Nataka kutengeneza id ya pili, nipatie username

Kuna siku walinipiga Ban nikafungua Id nyengine kulalamika baada ya kusikilizwa ikafutilitiwa mbali!hata nilipotaka ku-login na ile acc haikupatikana tena hadi leo.
Labda ni kwa sababu walikugundua umefungua ID ya kulalamika.Nakushukuru kwa mchango wako Boss wangu, Mungu akubariki sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…