Nataka niandae pambano la kushindanisha nguvu kati ya walokole vs waganga, wachawi, na waotumia nguvu za giza

Nataka niandae pambano la kushindanisha nguvu kati ya walokole vs waganga, wachawi, na waotumia nguvu za giza

Kwakua wote ni ma Artist, waigizaji matata, hapo pambano litakua droo maana kila mmoja atapandikiza mamluki kwenye kundi la wenzie ambao watadondoka na kuanza kutoa shuhuda za uongo
Haha haha hah
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Naomba niwe refa.
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Hilo pambano liko kichwani mwako tayari linaendelea, na mshindi ulishamjua maana ulimbeba wewe mwenyewe kama refa. Usinichoshe!😕
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Hautaweza.
 
Naahidi kua shabiki wa Bibi,
sitamuangusha.
Karibu Sana,,, Bibi kipaji chake level nyingine kabisa.... Kuna mwamba alijifanya kwenda kumkamata eti anapigwa ramli!!! Wako njiani mitambo ikasoma akasema subiri nimkomeshe huyu mtoto kahamishiwa hapa harafu anacheza na wenye mji wao. Mwamba kila akiendesha gari nyumba anaiona ile wakishuka wanashuka kituo cha polisi
 
Hamna mambo ya Mungu, kuna mambo ya rohoni. Hawa mabingwa wa ulimwengu wa rohoni nataka washindane hadharani. Maana wanayoyafanya kwenye ulimwengu wa roho yanadhihirika kwenye ulimwengu wa mwili (ulimwengu wandamu na nyama)
Huwezi kumshindanisha Mungu na viumbe vyake.
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Taarifa zitoke mapema tulete wadhamini
 
Back
Top Bottom