Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

Nataka kurudiana na X wangu baada ya miaka minane. Ushauri

Wanawake wapo sana,

Nilitowa mahari wakati huwo ila sikumaliza baadhi ya vitu,upande wao wana hasira na mimi,wananiona kama tapeli wakati mtoto wao ndiyo hakuwa mvumilivu.
Ndo maana nimekwambia uchumbie upya, kumbe wana hasira na wewe? Sasa anza upya ukipigwa kibuti ndo utajua kumbe bifu la zamani halijaisha.
 
Siyo wewe wa kwanza!
Kuna mmoja wamerudiana na mtu wake baada ya miaka tisa,
Kilichowatenganisha ni shida za kiuchumi, kubwa zaidi mrudishe mwenzako muishi naye kama amezaa nje mvumilie tu inawezekana hakupenda kufanya hivo{kuzaa nje} na kama ana mtoto asiye wako usiitumie kama fimbo kumchapia..

Usisikilize mawazo ya vitoto vya 2005, lakn jitahidi sana kuwa mpole, futa mawazo mabaya kumhusu, na usimuulze kuhusu mahusiano yake wakat hamkuwa naye.

Broo we ni mwanaume, mrudishe mke wako muishi.

Msamehe yote kwa moyo wako wote, usiyakumbuke ya nyuma, kama mna wazazi wenu wapo hai washirikishe wawabariki {namanisha wazazi wa kuwazaa, siyo ndugu, siyo marafiki na siyo walezi: wazazi ndo viumbe pekee wenye uchungu na nyie, mzazi ndo hawezi kukusimanga, wengne wote watakuchanganya}

RUDIANA NA MKE WAKO NA USIMUITE EX, HAKIKA UTAYAONA MAFANIKIO MAKUBWA..WEWE NI MAN.

NA AKIRUDI ACHANA NA MISHANGAZI ULIYOKUWA NAYO
SALINI NA KUOMBA KWA IMANI YENU.

MUNGU WETU NI MWAMINIFU.
Moja kati ya ushauri wa hovyo ni huu
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
Wewe ndio mwenye maamuz ya mwisho kweny ILO maan mapungufu yake unayaelewa sis ni watazamaji tuu
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
Hehehe
 
.....daaa miaka 8...umekumbuka nini yeye amekumbuka nini ? Nyote mna sumu sanaa.....mmoja awe mjinga la sivyo hakuna kituu
Soma hiyo
 

Attachments

  • IMG-20250216-WA0001.jpg
    IMG-20250216-WA0001.jpg
    66.3 KB · Views: 1
Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
Alikuwa malaika wa Shetani kwa sasa kafuzu kuwa Shetani kamili.
Rudiana naye ufe mapema ama uishi jela kwa kumchoma na moto wa mkaa.
 
Ukiona unatembea "msituni" na katika zunguka yako ukaona "mti" huo huo mara tatu jua umepotea.
Anza safari upya.
 
Wiki hii naenda kuoa ex wangu wa miaka 9 iliopita. Hatukuachana kwa usaliti bali utoto ulichangia kwa asilimia 90. Tulitafutana kwa muda mrefu na hatimae tumeonana na tunaona. Nampenda sana huyu kiumbe. Ngoja niitolee thread kwa hisia.
 
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
miaka 8 kurudiana sifanyi biashara hiyo
 
Siyo wewe wa kwanza!
Kuna mmoja wamerudiana na mtu wake baada ya miaka tisa,
Kilichowatenganisha ni shida za kiuchumi, kubwa zaidi mrudishe mwenzako muishi naye kama amezaa nje mvumilie tu inawezekana hakupenda kufanya hivo{kuzaa nje} na kama ana mtoto asiye wako usiitumie kama fimbo kumchapia..

Usisikilize mawazo ya vitoto vya 2005, lakn jitahidi sana kuwa mpole, futa mawazo mabaya kumhusu, na usimuulze kuhusu mahusiano yake wakat hamkuwa naye.

Broo we ni mwanaume, mrudishe mke wako muishi.

Msamehe yote kwa moyo wako wote, usiyakumbuke ya nyuma, kama mna wazazi wenu wapo hai washirikishe wawabariki {namanisha wazazi wa kuwazaa, siyo ndugu, siyo marafiki na siyo walezi: wazazi ndo viumbe pekee wenye uchungu na nyie, mzazi ndo hawezi kukusimanga, wengne wote watakuchanganya}

RUDIANA NA MKE WAKO NA USIMUITE EX, HAKIKA UTAYAONA MAFANIKIO MAKUBWA..WEWE NI MAN.

NA AKIRUDI ACHANA NA MISHANGAZI ULIYOKUWA NAYO
SALINI NA KUOMBA KWA IMANI YENU.

MUNGU WETU NI MWAMINIFU.
Ndoa
Habari za wakati huu wadau?

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Ninataka kurudiana na mwenzangu ambae tulitengana miaka minane iliyopita, naombeni maoni ushauri namna ya kuishi nae maana huko alikokuwa atakuwa kajazwa sumu nyingi sana.

Karibuni.
unajua ndoa inaanzia kwenye ulimwengu wa roho %100. Katika ulimwengu wa roho unaona nini, na kama unaona huyo kweli ni Mungu aliye kupa unamuona mko wote na wenye upendo hapo fanya haraka muoane lakin kwenye ulimwengu wa roho kama hakuna upendo ni chuki kimbia huyo sio wa kwako pia ninachokushauri muulize Mungu kama huyo ni ubavu wako? inawezekana sio wakwako na pia ndoa ni kuombeana sio mchezo mshirikishe Mungu naye atajibu haja ya moyo wako
 
Wiki hii naenda kuoa ex wangu wa miaka 9 iliopita. Hatukuachana kwa usaliti bali utoto ulichangia kwa asilimia 90. Tulitafutana kwa muda mrefu na hatimae tumeonana na tunaona. Nampenda sana huyu kiumbe. Ngoja niitolee thread kwa hisia.
UKO SAHIHI SANA, MSAMEHE, OA, LAKN USIMHOJI KUHUSU MAHUSIANO YAKE YALIKUAJE KIPINDI HICHO CHA MIAKA TISA,
MSAMEHE SANA, USIMUWAZIE MABAYA,
MUOMBEE KWA IMANI YAKO UNAYOIAMINI NA WEWE USISITE KUJIOMBEA

TAHADHARI: mchunguze kwanza kabla ya kufunguka kwake kuhusu mali unazomiliki{asset zote} including financial asset.
 
Mwanzoni tulitengana kwa sababu niliachishwa kazi,nikakaa home kama mwezi,mambo yalivyokuwa magumu zaidi nikatafuta hela nikamwambia arudi nyumbani kwanza niendelee kupambana,mambo yakishakuwa sawa atarudi tena town,nikamwachia nauli ya kumfikisha nyumbani kwa wazazi wangu,baadae jioni nampigia simu nijuwe amefika wapi,hakuwa anapatikana,nikawapigia simu nyumbani kama amefika huko,wakasema hajafika,basi kesho yake ndiyo akaniandikia sms kwamba asingeweza kwenda nyumbani kumbe ile hela niliyompa alienda kupanga chumba mahali akakaa hapo.
Sa na wewe uliamuaje kumpeleka mwanamke akaishi na wazazi wako na bado hamjaoana? Unazijua kero za kuishi na wakwe?
Ulitakiwa ukae nae hivyo hivyo mpambane na maisha pamoja, na hapo ndo ilikuwa ndo muda wa kumpima
 
Back
Top Bottom