124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,813
- 5,514
service charge abebe hako kamzigo chenye mihadharatiHongera kwa kujitolea kutoa ushauri lakini sijui kwanini nilipata kafeeling utamalizia kuomba lifti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
service charge abebe hako kamzigo chenye mihadharatiHongera kwa kujitolea kutoa ushauri lakini sijui kwanini nilipata kafeeling utamalizia kuomba lifti.
Sijaelewa point namba 4 yako ufafanuzi maana sijuwagi maana yakeDar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.
Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Hizo rpm zinakuwaje hapoNimeipenda point no.4 huwa naitumia sana kwenye kubana mafuta nikiwa long Safari,ingawa gari yangu siyo IST..
Safi sana mkuu nimefurahi pia hako ka bonusDar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.
Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Aahahahahah hii design yako ya kuomba msaada nimeielewa. Unastahili tuzo ya mwanafasihi bora wa JF.Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.
Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Huu ndo ushauri wa great thinker... Nimeupenda sana. Nimefurahi pia ulivyochomekea ombi lako hapo kwenye bonus!!!!!Dar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.
Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
[emoji23] BonusDar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.
Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Lita 45 ni elfu 60?Kweli IST ni mkombozi wa watanzania. Yani elfu 60 tu full tank? Wakati kuna raia bila laki mbili mshale haugoti kwa F!
No..nilitaka maanisha cheap kupata full tank ya istLita 45 ni elfu 60?
Mkuu kwa majibu yako ubarikiwe. Mimi naomba msaada kutoka dar to bukoba kwa toyota brevisDar - Mbeya ni km 822.
IST full tank ni litre 45. Fanya yafuatayo pindi utapoanza safari yako;
1) Nakushauri anza safari atleast saa 10 alfajiri ili kuepuka msongamo wa morogoro road na hvyo waweza jikuta umetumia Masaa mawili tu kufika Moro.
2) Safiri siku ya jumapili kwa maana kutakuwa hakuna tochi nyingi wala usumbufu sana.
3) IST highway inaweza kula hadi litre 1 kwa km 18 kutegemeana na uendeshaji wako+ubora wa gari yako.
4) Endesha IST kwenye speed 100 - 120 chini ya Rpm 3, na juu ya Rpm 2. hapo utatumia mafuta kidogo sana
5) kwa km 822 za dar mbeya , hvyo waweza jikuta umetumia litre 45 yaani ukiweka full tank waweza kufika mbeya bila kuongeza, lakini ni ngumu. hvyo wastani wa mafuta waweza kuwa litre 1 kwa km 16 kwa sababu sio seheme zote waweza endesha kwa speed kati ya 100 - 120 ,hvyo jumla ya mafuta dar to mbeya yaweza kuwa litre 52 .
6) Ukifika Makambako ongeza mafuta ili kupata jumla ya litre 52.
7) IST ni gari nyepesi sana ina kg 1000. usiendeshe kwa speed zaidi ya 120 kwa maana waweza pata ajali, asikuongopee MTU na kukwambia eti yangu naendesha hadi speed 140, 160.
8) Heshimu sana alama za barabarani
9) kwa wastani wa hapo juu ukitoka dar SAA 10 alfajiri waweza fika mbeya saa 11 au kama utasimama sana njiani waweza fika saa 12. Usiweke vituo vingi sana njiani, ukitoka dar nenda kapumzikie Mikumi, then kapumzike Makambako then nyoosha mbeya.
10) Epuka kumpa lift mtu usiyemjua ukiwa safarini.
Bonus;
unaenda lini? kuna kamzigo nataka nitume huko unisaidie kukabeba
Unataka usaidiwe nini?JAMANI MSAADA HAPO KWENYE RPM 3, RPM 2.....tusaidiane wakuu!