Nataka kusafiri Dar-Mbeya kwa Toyota IST, nijuzeni haya

Wasiwe wasomari[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Kwa maelezo haya itabidi kamzigo kako akabebe tu.. hana budi..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umetisha mkuu! Upo vzr sana
 
[emoji23] [emoji23] Unaweza kunipitishia Tani 7 za bangi hapo Morogoro mkuu
 
Umefanya upembuz yakinifu, sasa hizi ndo akili kubwa a.k.a ugreat thinker
 
Hahaha.....

Jamaa amejitahidi kumuelewesha hivyo mhusika

Kweli akatae kumubebea kimzigo chake?

Itakuwa siyo uungwana

hii tabia ya kumfanyia mtu wema kwa sababu ametanguliza wema ni hatari sana. Lazima uchunguze na uwe makini. Kubeba mzigo wa mtu usiyemfahamu eti kisa kauonyesha njia.... ohooo hayaaaaa
 
Nimependa bonus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…