Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

Goooooooooooooooooooooooooooooooooooooddddddddddddd kaka hakuna cha kupunguza hapo
 
We ni tunu ya taifa.kamzigo ndo umetuacha hoi.big up
 
Rpm ndo nini mkuu, tuelimishe tafadhali
RPM ni Rotation Per Minute,huu ni mzunguko wa engine kwa kila dakika moja,kwahiyo kila ile gauge inapozidi kupanda maana yake ni kuwa mzunguko wa engine ya gari yako nao unaongezeka na ulaji wa mafuta kwa gari yako unaongezeka..
 
RPM ni Rotation Per Minute,huu ni mzunguko wa engine kwa kila dakika moja,kwahiyo kila ile gauge inapozidi kupanda maana yake ni kuwa mzunguko wa engine ya gari yako nao unaongezeka na ulaji wa mafuta kwa gari yako unaongezeka..
Eh okay,sasa naitumiaje au najuaje kwny uendeshaji wa kila siku..
Mhh au ts okay hata nisipojua
 
HAKIKISHA UNAJUA KUSOMA MATATIZO MADOGO YA GARI

USISAHAU KUNYWA ENERGY DRINK


SWALI
MI SIJAWAH KUONA KIBAO KIMEANDIKWA ZAID YA KM 100
 
Eh okay,sasa naitumiaje au najuaje kwny uendeshaji wa kila siku..
Mhh au ts okay hata nisipojua
Kama umeenda driving school hivi vitu wala sio vya kuuliza ,ila kama umejua tu gari na kuendesha bila hata ya kujua dashboard yako imebeba vitu gani,itakupa shida kidogo..
 
Kama umeenda driving school hivi vitu wala sio vya kuuliza ,ila kama umejua tu gari na kuendesha bila hata ya kujua dashboard yako imebeba vitu gani,itakupa shida kidogo..
Ss unatusaidiaje mana ndo hvo wengi tumejifunzia nyumbani tu
 
Chukua na makinikia moja kwa ajiri ya story njiani usiboreke
 

umenfurahisha apo kwny bonus
 
Ulifaa sana kusaidia uchambuzi wa makinikia [emoji4]
 
Umeanza vizr kalni mwisho ukapiga mzinga sio mbaya umetusaidia na wenginie
 
Well stated
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…