who supposes so?
mawazo mgando na mob-psychology..whats wrong with kuwa na govi?
foreskin inaondolewa kwa sababu mbili tuu: za kiafya na za kidini otherwise hakuna kitu cha ajabu mtu kuwa kama alivyoumbwa na mwenyezi Mungu..unless unataka kunambia kuna imperfection yoyote iliyowah kupatikana katika kazi ya Mungu!
Wamasai na wagogo wanajisikia kutapika wakimuona mwanamke ambaye hajakeketwa..tunakubaliana kuwa mna mawazo yanayofanana?
nilivyosoma hii post nusu nitapike,hv mtoto wa kiume miaka 19 bado hujakatwa,while it suppose to be done 18 or 17 years ago. well hukuwah kuwa na manzi b4 na wakakucheka?
Ni vingapi ambavyo vimeshawahi kukutapisha?
wiki tu unapona ila uwe unakunywa mtori na supu
ni vingi pamoja na hili, kwa mwanaume its shame hata yesu alitahiriwa akiwa katoto kadogo
Miss chagga;
Umenimaliza mbavu kweli. Yaani we ni me au ke? Mambo hayo uliyajulia wapi? Anywe supu na mtori, je ka ni Mpare?
si niliadithiwa kama mpare sijui
Jamani habari zenu,
Mi mwanaume now nipo chuo mwaka wa kwanza , sasa nataka kwenda kutahiri likizo hii naomben ,mawazo na ushaur, alafu je, nitakaa muda ganu mpaka kupona? nijitunzaje nikapotahiri na vinginevyo vinavyohusiana na tohara ya hospital.
nilikuwa shule ya msingi darasa la pili..nakumbuka ndani ya hiyo hiyo wiki nilianza kucheza mpira bado nina bandeji...
nina ndugu yangu yeye ni zaidi ya miaka ishirini,ana wiki tatu sasa lakini bado anadekadeka akidai kidonda hakijapona...
Nyie wahaya bwana mna matatizo, sasa mnakaa na hilo gozi/filimbi ili iweje?
Kwa nini unataka kutahiri? Mtu mzima unataka kujikeketa kwauoga wa kuchekwa na jamii?!!...acha hizo bana, kutahiri ni mambo ya kizamani.
Usimdanganye mwenzio, kutokutahiri ndio mambo ya kizamani.
Hakuna mwanamke anayependa kuona sura mbaya ya govi.
sasa ulitaka utapke nn au una mimba ww!! mbona kuna tamaduni nyingi tu hawatahir kabisa!!!hata ulaya ambao hawajakatwa wapo kibao ingawa ndo wanaodhamin iz program za kutahir uku kwetu wakat wenyewe wengi hawafanyi