Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #61
Ha ha ha mi nataka hao hao mbona obama kaoa michele ..
Usifananishe mwanasheria wa bongo na nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha mi nataka hao hao mbona obama kaoa michele ..
Watu wanaoa kazi, pesa au makalio makubwa siku hizi tabia njema ni mwiko kwa kizazi chetu cha akina Marioo[emoji87]
ww umeoa mwanasheria mkuu?Mambo gani jamani mbona kuna ndoa za wanasheria wengi tu.acheni uoga vijana pambaneni sheria zake kazini kwake kwako ni mke tu....wanaume tambueni mamlaka yenu..akileta fyokofuoko unatia kelebu moja matata anatulia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi tumejaa walimu maslahi, karibu sana ila tupo vizuri sanaaaa, yaani wife material kabisaa hutojutia.
Cc Heaven Sent
Hela na mwenza wa maisha vinahusianaje sasa..?Hamna hela...
Swadakta kabisaKwani urongo swahiba?
Na Wanawake walimu wenyewe wamekuwa na viburi sana kupitia udhaifu tunaohadithiana mitaani kuwa wana maadili bora kumbe looh!
Ndio bwana
Swaiba umejificha sana wiki hii. [emoji41]Swadakta kabisa
Hamna hela...
Ushawahi skia speech za Michelle utafananisha na vya huku .........acha utaniKumbuka na JK pia kachukua ticha
Maticha si mchezo
Kumbuka na JK pia kachukua ticha
Maticha si mchezo
Swahiba mie niko tu mbonaSwaiba umejificha sana wiki hii. [emoji41]
Tena wa UPE.Wewe ni mwalimu?
Hamna kitu kumbe
Poa. Takupitia mida pale pa siku zote.Swahiba mie niko tu mbona
Okay poa..Poa. Takupitia mida pale pa siku zote.
Kuna m1 nilikuwa nikimpigia simu akiwa anasoma chuo cha Sauti alikuwa hapokei simu na akipokea hadi ajiskie na utetezi wa kuwepo discussion ni kila siku, niliachia ngazi cha kufia nini nakati sioi kazi bali naoa tabia njema...[emoji119][emoji87]
Tena wa UPE.
Mara 5 na kuachika.Ushaolewa??[emoji2357]