Ukitaka kupiga hesabu rahisi, chukua hyo 1000 kanunue box la viberiti uza kila siku box moja kwa muda sawa na ambao sawa na kuweka stock mchele.......Aisee ...wewe itakuwa umezoea biashara ya kubet,bangi au Unga....yaani Hapo huoni ni faida!????
ukitaka kupiga hesabu rahisi, chukua hyo 1000 kanunue box la viberiti uza kila siku box moja kwa muda sawa na ambao sawa na kuweka stock mchele.......uone hyo elfu moja itakuwa imekuingizia sh ngapi ndani ya huo muda then ulinganishe na biashara ya kuweka stock uone km INA tija!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eeh ...wabongo wengi hatujui umuhimu wa cashflow inayozunguka kwa kasi! .....tunapiga mahesabu ila tunasahau kitu muhimu zaidi kuliko hta hela which is TIME!.Kuna biashara zingine mtu kwa siku 7 anauhakika wa kupata laki 8 faida...every week...sasa kwa mwez huyu ana 2.4m...sasa ww umeweka mchele wako kwa miez hiyo yote uje uambulie 700@kg! Sijajua kwanini watu hatutaki badililka..wewe nunua mchele uza ..nunua uza hata ukipata faida ya 200@/sio mbaya!umedadavua vyema kbs
U gat my point...sasa ukikusanya kilo 600 sanasana utasumbukia 2-3m for 6mths! Ndo ukichaa naomanisha mie
Niko kwa miaka 10 sasa... Nna idea kidogo! ThanksUnaonekana ni mtu wa business sana, napenda michango yako!
Kuna biashara zingine mtu kwa siku 7 anauhakika wa kupata laki 8 faida...every week...sasa kwa mwez huyu ana 2.4m...sasa ww umeweka mchele wako kwa miez hiyo yote uje uambulie 700@kg! Sijajua kwanini watu hatutaki badililka..wewe nunua mchele uza ..nunua uza hata ukipata faida ya 200@/sio mbaya!umedadavua vyema kbs
Point, hizo Mia mbili mbili atazikusanya nyingi Sana ndani ya miezi sita kuliko asubirie 700 kwa miezi sita. Wahindi wametajirika na biashara za faida 200-300 zenye mzunguko
Sent using Jamii Forums mobile app
Soko kubwa liko dar ,,kupeleka nje kwasasa imekuwa tabu,sababu ya Hawa wanaofunga funga mipakaMimi natafuta soko la mchele nianze kununua,nikipata connection naanza mzigo
Mchele baada ya miezi kama mitatu, lazima wadudu waingie tu,tofauti na mpungaMchele kuhifadhiwa hauharibiki?
Mchele baada ya miezi mitatu, kuna wadudu weupe wa mchele wataanza kuingia!!! Kama una tunza ni bora utunze mpunga.Poleni wanaJF kwa majukumu na mapambano ya CORONA tukumbuke kufuata maelezo ya wataalam.
Kama kichwa cha Habari kinavyoele naomba ushauri wenu wataalam wa Biashara ya Mazao. Nataka kununua mchele wa mwaka huu niuhifadhi niuze hapo baadaye.
Je, kuna athari yoyote?
Sasa hivi no Tsh 1200-1300 Michele mpya.
Unafikiria kunua kilo moja tu? Mwenzako labda anafikiria kununua magunia 500. Manake ni kilo 100*500=50000. Hapo kwa shs 1000 ya faida, jumla kwa hizo kilo ni shs milioni 50 kwa mwaka. Umempata sasa? MILIONI 50 faida kwa mwaka. Kazi kwako kutafakariHivi unanunua mchele let say kwa 1000@kg! May...then dec uje uuze kwa 1800-2000@kg! Means nahangaikia 1000@kwa miezi yote hiyo!!!!!!!!
Asante kumpa ushauri. Kwani hao wadudu hawaingii kwenye mpunga?Mchele baada ya miezi mitatu, kuna wadudu weupe wa mchele wataanza kuingia!!! Kama una tunza ni bora utunze mpunga.
Kuna jamaa yangu kaweka milioni 500 ya kukusanya mpunga tu,,yaani mwaka huu watu wenye pesa ndefu nao wameingia kukusanya mpungaUnafikiria kunua kilo moja tu? Mwenzako labda anafikiria kununua magunia 500. Manake ni kilo 100*500=50000. Hapo kwa shs 1000 ya faida, jumla kwa hizo kilo ni shs milioni 50 kwa mwaka. Umempata sasa? MILIONI 50 faida kwa mwaka. Kazi kwako kutafakari
Mpunga unakaa Sana, binafsi nilikaaga na mpunga store miaka miwiliAsante kumpa ushauri. Kwani hao wadudu hawaingii kwenye mpunga?
Mkuu hilo gunia ulilonunua kwa 60000/kuuza90000 ni gunia la debe sita?Nina uzoef sana na hiyo biashara,mwaka jana nlinunua gunia 200 mwezi wa sita kwa sh 60000@ gunia nikauza mwezi wa pili mwaka huu kwa 90000 kwa gunia,kwakweli faida yake ni ndogo ukitoa cost zote japo huwezi kupata hasara!
Wadudu waharibifu kwa mpunga ni panya tAsante kumpa ushauri. Kwani hao wadudu hawaingii kwenye mpunga?
200×30000=6,000,000 kwa miezi 12 ni sawa na kujilipa 500,000 kila mwezi.Sio mbaya inalipa kama sio mtu wa tamaa za vikubwa.Nina uzoef sana na hiyo biashara,mwaka jana nlinunua gunia 200 mwezi wa sita kwa sh 60000@ gunia nikauza mwezi wa pili mwaka huu kwa 90000 kwa gunia,kwakweli faida yake ni ndogo ukitoa cost zote japo huwezi kupata hasara!