The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,748
- 3,229
Mpaka umetongozwa wewe tayar jua hakuna mahusiano serious kwa huyo mtu. We cheza karata zako vizuri tu ndoa unayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitendo cha kutoa uchi kwa mwanaume ambaye sio mume wako ni umalaya
Mpaka umetongozwa wewe tayar jua hakuna mahusiano serious kwa huyo mtu. We cheza karata zako vizuri tu ndoa unayo
Kwa hiyo umekubali kuwa wewe ni malaya?Wewe nae usiongee vitu ambavyo haviwezekani unataka tu kuingiza mambo ya bikiraa kwenye uzi wangu…
Kwanza ushamaliza chuo au bado upo Must
Hayo tayari achana nayo labda jamaa mwenyewe aache huko aliko aje kwako.Wakuu habari za weekend
Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye wapenzi wao wametoka mbali unakuta mtu anakusimulia yaani sisi hivi hivi hapo wana miaka hata 4 najisikiaga vibaya sina mtu nilietoka nae mbali
Sasa ndugu zangu unajua kwanini sikai muda mrefu na mahusiano ni kwasababu kila mahusiano nayoingia najikuta mimi ndio side chick, unakuta mwanaume ana mahusiano yake serious mimi ananifanya mchepuko nikishagundua hilo ndio huwa navunja mahusiano
Yaani nimechoka kila husiano naloanzisha unakuta tayari mwanaume ana mtu wake huko wa zamani mimi ndio kama nimevamia penzi la watu, hii kitu huwa inaniuma unaogopa hata kuharibu maana unakuta ameshazaa na binti au ana ujauzito au wanaishi wote ( hapa sizungumzii wanaume waliooa) nazungumzia wanaume tu ambao wapo na mahusiano serious
Kwasasa nimepata mtu ila na yeye nimegundua ana mahusiano yake serious japo sijamwambia… mahusiano yana mwezi mmoja tu,, sasa wakuu hili husiano nataka liwe la mwisho huyu mtu nataka nimng’ang’anie ikiwezekana penzi lake livunjike libaki kwangu
Wakuu nimechoka kuanza mahusiano mapya, huyu mtu hajaoa ila ana husiano seriously nataka nifanye mapinduzi
Wanaume kwa wanawake naombeni mbinu za kutumia ili niwe main check
Kwa hiyo umekubali kuwa wewe ni malaya?
Must ndio wapi?
Hayo tayari achana nayo labda jamaa mwenyewe aache huko aliko aje kwako.
Maana mpindua naye hupinduliwa [emoji28] Mapenzi ya kuforce magumu sana. Relax tu usiyatafute mahusiano yatakuja tu.
Sema unaokutana nao wewe ndio wanamahusiano. wapo ambao wapo single na wao wanaona kila mtu anamahusiano kumbe wengine mmeingilia ya watu 😂Kwaiyo nimuache sasa kila mtu mbona ana mahusiano
Uzi ulitakiwa ufungwe hapaSasa utakuwaje na mahusianonserious wakati wewe mwenyewe unapenda kudanga?
Thread 'Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae' Huyu mtu ananifaa kweli au niachane nae
Kama we umeandika hivyo ndugu yangu Chizi Maarifa ataandika niniHakuna mwanaume ambaye anataka afanye maisha na malaya
Nyinyi malaya ni wa kupiga hit and run
Yaani usimpe kila mara au kila wakati na kwa raundi nyiingi na kukata saaanaKwenye kusex sana una maanisha nini yaani niwe nambania au namzungusha
Malaya sio tusi ni tabia hivyo usikasilike kama huna tabia za kimalayaaa alafu kama unataka Kua mainchik simple tafuta mwanaume ambaye hana kitu kabisa ukaaze naye kutafuta pesa na maisha ila kwa hawa ambao wamaokoto ni ngumu cos washajipata kimaisha hivyoo wanatafuta malaya wa kuspend nao tu........Mbona wewe kila ukikoment kwenye uzi wangu unazungumzia malaya vipi kaka unanifahamu au unaleta makasiriko kwenye uzi wangu aisee kuwa mstaarabu kama huna cha kukoment usikoment vitu vya kuwakejeli wenzio
Nazani hujawai kuona nimekoment kwenye uzi wako so please leo ni j2 usifikiri kuwa na fake id ndio inakupa uhalali wa kutukana watu
Sema unaokutana nao wewe ndio wanamahusiano. wapo ambao wapo single na wao wanaona kila mtu anamahusiano kumbe wengine mmeingilia ya watu [emoji23]
Yaani usimpe kila mara au kila wakati na kwa raundi nyiingi na kukata saaana
Malaya sio tusi ni tabia hivyo usikasilike kama huna tabia za kimalayaaa alafu kama unataka Kua mainchik simple tafuta mwanaume ambaye hana kitu kabisa ukaaze naye kutafuta pesa na maisha ila kwa hawa ambao wamaokoto ni ngumu cos washajipata kimaisha hivyoo wanatafuta malaya wa kuspend nao tu........
Check tena?
Unavyoandika tu unaonekana mapepe hakuna mwanaume anaependa mwanamke mapepe , usipoacha mapepe kila mtu atakufanya masturbation yake na siyo kuweka malengo kwako.Ndugu usiniite mimi malaya maana hatujuani si una ndugu zako wewe kwanini usiende kuwaita malaya
Wakati mwinginee ukiendelea kuleta kejeli kwenye uzi wangu nitakujibu shit tuanze kuchukiana humu na hatufahamiani…
Andika uzi wako Halafu utoe hizo shit yaani Leo sina mood ya kumjibu mtu vibaya maana unachofanya hapa ni kunichokonoa nikasirike tutukanane… hivi nikaja kwenye uzi wako nikaanza kukoment wewe ni shoga utajisikia vizuri
So acha maneno ya kukera watu ambao huwafahamu yaani unachart na mtu huna huakika Kama ni wa kike o kiume..
Najua una hasira na wanawake ila mambo yetu tuachie sisi
Halafu usibadilishe dhima ya uzi wangu
Unavyoandika tu unaonekana mapepe hakuna mwanaume anaependa mwanamke mapepe , usipoacha mapepe utaendlea kufanywa masturbation ya wahuni.