Nataka kupiga chini huyu mwanamke

Amua, kimnyoosha mkeo ni maamuxi, inahitaji hekima na busara


Panga outing na kila out baada ya kufurahi...mwambie kwq upendo wa hqli ya juu yale anayokukwazq, epuka kumsomea risalq.

Mwambie kitu kimoja kwa kila out.

Zingatia...ongea kwa upendo
Sijui kama itaworkout maana nilishampeleka vacay campsbay capetown wiki mbili nikijua labda anastress kumbe wapi kurudi nyumbani mwendo ni ule ule kuamka saa4 kitoto nikisafiri kidogo nakikuta kimepungua maana ni beki tatu ndio anajua kula yake
 
Huwa natamani kuwafundisha vitu hivi viwili yaani kuwa na;
1. MAHAKAMA YA NDANI
2. HOSPITALI YA NDANI

1. MHAKAMA YA NDANI
Kuwa na uwezo wa kuhukumu kwa haki yaani uwe na uwezo wa kujihukumu hata mwenyewe na kujitia hatiani.

Hii maana yake nini?
Unapogundua kosa flani ulisababisha wewe OMBA RADHI HATA KWA MTOTO

2. HOSPITALI YA NDANI

Kuwa na uwezo wa kujiponya majeraha ya ndani bila hata watu kugundua au kushirikisha wwngine.

NITARUDI
 
Sijui kama itaworkout maana nilishampeleka vacay campsbay capetown wiki mbili nikijua labda anastress kumbe wapi kurudi nyumbani mwendo ni ule ule kuamka saa4 kitoto nikisafiri kidogo nakikuta kimepungua maana ni beki tatu ndio anajua kula yake
Ninavyojua hakuna ke hawezi kupindua kwa mwanaume timamu na mwenye hekima.
 
Preach brother , preach!
 
Mistake zinatokea na ni kawaida sio tz tu ni duniani kote...nyie wanawake kabla ya kuolewa mnajituma sana mkiolewa mnatoa makucha mlioficha so sio makosa yangu
 
Fanya urudi umwage madini
 
hapo utoto uko wapi...ebu nielimishe wewe kungwi la mambo ya ndoa
 
Mtoa mada kama mmemsoma anataka Mwanamke amsaidie majukumu.. kuzunguka kote huko anataka Mwanamke awe provider na afaidi mshahara wa Mwanamke.
Wanaume waliofanikiwa wote hawana wanawake wavivu mimi sihitaji mshahara wa mwanamke lkn sitaki golikipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…