Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni askari aisee,vipi hapo am I a wife material??? [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wewe taaluma yako ni ipi mrembo ?
Ana hela?
walimu wana tabia ya kufokea fokea wanaume wao
Mkuu usije ukamruhusu kwenda kusahihisha mitihani ya mock au necta (mwezi mmoja na wiki mbili)Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
hii inatokana na mazingira ya kazi ya mtu mpenzi. kudeal na watoto wa watu au wagonjwa lazima kwanza uwe umejitoa kwenye nafsi, japo haimaanishi sekta nyingine hawadumu kwenye ndoa.Kumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe. [emoji30]
Kumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe. [emoji30]
Hakikisha alifaulu vizuri masomo yake ya o'level na high school
Wewe taaluma yako ni ipi mrembo ?
hawa hapana aiseeeh. viburi + ujuaji.Ni sawa na kuoa dem mwanasheria unaexpect nn?
Sio poaaaaaMimi ni askari aisee,vipi hapo am I a wife material??? [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ebu niambie wanasheria wana shida gani?Ni sawa na kuoa dem mwanasheria unaexpect nn?
Mkuu usije ukamruhusu kwenda kusahihisha mitihani ya mock au necta (mwezi mmoja na wiki mbili)
Huo muda wote ni wa kuliwa na watasha huko.
(Nina jamaa ana mke mwalimu)
Anapitia kipindi kigumu sana.
Hawa watu wana akili sana ila mpka uwaelewe lazima nawe uwe konkii kichwani...vinginevyo mtakutana mahakamanihawa hapana aiseeeh. viburi + ujuaji.
Ha ha haWalimu wa zamani sawa manake ulikuwa ni with. Ila hawa wa sasa ambao wameenda ualimu sababu NI failures thubutuu... Ndio mabingwa wa kudanga hata kwa wanafunzi wao wenye vijisenti.
hawa hapana aiseeeh. viburi + ujuaji.