Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Sio dola 1000?Haji Manara na wakeze alikua nae juzi tu hapo hamna jipya. dola 100 unakula nyama yake na haina maajabu ni beef inachomwa tu na kuwekwa chumvi simple km mango garden
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio dola 1000?Haji Manara na wakeze alikua nae juzi tu hapo hamna jipya. dola 100 unakula nyama yake na haina maajabu ni beef inachomwa tu na kuwekwa chumvi simple km mango garden
Picha hiyoWeka picha huku umeshikilia iyo picha kwa selfie tukuamini
[emoji23] pole sana. Kuna wabongo wengi tu waishio dubai wenye pesa zao washakula hapo. Labda uambatane na mama samia.Siamini
Duh hadi huyu kijana anajiita dogo janja? ,[emoji23][emoji23]
Unachonunua ni ile staili tu ya kuweka chumvi, mengine hata uchagani krismasi hii nyama za kuchoma nzuri kabisa unazipataHaji Manara na wakeze alikua nae juzi tu hapo hamna jipya. dola 100 unakula nyama yake na haina maajabu ni beef inachomwa tu na kuwekwa chumvi simple km mango garden
[emoji23][emoji23][emoji1787]Umeona alivoshika kisu? Hapo amemaanisha kuwa nawewe ni kitoweo tu.
Kupata vichekesho vingi kama hivi tubonyeze ngapi?Hivi unanichukuliaje? Niweke hapa hadharani bank statement zangu za Deutsch bank, swiss credit, swiss bank, HSBC? Nikuwekee financial statements zangu za offshores ma tax haven huko monaco, panama, Bahamas, Jersey na Virgin islands?
Arukwe akili ipi! Hiyo akili ya kurukwa anayo?Mgeresi bana..
Utamaliza hako ka saving kako urudi bongo umerukwa akili..
Kidding.
Ipo kama ukitaka.Sio dola 1000?
Unachotakiwa kufanya ni kutafuta kazi ya kufanya na uhame kwa dada yako uondokane na kulala kwenye sofa hapo sebuleni kisha ndo uendelee na ndoto hizi za kibagi bangiNataka kuweka rekodi ya kipekee ya kuwa mtanzania wa kwanza kula nyama choma kwa mchoma nyama maarufu duniani mturuki Salt Bae.
Hii ni fursa ya kipekee ya kuitangaza taifa letu kimataifa. Nataka kuungana na watu maarufu duniani ambao walipata hii fursa ya kipekee na adim kula nyama choma kutoka kwa huyu mturuki mwenye mbwembwe ya aiana yake akiwemo Hushpuppi.
NAAM MIMI NI MTU KATI YA WATU WALIOISHI NA WATU NA WALIOONA WATU.
View attachment 2455839
Iyo mitaa ndo pale ulipovamiwa na wahuni ukaona isiwe so ukawaacha wachukue wanachotaka. Baadaye ukwatafuta mmoja baada ya mwengine?Ipo kama ukitaka.
Huko ni Dubai mkuu wanaenda matajiri wa mafuta wakiuziwa bei kubwa ndo wanafurahi.
Ila hana cha ajabu,
Nyama ni hizo T bone au Fillet unazoweza pata hapo karambezi au Juliana pub.
Japanese Kobe beef au Wagyu huko duniani bei yake ukiambiwa utakimbia.
Ila ukijua ni nundu tu hizi ukienda kwa mangi makoi popote unapata kwa buku 2.
😅😅😅Iyo mitaa ndo pale ulipovamiwa na wahuni ukaona isiwe so ukawaacha wachukue wanachotaka. Baadaye ukwatafuta mmoja baada ya mwengine?
Naomba unijibu tu kiroho safi. Je na wewe ukifa utakamuliwa mavi eti uingie peponi msafi?Siku zote huwa hauna akili , umeshinda kugugo kabla ya kupost thread ukiwa Kibaigwa unachunga ng'ombe ?
Hili halihusiani na uzi.#NaishiaHapoNaomba unijibu tu kiroho safi. Je na wewe ukifa utakamuliwa mavi eti uingie peponi msafi?
Kanipigie kampeni kule 'akili kubwa' nikishinda tu nakupeleka kwa Salt Bae.