Nataka kuoa albino

Nataka kuoa albino

Kanda ya ziwa huwa wamejaa sana sijui wanapapenda sana kule
Albnism ni genetics mkuu. Ni mambo ya kibiologia kama wazazi mna/ana genes hizo mtamzaa tu.
Makabila mengine zamani ilikuwa wakizaa albino wanamuangamiza kabla hajajulikana na watu baadae wanatoka na majibu "flani alijifungua mtoto ikawa bahati mbaya" na makabila jamii ya kifugaji kama mang'ati, maasai na hata wailaq huwezi kumkuta albino kabisa kwani wao huchukulia kama mkosi na mama ikitokea kajifungua kwanza watamkimbia huyo kichanga na kuhama kabisa eneo husika na kuna uwezekano mwanamke kuachika kwa mume.

Kanda ya ziwa mambo ya kunyanyapaa kiumbe wa Mungu haipo hata aje na maajabu gani.
 
Mkuu DALALI MKUU kuna binti mmoja mrembo na anajipenda kaenea kila idara. Kama upo serious naweza kuku connect nae isipokuwa asipatwe na majanga ya kutilia shaka juu ya uhai wake usije ukansababishia matatizo nikaingia hatiani.
 
Huna lolote ww masharti ya mganga hayo
 
Mimi nikutakie heri ndugu yangu. lakini, kwa ninavyofahamu jamii zetu hapa tanzania bado kuna changamoto kubwa ya kuelewa namna gani ya kuishi na watu wenye ulemavu katika mahusiano.
bado elimu ni ndogo juu ya hali mbalimbali sza ulemavu. mimi binafsi ni mtu asiyeona. kwa hiyo, .ninakupa uzoefu binafsi nioliyo nao. hivyo ni muhimu ukafahamu huyo mwenza unaetaka kuwa naye namna ya kuishi na changamoto zake za ulemavu na namna bora ya kuishi nazo,.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huoni Mkuu?
 
Weekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.

Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa

Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...

DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Unataka ukamdalalie mtoto wa watu ety eeh.
 
ndugu nakuwshukuru kwa swali lako zuri. ni kweli kabisa mimi ni mtu asiyeona. ni kwamba siweszi kuyaona maandiwshi katika mtandao huu bali ninatumia simu au computer yenye kisoma skrini yaani screen reader kusoma yaliyoandikwa katika kioo au display ya simu yangu au komputa yangu.
kwa kukupa maelezo zaidi ni kwamba, kisomaskrini ni aina ya programu tumizi ambazo hutumia sautii kumuwezesha mtu asiyeoona au kjua kusoma na kuandika aweze kutumia simu. mfano kama unatumia simu ndani ya simu yako kuna talkbacgk. hii ni kwa watumiaji wa sium za android. iphones ni voice over. winhdows computers inatumia narretor. kuiwasha kwenye computer yako press windows key pamoja na u.
karibbu kwa maswali zaidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu...daaa
 
ndugu nakuwshukuru kwa swali lako zuri. ni kweli kabisa mimi ni mtu asiyeona. ni kwamba siweszi kuyaona maandiwshi katika mtandao huu bali ninatumia simu au computer yenye kisoma skrini yaani screen reader kusoma yaliyoandikwa katika kioo au display ya simu yangu au komputa yangu.
kwa kukupa maelezo zaidi ni kwamba, kisomaskrini ni aina ya programu tumizi ambazo hutumia sautii kumuwezesha mtu asiyeoona au kjua kusoma na kuandika aweze kutumia simu. mfano kama unatumia simu ndani ya simu yako kuna talkbacgk. hii ni kwa watumiaji wa sium za android. iphones ni voice over. winhdows computers inatumia narretor. kuiwasha kwenye computer yako press windows key pamoja na u.
karibbu kwa maswali zaidi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Vipi mahusiano yako na jamii? Unajumuika na watu au mda mwingi upo pekeyako? Umeoa au una mpenzi?
 
Pole sana mkuu...daaa
Naomba nikujibu kwenye eneo hili kwa kusema kwamba unaweza kunipa pole ni mojawapo ya ishara za upendo lakini kwa upande wangu imechezwa ahali yangu na najisikia furaha amani na ninaishi maisha ya kawaida kama watu wengine na aminatha tumikia taifa la tanzania kama wanavyofanya watu wengine isipokuwa itahitaji msaada kiasi fulani ili litekeleze majukumu yangu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Vipi mahusiano yako na jamii? Unajumuika na watu au mda mwingi upo pekeyako? Umeoa au una mpenzi?
Nina watoto wawili lakini kwa sasa nipo kwenye mahusiano mapya ambayo bado ni machanga kwa hiyo siwezi sema mengi juu ya hilo hivyo kifupi ni kwamba nina mahusiano na linashiriki kwenye mambo mengi tu ya kijamii mahali ninapoishi

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom