Nataka kuoa ila nina wanawake wengi mpaka sijui nioe yupi kwa kweli

Mkuu Oa Mmachame hapo..... πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜Ž
 
Unataka si tufanyeje pumbavu wewe.
Watu tunajaza treni ya tazara na kigoma watoto wa kike na wala hatuoni nongwa.
 
Oa wamachame 6 pamoja na warangi 6 halaf hapo ongeza na muha 1. Uatakuja kunipa majibu yake hapa mkuu
 
Iko namna gani unajuwa, unaeza sema hujui uchague yupi uowe kumbe unazidi kuwa masikini maana Mana sio chini ya wanawake 26 unadate nao na wote omba omba. Hapo huezi piga hatua hata moja

Sasa na hapo ulipo Eka warangi 6 una maana gani ? umewadsrespect warangi inabidi uombe msamaha.... Maana mm Nina demu wa kirangi ambae kumuita demu ni makosa maana natakiwa nimuite waifu Nina miaka mitatu na nimesotea penzi lake, na ni miaka nne tangu anikubalie shuwaini ww... Na mm ni mchaga
 
Uongo tu wanawake wote hao uwapate wapi na unavyojua kulia njaa? wanawake Matunzo bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…