Nataka niandae pambano la kushindanisha nguvu kati ya walokole vs waganga, wachawi, na waotumia nguvu za giza

Nataka niandae pambano la kushindanisha nguvu kati ya walokole vs waganga, wachawi, na waotumia nguvu za giza

Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Walokole ndio waganga na waganga ndio walokole stuka
 
Hao wachawi,waganga waje uwanjani wapambane na ma pastor, mapadre ,maaskofu ili baada ya matokeo ya wazi sisi raia tutaamua tumfuate nani maana matokeo yanaongea
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Duh! Umejitahidi kuwaza mkuu,lkn mi nadhani mashindano yashaanza tayari,humu humu jf,hakuna haja yakuandaa sijui wapi au wapi,we mwenyewe utajionea maoni humu yatakavyo tiririshwa!!,mi huwa najiuliza shetani na mungu ni nani zaidi?najua mungu ndo zaidi,lkn utakuta maeneo hayo asilimia 90 shetani ndo azungumziwa zaidi,why!!!
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Wote ni waganga wanaoganga njaa iliyoko tumboni na kichwani
 
Duh! Umejitahidi kuwaza mkuu,lkn mi nadhani mashindano yashaanza tayari,humu humu jf,hakuna haja yakuandaa sijui wapi au wapi,we mwenyewe utajionea maoni humu yatakavyo tiririshwa!!,mi huwa najiuliza shetani na mungu ni nani zaidi?najua mungu ndo zaidi,lkn utakuta maeneo hayo asilimia 90 shetani ndo azungumziwa zaidi,why!!!
Dini zote zinashindana nanshetani miaka nenda rudi na wamemshindwa
 
Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.

Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.

Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.

Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Utanitag mkuu
 
Back
Top Bottom