Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ndo maana nimekwambia uchumbie upya, kumbe wana hasira na wewe? Sasa anza upya ukipigwa kibuti ndo utajua kumbe bifu la zamani halijaisha.Wanawake wapo sana,
Nilitowa mahari wakati huwo ila sikumaliza baadhi ya vitu,upande wao wana hasira na mimi,wananiona kama tapeli wakati mtoto wao ndiyo hakuwa mvumilivu.
Dada zake na ndugu zakemaana dada zake pamoja na yeye wameachika walikoolewa.
Moja kati ya ushauri wa hovyo ni huuSiyo wewe wa kwanza!
Kuna mmoja wamerudiana na mtu wake baada ya miaka tisa,
Kilichowatenganisha ni shida za kiuchumi, kubwa zaidi mrudishe mwenzako muishi naye kama amezaa nje mvumilie tu inawezekana hakupenda kufanya hivo{kuzaa nje} na kama ana mtoto asiye wako usiitumie kama fimbo kumchapia..
Usisikilize mawazo ya vitoto vya 2005, lakn jitahidi sana kuwa mpole, futa mawazo mabaya kumhusu, na usimuulze kuhusu mahusiano yake wakat hamkuwa naye.
Broo we ni mwanaume, mrudishe mke wako muishi.
Msamehe yote kwa moyo wako wote, usiyakumbuke ya nyuma, kama mna wazazi wenu wapo hai washirikishe wawabariki {namanisha wazazi wa kuwazaa, siyo ndugu, siyo marafiki na siyo walezi: wazazi ndo viumbe pekee wenye uchungu na nyie, mzazi ndo hawezi kukusimanga, wengne wote watakuchanganya}
RUDIANA NA MKE WAKO NA USIMUITE EX, HAKIKA UTAYAONA MAFANIKIO MAKUBWA..WEWE NI MAN.
NA AKIRUDI ACHANA NA MISHANGAZI ULIYOKUWA NAYO
SALINI NA KUOMBA KWA IMANI YENU.
MUNGU WETU NI MWAMINIFU.
Moja kati ya ushauri wa hovyo ni huu
Wewe ndio mwenye maamuz ya mwisho kweny ILO maan mapungufu yake unayaelewa sis ni watazamaji tuuHabari za wakati huu wadau?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.
Karibuni.
HeheheHabari za wakati huu wadau?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.
Karibuni.
Soma hiyo.....daaa miaka 8...umekumbuka nini yeye amekumbuka nini ? Nyote mna sumu sanaa.....mmoja awe mjinga la sivyo hakuna kituu
Soma hiyoKuna kaharufu ka ujinga hapa
View attachment 3237466
Alikuwa malaika wa Shetani kwa sasa kafuzu kuwa Shetani kamili.Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
miaka 8 kurudiana sifanyi biashara hiyoHabari za wakati huu wadau?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.
Karibuni.
Kweli ngoja nimsake ex wangu jama i tunaweza kuwa meant to be
NdoaSiyo wewe wa kwanza!
Kuna mmoja wamerudiana na mtu wake baada ya miaka tisa,
Kilichowatenganisha ni shida za kiuchumi, kubwa zaidi mrudishe mwenzako muishi naye kama amezaa nje mvumilie tu inawezekana hakupenda kufanya hivo{kuzaa nje} na kama ana mtoto asiye wako usiitumie kama fimbo kumchapia..
Usisikilize mawazo ya vitoto vya 2005, lakn jitahidi sana kuwa mpole, futa mawazo mabaya kumhusu, na usimuulze kuhusu mahusiano yake wakat hamkuwa naye.
Broo we ni mwanaume, mrudishe mke wako muishi.
Msamehe yote kwa moyo wako wote, usiyakumbuke ya nyuma, kama mna wazazi wenu wapo hai washirikishe wawabariki {namanisha wazazi wa kuwazaa, siyo ndugu, siyo marafiki na siyo walezi: wazazi ndo viumbe pekee wenye uchungu na nyie, mzazi ndo hawezi kukusimanga, wengne wote watakuchanganya}
RUDIANA NA MKE WAKO NA USIMUITE EX, HAKIKA UTAYAONA MAFANIKIO MAKUBWA..WEWE NI MAN.
NA AKIRUDI ACHANA NA MISHANGAZI ULIYOKUWA NAYO
SALINI NA KUOMBA KWA IMANI YENU.
MUNGU WETU NI MWAMINIFU.
unajua ndoa inaanzia kwenye ulimwengu wa roho %100. Katika ulimwengu wa roho unaona nini, na kama unaona huyo kweli ni Mungu aliye kupa unamuona mko wote na wenye upendo hapo fanya haraka muoane lakin kwenye ulimwengu wa roho kama hakuna upendo ni chuki kimbia huyo sio wa kwako pia ninachokushauri muulize Mungu kama huyo ni ubavu wako? inawezekana sio wakwako na pia ndoa ni kuombeana sio mchezo mshirikishe Mungu naye atajibu haja ya moyo wakoHabari za wakati huu wadau?
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.
Karibuni.
UKO SAHIHI SANA, MSAMEHE, OA, LAKN USIMHOJI KUHUSU MAHUSIANO YAKE YALIKUAJE KIPINDI HICHO CHA MIAKA TISA,Wiki hii naenda kuoa ex wangu wa miaka 9 iliopita. Hatukuachana kwa usaliti bali utoto ulichangia kwa asilimia 90. Tulitafutana kwa muda mrefu na hatimae tumeonana na tunaona. Nampenda sana huyu kiumbe. Ngoja niitolee thread kwa hisia.
kabisa ci atafute mwingine?? wanawake ci wapo wengi mbona aeleweki huyu jamaaMkuu si utafute mwingine
Ama ni lazima awe huyo?
Sa na wewe uliamuaje kumpeleka mwanamke akaishi na wazazi wako na bado hamjaoana? Unazijua kero za kuishi na wakwe?Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.