Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

Ingia dating sites mfano Tinder,nk utapata mwenza wa nchi utakayo wabongo wengi wameondoka kwa njia hii, tumia maajent certified wakutafutie kazi nchi utakazo kama we ni mtundu wa net ingia LinkedIn, indeed,live and study abroad,job in Canada nk utapata kazi zipo kampuni wanakufanyia viza na ticket ukiwa hapa hapa nchini ukifika kule wanakata cost zao kwenye salary,angalizo wapo scammer wengi ukitaka usahihi na usalama wa agent au kampuni kama ni halali au sio unawasiliana na police department ya nchi husika au embassy zao.
Maisha mtandaoni siku hizi.
 
Ngoja Lucas Mwashambwa aje aweke neno hapo. Kama vipi akuingize UVCCM UDC nje nje....
 
Poland, Austria, Malta,Luxembourg ajira tele unaweza anzia nchi nyepesi kuingia hasa za viza free ukijipanga kuingia nchi hizo kubwa pia unakuwa imejengwa traveling history ukienda embassy kubwa kama umewahi safiri sana nje hawakunyimi viza wanaamini huwezi zamia nchini kwao.
Njia nyepesi zaidi ingia ya marriage wazungu wanatafuta sana watu toka Africa kwa sababu hzi.
Wanaume wengi wa kizungu walishahamia upande wa pili,hawana nguvu, wengine wapo bize na kazi hawawazi mapenzi hya ni mambo ya sisi masikini ndo tunawza ngono,wengine hawataki kuoa wanaamua kuwa single forever kule hakuna ya unaoa/ olewa lini au nizae mtoto aje anisaidie walishavuka stage hio ukiwa Mzee pension yako au serikali itakulea hadi ufe,
 
Ingia YouTube mchek black Singapore,EBM Mswahili,jack wa USA,dada Shena wa official dating assistants,mama franjo,huku yuesi,nk wabongo kibao walio nchi mbali mbali uzitakazo watakupa shule,huku jf zaidi ya ngono, zuchu, simba na yanga hizi mambo za maendeleo huku huwezi zipata.
 
Hapana kuhusu viza za huko ulaya na amerika sijui utaratibu wake ila nilifatilia nikaambiwa mauritus hauhitaj visa kwenda huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…