada ya mapendekezo nitakuja kuleta mrejesho na kampuni yangu mtaijua.
Hilo la kwanza, jambo la pili, kwa sasa kampuni ipi nzuri ya kuagiza ama kununua mabasi (luxury), je YUTONG, au ZHONGTONG, pia naomba unapotaja ruti ya basi, pia pendekeza njia hio je YTONG itaweza au zingine, pia na bei zake. Na ni namna gani ya kuagiza.
Shukrani.
Hiyo route imeshajaa tena yapo yanaanzia hadi mbinga.Chukua higer ndo gari zilizopo sokon zinanzia mil 300, root anzisha dodom to songea kuna kipind kulikuwa hakuna hii ruti lkn pia ksakazin anzisha mosh to mpwapwa/kongwa/ ushindan sio mkubwa na pia ni lam tupu, kuhusu uagizaj kuna jamaa namjua huwa anafanya hiyo mishe ya kununua gar na anazileta tz
So kwa kifup biashara ya mabasi usitegemee basi moja, kukuletea mengine, angalau uwe na hata matatu ya kuanzia, kuna mtu alianza na tata moja toka tanga to dar, lilipoanza kusumbua alipaki ikawa hasara mwingine pia alikuwa njombe alikuwa na basi kubwa mbili za dar zinapishana njian, badae moja iliharibika ikawa inapiga moja, abiria walikuja kupukutika kama majan
So jipange kuanzia tatu angalau bila pressure kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ruti via wapi?Nashauri aina ya bus yutong ruti ifanye ya Dodoma hadi Mtwara au Masasi.Kama inawezekana tafuta basi ambalo lina choo ili kusiwe na tatizo la kusimama Mara kwa Mara abiria wakichimba dawa.Ruti nyingine ni Nachingwea to Morogoro.
Hii route n dume sana,anahtaj bus dume piaWeka route ya Sumbawanga-Dodoma via Mbeya and Iringa.
Pia weka njia ya Kigoma-Mbeya via Mpanda and Sumbawanga.
Mwisho weka njia ya Sumbawanga-Songea-Mbinga.
Mwisho weka route ya Mbeya-Sumbawanga- Mpanda.
Karagan iringa dar alikuwa nazo mbili zilipukutikaChukua higer ndo gari zilizopo sokon zinanzia mil 300, root anzisha dodom to songea kuna kipind kulikuwa hakuna hii ruti lkn pia ksakazin anzisha mosh to mpwapwa/kongwa/ ushindan sio mkubwa na pia ni lam tupu, kuhusu uagizaj kuna jamaa namjua huwa anafanya hiyo mishe ya kununua gar na anazileta tz
So kwa kifup biashara ya mabasi usitegemee basi moja, kukuletea mengine, angalau uwe na hata matatu ya kuanzia, kuna mtu alianza na tata moja toka tanga to dar, lilipoanza kusumbua alipaki ikawa hasara mwingine pia alikuwa njombe alikuwa na basi kubwa mbili za dar zinapishana njian, badae moja iliharibika ikawa inapiga moja, abiria walikuja kupukutika kama majan
So jipange kuanzia tatu angalau bila pressure kubwa
Sent using Jamii Forums mobile appk
Hujui raha ya kukaa na pisi kali siti moja utatamani usifikeKwa kuwa mabasi mengi ya Bongo yana siti za 2 by 2 kwa sasa.
Nakushauri jaribu kuleta mabadiliko kwa kuleta mabasi yenye siti za 2 by 1. Yaani upande mmoja wa basi kunakuwa na siti mbili mbili, huku upande mwingine ukiwa siti moja moja. Kampuni ya mabasi ya TAHMEED, baadhi ya mabasi yao yana mfumo huu wa siti.
Abiria wengine kama mimi napenda kupanda mabasi ya TAHMEED kwa kuwa napenda kukaa siti ya peke yangu. Nikiwa safarini huwa sipendi kupiga stori na mtu nisiyemfahamu na pia sipendi kubanana na mtu mwingine, hasa ukizingatia siti za mabasi mengi ni ndogo, japokuwa mimi siyo bonge.
Hata ikibidi abiria anayetaka siti ya peke yake nauli yake iwe juu kidogo. Inakuwa First Class.
Hyo namba 4 naikataa,,fatilia imekuwaje BM akateka soko la kaskazini alaf uje hapa uongeeHii ni biashara nzuri lakini adui mkubwa wa hii biashara ni kama ifuatavyo
1)madereva wa Tanzania ni wa hovyo kama huamini muulize Sumry
2)unazi na ushabiki wa kijinga
3)usipende ligi wala kushindana na mtu
4)Waambie madereva wako wafate sheria waende na muda
5)Dar-iringa Dar-morogoro Dar-Singida Dom - mikoa ya kusaini Dar-Mbeya tafuta ruti ambazo ni lazima watu wataenda huko.
6)Unazi acha unazi na ushabiki na mambo ya wapiga debe tafuta wasimamizi na dereva mzuri
7) Jitahidi uwe na mafundi wako na gereji yako ya uhakika hakikisha gari inapata sevisi mara kwa mara itaifanya idumu kama unabisha muulize Abood na Kilimanjaro express zile gari zao za zamani tena namba ni A zinapatje nguvu ya kuopiga ruti ndefu kama dar-mwanza
8)Tafuta gari ambayo spea zake zinapatikana kwa urahisi
MAGARI
~scania hizi ni gari imara sana kama huamini muulize city boy ya dar- Karagwe na spea zake zipo na uhakika
~ TATA hapa nazungumzia TATA ultra star bus kama bara bara ni ya vumbi hizi chombo ni hatari na nusu (TATA zote kwa ujumla ni roho ya paka)
~Kuna zile zinachongwa hapa hapa Tanzania na zenyewe ni hatari kama unabisha muulize MAJINJAH na Simba mtoto
~HIGER
~leyland,MAN na IVECO [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama unataka gari za kazi kazi ndio izo roho ya paka izo kazi kazi miaka kama yote kikubwa matunzo
Kama unataka gari luxury sana chukua za wachina
~Asian Star
~Golden dragon
~zhongtong
~Yutong
NB:mimi sio mnazi wa Sauli [emoji2509] wala golden deer [emoji3069] nimetoa ushauri tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maendeleo hayana chama
Moshi Mpwapwa? Hiyo route akipata abiria wengi ni watatu.Chukua higer ndo gari zilizopo sokon zinanzia mil 300, root anzisha dodom to songea kuna kipind kulikuwa hakuna hii ruti lkn pia ksakazin anzisha mosh to mpwapwa/kongwa/ ushindan sio mkubwa na pia ni lam tupu, kuhusu uagizaj kuna jamaa namjua huwa anafanya hiyo mishe ya kununua gar na anazileta tz
So kwa kifup biashara ya mabasi usitegemee basi moja, kukuletea mengine, angalau uwe na hata matatu ya kuanzia, kuna mtu alianza na tata moja toka tanga to dar, lilipoanza kusumbua alipaki ikawa hasara mwingine pia alikuwa njombe alikuwa na basi kubwa mbili za dar zinapishana njian, badae moja iliharibika ikawa inapiga moja, abiria walikuja kupukutika kama majan
So jipange kuanzia tatu angalau bila pressure kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata waliokuwa wanapanda hizo gari, nilikuwa nawatafakari sana!Karagan iringa dar alikuwa nazo mbili zilipukutika
Kila anaeshindwa biashara ya bus, lawama wanatupiwa madereva wa kitanzania..Hii ni biashara nzuri lakini adui mkubwa wa hii biashara ni kama ifuatavyo
1)madereva wa Tanzania ni wa hovyo kama huamini muulize Sumry
2)unazi na ushabiki wa kijinga
3)usipende ligi wala kushindana na mtu
4)Waambie madereva wako wafate sheria waende na muda
5)Dar-iringa Dar-morogoro Dar-Singida Dom - mikoa ya kusaini Dar-Mbeya tafuta ruti ambazo ni lazima watu wataenda huko.
6)Unazi acha unazi na ushabiki na mambo ya wapiga debe tafuta wasimamizi na dereva mzuri
7) Jitahidi uwe na mafundi wako na gereji yako ya uhakika hakikisha gari inapata sevisi mara kwa mara itaifanya idumu kama unabisha muulize Abood na Kilimanjaro express zile gari zao za zamani tena namba ni A zinapatje nguvu ya kuopiga ruti ndefu kama dar-mwanza
8)Tafuta gari ambayo spea zake zinapatikana kwa urahisi
MAGARI
~scania hizi ni gari imara sana kama huamini muulize city boy ya dar- Karagwe na spea zake zipo na uhakika
~ TATA hapa nazungumzia TATA ultra star bus kama bara bara ni ya vumbi hizi chombo ni hatari na nusu (TATA zote kwa ujumla ni roho ya paka)
~Kuna zile zinachongwa hapa hapa Tanzania na zenyewe ni hatari kama unabisha muulize MAJINJAH na Simba mtoto
~HIGER
~leyland,MAN na IVECO [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama unataka gari za kazi kazi ndio izo roho ya paka izo kazi kazi miaka kama yote kikubwa matunzo
Kama unataka gari luxury sana chukua za wachina
~Asian Star
~Golden dragon
~zhongtong
~Yutong
NB:mimi sio mnazi wa Sauli [emoji2509] wala golden deer [emoji3069] nimetoa ushauri tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Maendeleo hayana chama