Nataka kuoa albino

Nataka kuoa albino

Naomba nikujibu kwenye eneo hili kwa kusema kwamba unaweza kunipa pole ni mojawapo ya ishara za upendo lakini kwa upande wangu imechezwa ahali yangu na najisikia furaha amani na ninaishi maisha ya kawaida kama watu wengine na aminatha tumikia taifa la tanzania kama wanavyofanya watu wengine isipokuwa itahitaji msaada kiasi fulani ili litekeleze majukumu yangu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Asante nimetambua vyema sasa
 
Tanzania ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na watu wengi wenye albinism na kanda ya ziwa ikiwa ndiyo kinara.

Ni ndugu zetu tuwapende na tujamiiane nao kikamilifu.
 
Weekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.

Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa

Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...

DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Unabiashara nao mbona wapo kibao tu
 
sio kweli juu ya habari hizi. binafsi ninawafahamu wengi tu ambao wemekwiwsha kufariki tayari. hizi ni baadhi ya imani potofu tu mkuu zilizojengeka toka zamani.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wazee wa zamani wanaposha kuwa hawafi wamapotea, ili siku wakiwaua kutokana na ushirikina, watu wafikiri kapotea.
 
Yaan wewe unavyochukulia huyo albino ni kama mbuzi kwamba kwa bei yoyote ile nitanunua tu unadhani wao hawana choice? hata kama wangekuwa ni kabila flani au dini flani (nikimaanisha wingi) bado ingekuwa vigumu kumpata labda uishi mazingira yale lkn kwa kuambiwa tu nenda Arusha utampata mmasai, nenda kilimanjaro utampata mchaga.
 
Duuh watoto wako unawatambuaje?
Watoto wangu ninaweza kuwatambua kwa kuwasikia sauti au nikiwagusa pale wanapokuwa karibu na mimi. kwa kifupi ni kwamba acha nikufahamishe kuwa unapopoteza uwezo wa kuona unapata nguvu kubwa ya kutumia masikio na maeneo mengine yenye hisia kwenye mwili wako. hasa ngozi. hivyo kwa watu kama sisi masikio ni kifaa kikubwa ambacho kinatusaidia. kwa karibu kila kitu mimi nikikusikia wewe kama mara tano siwezi kukupotea sauti yako. kabisa nimekuwa nikifundisha zaidi ya wanafunzi elfu moja mpaka sasa na karibu wote ninakumbuka sauti zao.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Yaan wewe unavyochukulia huyo albino ni kama mbuzi kwamba kwa bei yoyote ile nitanunua tu unadhani wao hawana choice? hata kama wangekuwa ni kabila flani au dini flani (nikimaanisha wingi) bado ingekuwa vigumu kumpata labda uishi mazingira yale lkn kwa kuambiwa tu nenda Arusha utampata mmasai, nenda kilimanjaro utampata mchaga.
sijakuelewa Mkuu unaongea kama umepaniki sana
 
Back
Top Bottom