bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ndoa uwasumbua Sana wanaume waungwana na wastaarabu wakiwemo wasomi na wanadini. Kiasili (instinct utashi wa ndani ) wanaawake uwapenda wanaume madikteta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana chakunudanganya kabla ya kuish nae hyo miaka 3 tulikua wapenz kwa mwaka mmoja na nusu kwahyo namjua in outUkisha oa ndio utajua kwamba
"Behind the beauty lies the true colors"
Sasa unataka kuingia gerezani kabisa ili akizidisha makeke yake mkataba wa ndoa una kufunga kutoka.Hana chakunudanganya kabla ya kuish nae hyo miaka 3 tulikua wapenz kwa mwaka mmoja na nusu kwahyo namjua in out
Umenena kabsa mwanamke anapenda mwanaume mbabe mbabe ukiwa legelege atakuonea sana maana mm mwenyewe nishapitia changamoto hyo had nilipobadlisha mbinu na kuanza kutoa kichapo kitakatifu maana dharau zilizid, nakumbuka nilipga had majiran wakavunja mlango na yy akanikang'ata shngon nusu anitoe rohoNdoa uwasumbua Sana wanaume waungwana na wastaarabu wakiwemo wasomi na wanadini. Kiasili (instinct utashi wa ndani ) wanaawake uwapenda wanaume madikteta
Mbna nishamwambia nakuoa sababu nishakutumia sana tu ukiniletea za kuleta nakuacha mchana kweupe narud zangu kwamama angu sjaua kwetuSasa unataka kuingia gerezani kabisa ili akizidisha makeke yake mkataba wa ndoa una kufunga kutoka.
Utakuja tena hapa jukwaani kuomba ushauri wa kumpa talaka.
Nataka ushauri wa jinsi ya kupeleka barua na posa nitambulike kwao kwanzaNdoa huwa haihitaji ushauri
Msimtishe mwenzenu😀Karibu chama la gereza la loleza.View attachment 2696704
Uzuri kashachagua mfungwa wake na kamjua kwa undani.Msimtishe mwenzenu[emoji3]
Hata wana ndoa walio ka miaka 20 likiamka hata siku moja kila kitu kina sambaratika "never ever trust a woman"Hilo sipingi kaka lakn huyu naetaka kuoa nishakaa nae miaka 3 na sina kitu lkn tunaishi na changamoto zipo nyingi tu kama jeur dharau na mambo mengne meng tu lkn nishamzoea tena hana kipya atafanya ntakua sjakiona kwake kwahyo nimeona bora huyu ninaemjua kuliko kutafuta gumegume lingine
Malizia chuo kwanza achana na mambo ya kuendeshwa na hisia za kike, hapo ulipo unacho kosa kwake ni nini?Matokeo yann? Mm npo chuo mwaka wa 3
Anataka ahalalishe.Malizia chuo kwanza achana na mambo ya kuendeshwa na hisia za kike, hapo ulipo unacho kosa kwake ni nini?
Wanaume wote inatakiwa wawe wakurya ndio heshima uwepo.Umenena kabsa mwanamke anapenda mwanaume mbabe mbabe ukiwa legelege atakuonea sana maana mm mwenyewe nishapitia changamoto hyo had nilipobadlisha mbinu na kuanza kutoa kichapo kitakatifu maana dharau zilizid, nakumbuka nilipga had majiran wakavunja mlango na yy akanikang'ata shngon nusu anitoe roho
Ebu ngoja kwanza.....Kuoa ni ufara na ni upumbavu
Napiga sana married women na mimba juu wamezaa watoto wangu kama , naendelea kuwala Kwa KasiEbu ngoja kwanza.....
Umewahi koa??