Nataka kuoa albino

Nataka kuoa albino

Weekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.

Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa

Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...

DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Umedhamiria icho unachosema ,au ni maelekezo Toka kilingeni?
 
Nilishawahi kua na mahusiano na na pisi albino. Ni binadamu tu kama binadamu wengine hasa ktk yale mambo yetu. Na wakipenda hua wanapenda kweli. All the best!

Nilishawahi kua na mahusiano na na pisi albino. Ni binadamu tu kama binadamu wengine hasa ktk yale mambo yetu. Na wakipenda hua wanapenda kweli. All the best!
Asee sio wasaliti kama Hawa wengine?
 
Mimi nikutakie heri ndugu yangu. lakini, kwa ninavyofahamu jamii zetu hapa tanzania bado kuna changamoto kubwa ya kuelewa namna gani ya kuishi na watu wenye ulemavu katika mahusiano.
bado elimu ni ndogo juu ya hali mbalimbali sza ulemavu. mimi binafsi ni mtu asiyeona. kwa hiyo, .ninakupa uzoefu binafsi nioliyo nao. hivyo ni muhimu ukafahamu huyo mwenza unaetaka kuwa naye namna ya kuishi na changamoto zake za ulemavu na namna bora ya kuishi nazo,.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Shukran Mkuu kama huon hapa umeandikaje
 
Weekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.

Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa

Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...

DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Enjoy her challenges and risks
 
Mkuu umeandika kuwa hauoni, je umewezaje kusoma na kuandika hapa JF, tafadhali naomba unipe elimu ama ujuzi huu
ndugu nakuwshukuru kwa swali lako zuri. ni kweli kabisa mimi ni mtu asiyeona. ni kwamba siweszi kuyaona maandiwshi katika mtandao huu bali ninatumia simu au computer yenye kisoma skrini yaani screen reader kusoma yaliyoandikwa katika kioo au display ya simu yangu au komputa yangu.
kwa kukupa maelezo zaidi ni kwamba, kisomaskrini ni aina ya programu tumizi ambazo hutumia sautii kumuwezesha mtu asiyeoona au kjua kusoma na kuandika aweze kutumia simu. mfano kama unatumia simu ndani ya simu yako kuna talkbacgk. hii ni kwa watumiaji wa sium za android. iphones ni voice over. winhdows computers inatumia narretor. kuiwasha kwenye computer yako press windows key pamoja na u.
karibbu kwa maswali zaidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom