Nataka kuwa baba watoto Lakini siyo mume

Nataka kuwa baba watoto Lakini siyo mume

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Nyie ndio mnaofanya single mothers kuwa wengi halafu baadae mnarudi humu kuwasemea hovyo.
 
d4102018-de6d-4e27-b82c-e94140a2e69e_345x480.gif
 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Safi sana mkuu endelea kuwatotolesha tu ndoa wakazitafute kwa wanaume wanaohusudu ndoa
KATAA NDOA NI UTAPELI
 
Back
Top Bottom