Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
We nae yaani unapelekeshwa na dini? Ungekuwa na sababu nyingine ningekuelewaStimulus nakubal. Shida nmeambiwa din aitak namm nipo kumrudia Almighty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae yaani unapelekeshwa na dini? Ungekuwa na sababu nyingine ningekuelewaStimulus nakubal. Shida nmeambiwa din aitak namm nipo kumrudia Almighty
😂😂Kama dini yako inaona bangi ni illegal, achana na hiyo dini tu.
Kwanini waite nature illegal?
Ndio maana kaja humu kuapata mawazo na wew umempa mawazo ambayo akiona ni sawa atafanyia kazi [emoji23].. umeona alivokuwa sawa kuja hum.Mkuu! Unakosea sana, sio unakosea kuacha bange, laa! Unachokosea kuja kuomba ushauri humu Jamii Forums!
Kwanini utake kumfuata Mungu halafu ushauri unamuomba Kaisari???.
Maoni yangu: Wafuate viongozi wako wa kidini, naamini hao watakuelekeza vizuri jinsi ya kuacha na jinsi ya kuwa karibu na Mungu wako ambae hapendi bange!.
Ushauri kwa wote: unapotaka kuoa usiombe ushauri kwa "Mabachelor"
Yesu anasema katika Mathayo 11:28Habarin wana JF.
Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.
Naomben ushaur nifanyaje?
Usihofu, muulize rais Kikwete aliwezaje?Habarin wana JF.
Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.
Naomben ushaur nifanyaje?
Ukifanikiwa kuacha bangi umpe ushauri na Jobo Ndugayi maana yeye anatumia bange, ugoro, pombe, madada poa, shisha, sigara nyota na kunusa petrolHabarin wana JF.
Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.
Naomben ushaur nifanyaje?
Kama kuna sehemu kwenye biblia au kitabu kingine wamesema ni dhambi nakutumia elfu kumi hapa. Bangi ni tamuuuu wwHabarin wana JF.
Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.
Naomben ushaur nifanyaje?
Amia kwenye fegiHabarin wana JF.
Mimi ni kijana mwenye Umri 28. Moja kwa moja niende kwenye kichwa husika. Nimekua mvutaji wa bangi kwa miaka kama mi3 mpaka sasa, Nataman sana niache kwasabab nimeambiwa ni dhambi na dini hairuhusu kila nkijitaid kukaa bila kuvuta najikuta narud tena.
Naomben ushaur nifanyaje?