Umedhamiria icho unachosema ,au ni maelekezo Toka kilingeni?Weekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.
Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa
Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...
DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Nilishawahi kua na mahusiano na na pisi albino. Ni binadamu tu kama binadamu wengine hasa ktk yale mambo yetu. Na wakipenda hua wanapenda kweli. All the best!
Asee sio wasaliti kama Hawa wengine?Nilishawahi kua na mahusiano na na pisi albino. Ni binadamu tu kama binadamu wengine hasa ktk yale mambo yetu. Na wakipenda hua wanapenda kweli. All the best!
Vyuo gan kesho niombee likizo ya bila malipommh,lazima tukutilie mashaka wenda una lako jambo,nenda vyuoni wapo sana
Shukran Mkuu kama huon hapa umeandikajeMimi nikutakie heri ndugu yangu. lakini, kwa ninavyofahamu jamii zetu hapa tanzania bado kuna changamoto kubwa ya kuelewa namna gani ya kuishi na watu wenye ulemavu katika mahusiano.
bado elimu ni ndogo juu ya hali mbalimbali sza ulemavu. mimi binafsi ni mtu asiyeona. kwa hiyo, .ninakupa uzoefu binafsi nioliyo nao. hivyo ni muhimu ukafahamu huyo mwenza unaetaka kuwa naye namna ya kuishi na changamoto zake za ulemavu na namna bora ya kuishi nazo,.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Tangu nipo mdogo ndio lengo languUmedhamiria icho unachosema ,au ni maelekezo Toka kilingeni?
WapiTafuta wapo
Likizo ya mwezi wa nne nitaenda hapoKuna pisi moja ipo SAUT, sema raia wameila sana mpaka imechakaa. Wakati inaingia chuo ilikuwa inawaka. Nenda Mwanza chuo cha SAUT ipo. Ni maarufu sana
HahahahaTuma barua chama cha maalbino tanzania utawapata weng
Sasa ole wako umuoe, alaf afe ndani ya muda mfupiTangu nipo mdogo ndio lengo langu
Jamen mbona kunitisha, mm napenda tu walivyo sio kwamba Kwa ajili ya kafaraSasa ole wako umuoe, alaf afe ndani ya muda mfupi
Na sisi tunapenda aishi. Sasa ole wakoJamen mbona kunitisha, mm napenda tu walivyo sio kwamba Kwa ajili ya kafara
Enjoy her challenges and risksWeekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.
Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa
Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...
DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Daah sawaNa sisi tunapenda aishi. Sasa ole wako
Kwa hapa mwanza ni wengi sana,ila huo moto ulionao sijui kama siyo maelekezo ya mgangaVyuo gan kesho niombee likizo ya bila malipo
ndugu nakuwshukuru kwa swali lako zuri. ni kweli kabisa mimi ni mtu asiyeona. ni kwamba siweszi kuyaona maandiwshi katika mtandao huu bali ninatumia simu au computer yenye kisoma skrini yaani screen reader kusoma yaliyoandikwa katika kioo au display ya simu yangu au komputa yangu.Mkuu umeandika kuwa hauoni, je umewezaje kusoma na kuandika hapa JF, tafadhali naomba unipe elimu ama ujuzi huu
pitia post ya juu hapo utaona nimemjibu jamaa namna ninavyoandika na kutumia mtandao huu.Shukran Mkuu kama huon hapa umeandikaje