Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Mkuu Oa Mmachame hapo..... 😛😛😛😎😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana anachagiza kutuchosha tu anavojua kuchambua wanawake leo ashindwe kuchagua !! Sidhani kama yupo siriaz
Njoo ule utumbo wa kitimoto hapa kwa mangiMbona simple olewa ww bro, humu ukimtoa da mau na Equation x unafata ww kwa fix
Mbinu kali sana hiiWaunge wote group moja, waache wagombane atakaebaki muoe huyo huyo.
Iko namna gani unajuwa, unaeza sema hujui uchague yupi uowe kumbe unazidi kuwa masikini maana Mana sio chini ya wanawake 26 unadate nao na wote omba omba. Hapo huezi piga hatua hata mojaNdugu zangu
Nina wapenzi wakike wengi sana mpaka sijui nichague yupi awe mke wangu
Wanawake wangu wanatokea makabila haya na wote nimenyandua baadhi yao wanajuana katika kufumaniwa hapa na pale ila wengine hawajuani kabisa
*Muha-2
*Mhehe-2
*Mchaga wa kimachame -4
*Mchaga wa kirombo-2
*Mchaga wa kimarangu-2
*Mchaga wa kibosho-1
*Mmasai-2
*Msukuma-1
*Mpare-2
*Mrangi-6
Nataka kuoa ila kichagua mmoja na yupi wa kuweka ndani nitulie nimeshindwa kabisa. Naona nafsi yangu imefungwa kila nikitizama list yangu naona wanazidiana nabaki kuendelea kicheza nao tuu kwenye uzinzi
Nisaidieni nitoke huku ndugu zangu nioe walau nitulie hata kidogo.