Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume

Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Mkuu usije ukamruhusu kwenda kusahihisha mitihani ya mock au necta (mwezi mmoja na wiki mbili)
Huo muda wote ni wa kuliwa na watasha huko.
(Nina jamaa ana mke mwalimu)
Anapitia kipindi kigumu sana.
 
Kumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe. [emoji30]
hii inatokana na mazingira ya kazi ya mtu mpenzi. kudeal na watoto wa watu au wagonjwa lazima kwanza uwe umejitoa kwenye nafsi, japo haimaanishi sekta nyingine hawadumu kwenye ndoa.
 
Mkuu usije ukamruhusu kwenda kusahihisha mitihani ya mock au necta (mwezi mmoja na wiki mbili)
Huo muda wote ni wa kuliwa na watasha huko.
(Nina jamaa ana mke mwalimu)
Anapitia kipindi kigumu sana.

Duuuh htr hii, so hata mahead masta watakuw wanakula basi
 
Walimu wa zamani sawa manake ulikuwa ni with. Ila hawa wa sasa ambao wameenda ualimu sababu NI failures thubutuu... Ndio mabingwa wa kudanga hata kwa wanafunzi wao wenye vijisenti.
Ha ha ha
 
Back
Top Bottom