Nataka niache kuvuta bangi lakini nashindwa

Nataka niache kuvuta bangi lakini nashindwa

Mungu akusimamie uache kabisa,kuwa bize kusoma neno la Mungu
 
Haujataka tuu. Ndani ya week 1. Utaweza kulala na kula maana ndio vitu vinatesa wakati wakuiacha
 
Mkuu! Unakosea sana, sio unakosea kuacha bange, laa! Unachokosea kuja kuomba ushauri humu Jamii Forums!
Kwanini utake kumfuata Mungu halafu ushauri unamuomba Kaisari???.
Maoni yangu: Wafuate viongozi wako wa kidini, naamini hao watakuelekeza vizuri jinsi ya kuacha na jinsi ya kuwa karibu na Mungu wako ambae hapendi bange!.
Ushauri kwa wote: unapotaka kuoa usiombe ushauri kwa "Mabachelor"
Ndio maana kaja humu kuapata mawazo na wew umempa mawazo ambayo akiona ni sawa atafanyia kazi [emoji23].. umeona alivokuwa sawa kuja hum.
 
Habarin wana JF.

Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.

Naomben ushaur nifanyaje?
Yesu anasema katika Mathayo 11:28
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha."

Hiyo bangi ni mzigo unaokulemea. Kwa nguvu zako huwezi kuacha. Lakini ukiamua sasa hivi kutubu dhambi hiyo na dhambi zote nyingine, na kumpokea Yesu moyoni mwako kwa imani atawale maisha yako, hiyo kiu ya bangi ataiondoa kabisa. Kama uko tayari kufanya hivyo fuatisha sala hii kwa moyo wako wa dhati kisha utaona badiliko. Omba sasa maneno yafuatayo:

"Ee Mungu, nakiri mimi ni mtenda dhambi. Nimekukosea kwa kuvuta bangi. Natubu uovu huu. Naomba Mungu unisamehe dhambi hii na dhambi zangu zote nyingine. Niko tayari kuziacha kuanzia sasa. Ee Yesu, nakupokea ndani ya moyo wangu, uwe Bwana na Mwokozi wangu. Utawale maisha yangu kuanzia leo. Nakushukuru Mungu, naamini umenisamehe na kuniokoa, katika Jina la Yesu Kristo. Amen."

Kama umeomba hivyo kwa dhati/kwa moyo wako wote, tayari umeokoka. Mungu amekusamehe na hiyo hamu ya kuvuta bangi hutaisikia tena.
Kinachokupasa sasa kutenda, anza kusoma Neno la Mungu(Biblia) kila siku na kumwomba Mungu akuwezeshe kuishi maisha ya ushindi siku zote. Tafuta pia kanisa lolote linalofundisha kweli yote ya Neno la Mungu ili ujifunze zaidi jinsi ya kuishi maisha hayo mapya ya wokovu. Ubarikiwe sana ndugu.
 
Kuna vitu vya kuacha, lakini kwenye mneli wanisamehe tu kwakweli...🙄
 
Habarin wana JF.

Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.

Naomben ushaur nifanyaje?
Usihofu, muulize rais Kikwete aliwezaje?
 
Kila mtu anavuta banging kwa motive fulani, mwingine kwaajili ya kulima, mwingine kusoma, mwingine akivuta anakuwa ametulia tu anaona kama yuko YUESIEI,Wewe unavuta kwaajili ya nn?
 
IMG_6147.jpg
 
Habarin wana JF.

Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.

Naomben ushaur nifanyaje?
Ukifanikiwa kuacha bangi umpe ushauri na Jobo Ndugayi maana yeye anatumia bange, ugoro, pombe, madada poa, shisha, sigara nyota na kunusa petrol
 
Habarin wana JF.

Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.

Naomben ushaur nifanyaje?
Kama kuna sehemu kwenye biblia au kitabu kingine wamesema ni dhambi nakutumia elfu kumi hapa. Bangi ni tamuuuu ww
 
Habarin wana JF.

Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.

Naomben ushaur nifanyaje?
Amia kwenye fegi
 
Back
Top Bottom