Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

vipi swanga
IST ziko fresh sana..nimetoboa nayo mpaka Mpanda mara mbili kupitia Dar-Mby-Tndm-Swanga-Katavi. Ila hakikisha hupakii mizigo mizito na Dar ondoka Alfajir kama mida ya saa 11
vipi swanga-katavi kuna lami tayari
 
vipi swanga

vipi swanga-katavi kuna lami tayari
Last tmi kupita ilikua mwaka jana Dec na lami ilikua nusu bin nusu..nafkiri mpaka sasa watakua wametandiwametandika mkeka kipande kikubwa maana wanaweka nusu nusu.
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Kaka
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
kaka upo vizuri saannnaaaaaaaaaaaaaa
 
Wakuu nimedhamiria kusafiri kutoka DAR kwenda MBEYA kwa kutumia TOYOTA IST, lengo ni kufika MBEYA kabla ya saa saa moja jioni. Naomba kujuzwa vitu vya kuzingatia ili kufanikisha safari hii kama:
  • Muda wa kutoka Dar
  • Mwendokasi wa gari (Kilometer per hour)
  • Maeneo yenye tochi
  • Maeneo na muda wa kupumzika
  • Vitu vya kuchukua vya usalama (safety gear)
  • Kiasi cha petroli kitakachotumika
Mnaweza kuniongezea vitu vya ziada vya kuzingatia kwa kadri mtakavyoona yafaa ili nifanikishe safari hii
Mkuu umetisha, agiza moja baridi, nitalipia[emoji122] [emoji122]
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Pongezi kwa maelezo yako, nadhani Countrywide ni jina lako sahihi.
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Shukran kwa ufafanuzi na ushauri wako, nataraji kwenda mwisho wa Mwezi huu
 
IST ziko fresh sana..nimetoboa nayo mpaka Mpanda mara mbili kupitia Dar-Mby-Tndm-Swanga-Katavi. Ila hakikisha hupakii mizigo mizito na Dar ondoka Alfajir kama mida ya saa 11
Ulitumia muda gani hadi mpanda
 
Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.

Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Upo kamili mkuu ila umesahau kumweleza kuwa kipande cha barabara toka Mafinga kwenda mbele kukaribia Mbeya kipo kwenye matengenezo so be careful
 
Mkuu,
Nimesafiri na IST Desemba mwaka jana toka Dar kwenda Mbeya. IST yangu ni cc1,500 na nilitumia lita 50. Utaratibu wangu huwa ni kijaza mafuta kila mkoa, so niliweka full tank Dar na nilipofika Moro nikajaza tena, nikaenda jaza tena Iringa lengo ilikuwa kujua kiwango cha mafuta ninachotumia toka mkoa mmoja kwenda mwingine.
Dar niliondoka saa 11 na nilifika Mbeya saa 2 usiku (sema niliuweka sana Moro). Ukiheshimu alama za barabarani hutopigwa tochi na wala kusumbuliwa na askari njiani. Kwenye 50 nenda spidi 50 na unaporuhusiwa nenda hadi 120. Ukimaliza Kitonga kabla hujafika Ilula kuna kibao kinaruhusu zaidi ya 50 na ni eneo la makazi ya watu, askari hupenda kukaa hapo na huwa wanawakamata madereva kama wamezidi 50. Kuepusha shari, baada ya Kitonga piga 50 hadi Ilula then endelea na maspidi yako. Generally, askari wa Iringa ni wasumbufu kidogo ukilinganisha na mikoa mingine katika njia hiyo.
Nakutakia safari njema...usisahau kuja na 'kambani'...
e465a83fd9a1e21e83f89224c0f0e0b4.jpg
 
Ulitumia muda gani hadi mpanda
Kwa vile nilikua na mwanangu wa mwaka mmoja na nusu nilitumia Siku 3 sikutaka kumchosha..Dar niliondoka saa 7 mchana nikaenda kulala Mafinga saa 5 usiku. IST yangu ni CC 1,500 na ina pumzi ya kutoboa kwa Siku 2 mpaka Mpanda.
 
Countywide kamaliza....ila kuanzia Ipogolo iringa hadi mbeya kuwa makini na vibao... Hilo eneo linaongoza kwa tochi Tanzania.
 
Mimi hupendelea kusafiri usiku maana hakuna usumbufu wa Tochi wala mkono. You may try it at your own risk, lakini kama gari unaiamini ondoka Dar kumi kama jamaa alivokushauri utafika mapema.

Kitu kingine ukikaa kwenye gari muda mrefu kuna mizuka flani huwa inakuja na kuanza kuhisi speed mfano ya 100 au 120 ni kama haitoshi hivyo kutaka kuongeza. Kemea hilo pepo lasivyo watakuimbia niagieni.

Hata hivyo kama njia haujawahi kuipita kabisa ukiwa unaendesha, jitahidi kwenda kwa tahadhari sana, kunakuwaga na mashimo ya papo kwa papo
 
IST dar moro utatumia litre 12.31 mpaka unafika msamvu IST mtandaoni imeandikwa full tank ni 45 litres ila ukijaza full tank ikifika litre 38-39 gari inakua imeshajaa...ushauri kwa safari ndefu usiruhusu mstari wa nusu tank kushuka chini ya nusu
 
Back
Top Bottom