interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Watu wanaoa kazi, pesa au makalio makubwa siku hizi tabia njema ni mwiko kwa kizazi chetu cha akina Marioo[emoji87]
Kumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe. [emoji30]