Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwanza usiwe desparate kupata huyo mtu, we kuwa kawaida endelea na maisha yako atakuja tu.
Pili usiwe tooo nice nature yetu binadamu tunajifanya "hatupendi tunachokipenda" ukiwa tooo nice utabaki mchep tu foreva and eva
Mwisho hebu kuwa nao wawili au watatu (simaanishi kulala nao) ishi naooo halafu utachagua mmoja anaefaa
Kasome kitabu kinaitwa "why men marry bitches" hadi hapa ukishindwa mapinduzi nenda tu konvetini dada ukawe sista.
Pili usiwe tooo nice nature yetu binadamu tunajifanya "hatupendi tunachokipenda" ukiwa tooo nice utabaki mchep tu foreva and eva
Mwisho hebu kuwa nao wawili au watatu (simaanishi kulala nao) ishi naooo halafu utachagua mmoja anaefaa
Kasome kitabu kinaitwa "why men marry bitches" hadi hapa ukishindwa mapinduzi nenda tu konvetini dada ukawe sista.