Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

Umeonaa eee haswa Kama bado huyo mtu aoneshi dalili
Hapa kasome Reverse Psychology mara nyingi inawahusu wanaume ila kwa situation hii inabidi uoneshe na kumzoesha kumjari jamaa kwa muda fulani then ondo hizo Care na kuwa kama huna interest nae tena hapo kama kweli njia zako ulifanya vizuri ataanza kukufuatilia wewe na kukuweka kipaumbere kama ija Work out tafuta uhusiano mwengine
 
Hapo ukitaka kufanya mapinduzi toa "NDOGO"
 
"Njoo kwangu Eva Wangu,,Mimi ndio Adam wako hapa Ulimwenguni na Si bustanini"###LAVUKwanini??##
 
Ukiona watu wamekaa miaka yote hiyo usidhanii kama walikuwa wanafurahia kipindi chote hicho , watu wanacheatiwa lkn wanasemehe wanasonga mbele
 

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ kumbe kuna muda unakua na akili
 
Kama unabandika makope, mikucha kama jini na vikuku miguuni sahau kuwa main chick. Wewe ni disposable item hadi utapokua bibi.
 
Na hujasema mpaka useme

Kama hujui hakuna mwanaume aliyesingo wote occupied ni wewe unaweza cheza vipi ili uwe main nje ya hapo utazeeka mapema tu

Njoo Kwa wazee
 
Mtoa bandiko,nimekwambia njoo huku kwedikwazu tusogeze maisha au hutaki,achana na mambo ya mjini,
Ona Sasa unakwenda kuwa side chick wakati kwangu utakua permanent chick
 
Unazungumzia mwaka na wakati kuna wakongwe hapa hata wiki haijawahi kufika. Hongera kwa kuvumilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…