Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga chini broHahaha kuna mambo ni magumu kuvumilia yaani huyu wifi yako mpaka kawa kibonge ni kula na tiktok tu..
Sijui kama itaworkout maana nilishampeleka vacay campsbay capetown wiki mbili nikijua labda anastress kumbe wapi kurudi nyumbani mwendo ni ule ule kuamka saa4 kitoto nikisafiri kidogo nakikuta kimepungua maana ni beki tatu ndio anajua kula yakeAmua, kimnyoosha mkeo ni maamuxi, inahitaji hekima na busara
Panga outing na kila out baada ya kufurahi...mwambie kwq upendo wa hqli ya juu yale anayokukwazq, epuka kumsomea risalq.
Mwambie kitu kimoja kwa kila out.
Zingatia...ongea kwa upendo
Huwa natamani kuwafundisha vitu hivi viwili yaani kuwa na;Tz mtihani sana, hakuna raha duniani kama kujutia kitu ulichojisababishia mwenyewe, kwanza huna wa kumlaumu na inafika muda unaanza kujicheka.
Kulazimishwa kitu/kujilazimisha kitu unakiingia ukiwa na self doubt za kutosha matokeo yake ni one mistake one goal, ni kama unakaa kwa kuvizia vizia.
Watu waachwe waamue mambo yao wenyewe bwana, considered si kila mtu anaweza kaa na mtu, kuna watu hawawezi kuishi na mtu yeyote wanaona kero sembuse uambiwe ukae nae to eternal!!!!?
Nadhani uko nje ya mada..Me aina hiyo wengi sana Karne hii na kibaya zaidi hawakutumia akili kuoa Wife materials zaidi ya kuangalia kazi zao ili wasaidiwe kifedha katika familia, sasa acha inyeshe..........
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ninavyojua hakuna ke hawezi kupindua kwa mwanaume timamu na mwenye hekima.Sijui kama itaworkout maana nilishampeleka vacay campsbay capetown wiki mbili nikijua labda anastress kumbe wapi kurudi nyumbani mwendo ni ule ule kuamka saa4 kitoto nikisafiri kidogo nakikuta kimepungua maana ni beki tatu ndio anajua kula yake
Preach brother , preach!Huwa natamani kuwafundisha vitu hivi viwili yaani kuwa na;
1. MAHAKAMA YA NDANI
2. HODPITALI YA NDANI
1. MHAKAMA YA NDANI
Kuwa na uwezo wa kuhukumu kwa haki yaani uwe na uwezo wa kujihukumu hata mwenyewe na kujitia hatiani.
Hii maana yake nini?
Unapogundua kosa flani ulisababisha wewe OMBA RADHI HATA KWA MTOTO
2. HOSPITALI YA NDANI
Kuwa na uwezo wa kujiponya majeraha ya ndani bila hatq watu kugindua au kushirikisha wwngine.
NITARUDI
Mistake zinatokea na ni kawaida sio tz tu ni duniani kote...nyie wanawake kabla ya kuolewa mnajituma sana mkiolewa mnatoa makucha mlioficha so sio makosa yanguTz mtihani sana, hakuna raha duniani kama kujutia kitu ulichojisababishia mwenyewe, kwanza huna wa kumlaumu na inafika muda unaanza kujicheka.
Kulazimishwa kitu/kujilazimisha kitu unakiingia ukiwa na self doubt za kutosha matokeo yake ni one mistake one goal, ni kama unakaa kwa kuvizia vizia.
Watu waachwe waamue mambo yao wenyewe bwana, considered si kila mtu anaweza kaa na mtu, kuna watu hawawezi kuishi na mtu yeyote wanaona kero sembuse uambiwe ukae nae to eternal!!!!?
Fanya urudi umwage madiniHuwa natamani kuwafundisha vitu hivi viwili yaani kuwa na;
1. MAHAKAMA YA NDANI
2. HODPITALI YA NDANI
1. MHAKAMA YA NDANI
Kuwa na uwezo wa kuhukumu kwa haki yaani uwe na uwezo wa kujihukumu hata mwenyewe na kujitia hatiani.
Hii maana yake nini?
Unapogundua kosa flani ulisababisha wewe OMBA RADHI HATA KWA MTOTO
2. HOSPITALI YA NDANI
Kuwa na uwezo wa kujiponya majeraha ya ndani bila hatq watu kugindua au kushirikisha wwngine.
NITARUDI
hapo utoto uko wapi...ebu nielimishe wewe kungwi la mambo ya ndoaTatizo lako umeoa kwa kushinikizwa na wazazi na sio kwa utayari wako,
Ndoa sio ya kila mtu,ndoa ni kwa watu wanaojielewa na kuyajua maisha ya ndoa ni nini,
Umri wako ni mkubwa ila bado una akili za kitoto,labda tu uwe umeamua kutunywesha chai kwenye hii thd.
Usiendeshwe na hisia.."Ke yeyote mwenye makalio makubwa nitamuwowa hata kama hana akili nitatumia zangu" alisikika Muhuni wa Mbagala [emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Wanaume waliofanikiwa wote hawana wanawake wavivu mimi sihitaji mshahara wa mwanamke lkn sitaki golikipaMtoa mada kama mmemsoma anataka Mwanamke amsaidie majukumu.. kuzunguka kote huko anataka Mwanamke awe provider na afaidi mshahara wa Mwanamke.
Unapenda injili?Preach brother , preach!
Yeah somehow….Unapendi injili?
Nafikiri nime preach, hope umeridhikaYeah somehow….