Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Kwao songea ni familia isiyopenda makuuSuala la ndoa linategemea sana utamaduni wa familia husika iwe kimila au kidini.
Ukishafahamu hayo ongea na wazee wa jamii ya hiyo familia unayotaka kwenda kuoa watakupa muongozo,pia muulize huyo binti atakupa info zaidi nini familia yake inahitaji ili kukamilisha suala la ndoa.
Kila jema.
DahMax Nzengeli amesajiliwa kutoka tim gan?
I Inategemea na unaemuoa piaKuoa ni ufara na ni upumbavu
Kiongozi, Mimi nilikuwa nawapinga Sana wazee wa KATAA NDOAI Inategemea na unaemuoa pia
Hilo sipingi kaka lakn huyu naetaka kuoa nishakaa nae miaka 3 na sina kitu lkn tunaishi na changamoto zipo nyingi tu kama jeur dharau na mambo mengne meng tu lkn nishamzoea tena hana kipya atafanya ntakua sjakiona kwake kwahyo nimeona bora huyu ninaemjua kuliko kutafuta gumegume lingineKiongozi, Mimi nilikuwa nawapinga Sana wazee wa KATAA NDOA
Nilikuwa hawana hoja isipokuwa ni porojo
Nikajitahidi kuchagua vigezo vyangu muhimu na nikasema nimelamba dume
Baada ya kuoa sasa, Ndio naona rangi halisi ya ndoa
Wanawake wengi huwa wanakuwa humble kukuvutia uwaoe tu, ukioa tu ndio utakuja kuona rangi zao halisi na hapo ndio utashangaa mbona mwanamke ana tabia nzuri, mzuri ila ndoa hazidumu
Watu wa kataa NDOA Wana hoja zao, WASIKILIZWE
Japo sikubaliani 💯% na kutooa ila ndoa Zina mikiki na changamoto nyingi kuliko raha
Natambua uwepo wa wanandoa wachache ambao wanaenjoy ndoa zao ila asilimia kubwa ni majuto tu
Hapo sawa, 💯 💯Hilo sipingi kaka lakn huyu naetaka kuoa nishakaa nae miaka 3 na sina kitu lkn tunaishi na changamoto zipo nyingi tu kama jeur dharau na mambo mengne meng tu lkn nishamzoea tena hana kipya atafanya ntakua sjakiona kwake kwahyo nimeona bora huyu ninaemjua kuliko kutafuta gumegume lingine
Kama kwao ni songea wewe upo wapiKwakwel nataka kumuoa MAMA UMUT lakini sijui chochote yani kuhusiana na kupeleka barua na posa pia.
Kwahyo nikaona nina familia kubwa na ndugu wengi huko JamiiForums niwashirikishe ili nijua BARUA inahitaji nini na iweje NA POSA iahitaji nini na iweje.
ASANTENI SANA USHAURI WENU WANA JAMVI
Tupo wote mbeyaKama kwao ni songea wewe upo wapi
Matokeo yann? Mm npo chuo mwaka wa 3Subir hata matokeo yatoke bas yaan umemalza juzi tu ushaanza mbwembwe!
Mwambie akusaidie kukuconect na mzee yoyote mwenye akili timamu uko kwao alafu tuma na wewe mtu unaemwamini rafiki,kaka,mjomba,jirani wakajuike na huyo mzee kupeleka posa and the rest atakwambia huyo mzeeTupo wote mbeya
Wengi hatuna elimu ya ndoa,wenye elimu hio utazama vingi sana ikiwemo nyota na upata wenza sahihi .Kiongozi, Mimi nilikuwa nawapinga Sana wazee wa KATAA NDOA
Nilikuwa hawana hoja isipokuwa ni porojo
Nikajitahidi kuchagua vigezo vyangu muhimu na nikasema nimelamba dume
Baada ya kuoa sasa, Ndio naona rangi halisi ya ndoa
Wanawake wengi huwa wanakuwa humble kukuvutia uwaoe tu, ukioa tu ndio utakuja kuona rangi zao halisi na hapo ndio utashangaa mbona mwanamke ana tabia nzuri, mzuri ila ndoa hazidumu
Watu wa kataa NDOA Wana hoja zao, WASIKILIZWE
Japo sikubaliani 💯% na kutooa ila ndoa Zina mikiki na changamoto nyingi kuliko raha
Natambua uwepo wa wanandoa wachache ambao wanaenjoy ndoa zao ila asilimia kubwa ni majuto tu
Cc dronedrake asikilizwe kwa kiasi chake,
Ukisha oa ndio utajua kwambaKiongozi, Mimi nilikuwa nawapinga Sana wazee wa KATAA NDOA
Nilikuwa hawana hoja isipokuwa ni porojo
Nikajitahidi kuchagua vigezo vyangu muhimu na nikasema nimelamba dume
Baada ya kuoa sasa, Ndio naona rangi halisi ya ndoa
Wanawake wengi huwa wanakuwa humble kukuvutia uwaoe tu, ukioa tu ndio utakuja kuona rangi zao halisi na hapo ndio utashangaa mbona mwanamke ana tabia nzuri, mzuri ila ndoa hazidumu
Watu wa kataa NDOA Wana hoja zao, WASIKILIZWE
Japo sikubaliani [emoji817]% na kutooa ila ndoa Zina mikiki na changamoto nyingi kuliko raha
Natambua uwepo wa wanandoa wachache ambao wanaenjoy ndoa zao ila asilimia kubwa ni majuto tu
Cc dronedrake asikilizwe kwa kiasi chake,
Kwahyo lazma wawepo wawili mzee wauko na rafik wa karibuMwambie akusaidie kukuconect na mzee yoyote mwenye akili timamu uko kwao alafu tuma na wewe mtu unaemwamini rafiki,kaka,mjomba,jirani wakajuike na huyo mzee kupeleka posa and the rest atakwambia huyo mzee
Zingatia posho aka ya maji kwa hao watakao kuwakilisha.