Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

Kwanza usiwe desparate kupata huyo mtu, we kuwa kawaida endelea na maisha yako atakuja tu.

Pili usiwe tooo nice nature yetu binadamu tunajifanya "hatupendi tunachokipenda" ukiwa tooo nice utabaki mchep tu foreva and eva

Mwisho hebu kuwa nao wawili au watatu (simaanishi kulala nao) ishi naooo halafu utachagua mmoja anaefaa

Kasome kitabu kinaitwa "why men marry bitches" hadi hapa ukishindwa mapinduzi nenda tu konvetini dada ukawe sista.
 
Nyenyekea
Mfaham ye anataka nini pia ni vitu gani ambavyo hua hataki...
Uwe unajishusha sana kwake pia pendelea kumsifia na kumpongeza pare anapofanya jambo zuri bira kujari kafanya kwa jamii au kakufanyia wewe
🤣🤣🤣 ubaya wa maigizo huwa muigizaji uchoka tu kuna muda unakuwa real yaan wewe sasa hapo ndio tafrani 😆😆😆
 
Kwanza usiwe desparate kupata huyo mtu, we kuwa kawaida endelea na maisha yako atakuja tu.

Pili usiwe tooo nice nature yetu binadamu tunajifanya "hatupendi tunachokipenda" ukiwa tooo nice utabaki mchep tu foreva and eva

Mwisho hebu kuwa nao wawili au watatu (simaanishi kulala nao) ishi naooo halafu utachagua mmoja anaefaa

Kasome kitabu kinaitwa "why men marry bitches" hadi hapa ukishindwa mapinduzi nenda tu konvetini dada ukawe sista.

Hiyo ya pili unielezee vizuri sijaelewa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ubaya wa maigizo huwa muigizaji uchoka tu kuna muda unakuwa real yaan wewe sasa hapo ndio tafrani [emoji38][emoji38][emoji38]

Umeonaa eee haswa Kama bado huyo mtu aoneshi dalili
 
Daah ngoja nianze sema ngumu aisee haswa kwa kuwa nimejua ana mtu so hiyo kuigiza inaweza nishinda what if nikapoteza muda wangu hapo na wasiachane
Ukionesha uko tofauti na yule aliyenaye kwa tabia nzuri atakolea nakwambia.Angalizo usifanye yale yatakayo kushusha thamani,mfano kusex sana mpka akakuhis vibaya ama kumpa 0713 nk.Behave kama mama zetu walivyokuwa.Mfariji,mtie moyo,mpe akihitaji ila kikawaida.Tafuta anaxhopenda muwekee close kama anapenda miziki ya kizungu tafuta anazopenda muimbie,mchezee kidogo kidogo huku ukimtikisia mkia ama kachura.Hawezi chomoka
 
Kwanza usiwe desparate kupata huyo mtu, we kuwa kawaida endelea na maisha yako atakuja tu.

Pili usiwe tooo nice nature yetu binadamu tunajifanya "hatupendi tunachokipenda" ukiwa tooo nice utabaki mchep tu foreva and eva

Mwisho hebu kuwa nao wawili au watatu (simaanishi kulala nao) ishi naooo halafu utachagua mmoja anaefaa

Kasome kitabu kinaitwa "why men marry bitches" hadi hapa ukishindwa mapinduzi nenda tu konvetini dada ukawe sista.
Eve,ne
Kwanza usiwe desparate kupata huyo mtu, we kuwa kawaida endelea na maisha yako atakuja tu.

Pili usiwe tooo nice nature yetu binadamu tunajifanya "hatupendi tunachokipenda" ukiwa tooo nice utabaki mchep tu foreva and eva

Mwisho hebu kuwa nao wawili au watatu (simaanishi kulala nao) ishi naooo halafu utachagua mmoja anaefaa

Kasome kitabu kinaitwa "why men marry bitches" hadi hapa ukishindwa mapinduzi nenda tu konvetini dada ukawe sista.
Eve,nitumie soft copy ya hicho kitabu au nielekeze wapi ntakipata
 
Ukionesha uko tofauti na yule aliyenaye kwa tabia nzuri atakolea nakwambia.Angalizo usifanye yale yatakayo kushusha thamani,mfano kusex sana mpka akakuhis vibaya ama kumpa 0713 nk.Behave kama mama zetu walivyokuwa.Mfariji,mtie moyo,mpe akihitaji ila kikawaida.Tafuta anaxhopenda muwekee close kama anapenda miziki ya kizungu tafuta anazopenda muimbie,mchezee kidogo kidogo huku ukimtikisia mkia ama kachura.Hawezi chomoka

Kwenye kusex sana una maanisha nini yaani niwe nambania au namzungusha
 
Back
Top Bottom