Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

Nataka kuwa main-check nimechoka kuwa side check wa mtu nipeni mbinu

Kufanya mapenzi na mtu ambaye siyo mkeo ama mumeo ni mambo mawili tu
1.Uasherati kwa ambao hawajaolewa au kuoa.
2.Uzinzi kwa walio kwenye ndoa.
Umalaya ni kufanya tendo la kujamiiana ili ulipwe ujira.
Kwa mleta mada hajaongelea lolote katika hayo matatu,alichoongelea ni kupata mtu wakawa na mahusiano ya kudumu muda mrefu zaidi ya miezi michache kama yalivyomkuta.Mahusiano si lazima yahusishe kujamiiana na kujamiiana kukiwepo,bado si umalaya hadi kuwepo kuuziana na kununuliana mwili.Umalaya ni biashara ya kuuza huduma ya kujamiiana.
 
Kufanya mapenzi na mtu ambaye siyo mkeo ama mumeo ni mambo mawili tu
1.Uasherati kwa ambao hawajaolewa au kuoa.
2.Uzinzi kwa walio kwenye ndoa.
Umalaya ni kufanya tendo la kujamiiana ili ulipwe ujira.
Kwa mleta mada hajaongelea lolote katika hayo matatu,alichoongelea ni kupata mtu wakawa na mahusiano ya kudumu muda mrefu zaidi ya miezi michache kama yalivyomkuta.Mahusiano si lazima yahusishe kujamiiana na kujamiiana kukiwepo,bado si umalaya hadi kuwepo kuuziana na kununuliana mwili.Umalaya ni biashara ya kuuza huduma ya kujamiiana.

Asante mkuu maana Kuna watu wana makasiriko na uzi wangu Kama tunafahamiana
 
Wasikudanganye hawa kuwa una tatizo; Sometimes shit happens regardless!!
KUna watu wana tabia mbaya kwa macho hawafai kabisa kuwa na ndoa ama mahusiano serious ila wanayo na wanabembelezwa. Wapo pia wanaofaa ila hawapati hio bahati!!
Unaweza kuamua chochote ni maamuzi yako.
Cha kukushauri mm achana na mapenzi focus n yourself, wewe jizingatie tu mapenzi yatakuja yenyewe.. hayo yanayokutokea sio mageni ila shida ni kwakua umefocus sana na mapenzi chochote ukikizingatia sana lazima ukionee kasoro....
Watu wana situation kama yako ila hawaoni kama ni shida kwakua wana mambo yao mengine ya msingi wanayazingatia. We only live once stop making things difficult for yourself
 
Mbona wewe kila ukikoment kwenye uzi wangu unazungumzia malaya vipi kaka unanifahamu au unaleta makasiriko kwenye uzi wangu aisee kuwa mstaarabu kama huna cha kukoment usikoment vitu vya kuwakejeli wenzio

Nazani hujawai kuona nimekoment kwenye uzi wako so please leo ni j2 usifikiri kuwa na fake id ndio inakupa uhalali wa kutukana watu
itakuwa umlimnyima ududu huko pm[emoji23]
 
Ndugu usiniite mimi malaya maana hatujuani si una ndugu zako wewe kwanini usiende kuwaita malaya

Wakati mwinginee ukiendelea kuleta kejeli kwenye uzi wangu nitakujibu shit tuanze kuchukiana humu na hatufahamiani…

Andika uzi wako Halafu utoe hizo shit yaani Leo sina mood ya kumjibu mtu vibaya maana unachofanya hapa ni kunichokonoa nikasirike tutukanane… hivi nikaja kwenye uzi wako nikaanza kukoment wewe ni shoga utajisikia vizuri

So acha maneno ya kukera watu ambao huwafahamu yaani unachart na mtu huna huakika Kama ni wa kike o kiume..
Najua una hasira na wanawake ila mambo yetu tuachie sisi

Halafu usibadilishe dhima ya uzi wangu
Sawa side chick
 
Wakuu habari za weekend

Mimi nina changamoto ya mahusiano kwanza sijawahi kuwa na mahusiano ya kudumu yaani yatoboe mwaka sijawahi mengi ni muda mfupi sana yaani mpaka nawaone wivu wale wenye wapenzi wao wametoka mbali unakuta mtu anakusimulia yaani sisi hivi hivi hapo wana miaka hata 4 najisikiaga vibaya sina mtu nilietoka nae mbali

Sasa ndugu zangu unajua kwanini sikai muda mrefu na mahusiano ni kwasababu kila mahusiano nayoingia najikuta mimi ndio side chick, unakuta mwanaume ana mahusiano yake serious mimi ananifanya mchepuko nikishagundua hilo ndio huwa navunja mahusiano

Yaani nimechoka kila husiano naloanzisha unakuta tayari mwanaume ana mtu wake huko wa zamani mimi ndio kama nimevamia penzi la watu, hii kitu huwa inaniuma unaogopa hata kuharibu maana unakuta ameshazaa na binti au ana ujauzito au wanaishi wote ( hapa sizungumzii wanaume waliooa) nazungumzia wanaume tu ambao wapo na mahusiano serious

Kwasasa nimepata mtu ila na yeye nimegundua ana mahusiano yake serious japo sijamwambia… mahusiano yana mwezi mmoja tu,, sasa wakuu hili husiano nataka liwe la mwisho huyu mtu nataka nimng’ang’anie ikiwezekana penzi lake livunjike libaki kwangu

Wakuu nimechoka kuanza mahusiano mapya, huyu mtu hajaoa ila ana husiano seriously nataka nifanye mapinduzi

Wanaume kwa wanawake naombeni mbinu za kutumia ili niwe main check
Unaweza;
Mganga ni ww mwenyewe!
 
Hakuna mwanaume ambaye anataka afanye maisha na malaya

Nyinyi malaya ni wa kupiga hit and run
Ndivyo ilivyo, na wenyewe wanajijua kuwa kwa style hii nimekuwa wa kuliwa na kuachwa. Idk how they feel ila kwa mwanamke mwenye kujitambua it's a bad feeling, kuvua kwa mtu mpya every now and then sio sawa kwa mwanamke anayenitambua.
 
Daah ngoja nianze sema ngumu aisee haswa kwa kuwa nimejua ana mtu so hiyo kuigiza inaweza nishinda what if nikapoteza muda wangu hapo na wasiachane
Sasa kama ushauri huu unaona mgumu kwako then haupo serious na uzi wako huu kuna ushauri gani mwengine utapewa zaidi ya kuambiwa kiwa Submissive kwa huyo mwanaume.

Uzi unahusu mapinduzi na hizo ndio mbinu
 
Back
Top Bottom