Aneel munawar
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,580
- 8,141
Akiwa mitaa ya mzogoleSiku zote huwa hauna akili , umeshindwa kugugo kabla ya kupost thread ukiwa Kibaigwa unachunga ng'ombe ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa mitaa ya mzogoleSiku zote huwa hauna akili , umeshindwa kugugo kabla ya kupost thread ukiwa Kibaigwa unachunga ng'ombe ?
Alafu unaweza kuta mbuzi ladha yake ni Ile ile kama kwa massawe
Hongera sanaà
Nikopeshe blazah🙌. Hiyo mikato ya matajiri hiyo.Hivi unanichukuliaje? Niweke hapa hadharani bank statement zangu za Deutsch bank, swiss credit, swiss bank, HSBC? Nikuwekee financial statements zangu za offshores ma tax haven huko monaco, panama, Bahamas, Jersey na Virgin islands?
Saiv Ben pol kafulia hatariKipindi hicho akiwa na yule Rich wife..
Sahii sijui[emoji2]
Tuwekee picha zao wakiwa hukoKina Diamond na familia washakula hapo na watz wengine
Yule jamaa alitaka sana piga picha nami sema walinzi wangu walikuwa makini. Nimeapa sitoenda tena kula pale. Msumbufu sana. Na change alikuwa harudishi sema nliona si tatizo umaskini tu.nlitaka sana aje angalau kwa week moja achome nyama hapa TZ kwenye birthday yangu mwakani. Sema tu usumbufu wake ndo unanikera.Umechelewa Sana, maana nakumbuka bilionea Bill Lugano , alitumia $1m hapo 😂🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule jamaa alitaka sana piga picha nami sema walinzi wangu walikuwa makini. Nimeapa sitoenda tena kula pale. Msumbufu sana. Na change alikuwa harudishi sema nliona si tatizo umaskini tu.nlitaka sana aje angalau kwa week moja achome nyama hapa TZ kwenye birthday yangu mwakani. Sema tu usumbufu wake ndo unanikera.