KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
-
- #21
Haha haha hahKwakua wote ni ma Artist, waigizaji matata, hapo pambano litakua droo maana kila mmoja atapandikiza mamluki kwenye kundi la wenzie ambao watadondoka na kuanza kutoa shuhuda za uongo
Mjulishe mapemaBibi yangu ni mganga koma koma unijulishe mapema nimualike kwenye mpambano halafu Bibi pambano lakeliwe maalumu na mwamposa tu
Walokole watapigika vibaya sana tena KOMapema walokole wanagalagazwa... Ni vile tu waganga na wachawi hawalopoki ovyo........
Atashangaa upande wa wanaoitwa walokole hakuna watu kabisa na wale anaamini ni walokole nao wapo upande wa wagangaUtawaandaa vizuri tu alafu mwisho utagundua wote ni waganga
Naahidi kua shabiki wa Bibi,Bibi yangu ni mganga koma koma unijulishe mapema nimualike kwenye mpambano halafu Bibi pambano lakeliwe maalumu na mwamposa tu
AtatoboaBibi yangu ni mganga koma koma unijulishe mapema nimualike kwenye mpambano halafu Bibi pambano lakeliwe maalumu na mwamposa tu
Naomba niwe refa.Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.
Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.
Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.
Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Hilo pambano liko kichwani mwako tayari linaendelea, na mshindi ulishamjua maana ulimbeba wewe mwenyewe kama refa. Usinichoshe!😕Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.
Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.
Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.
Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Hautaweza.Ukipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.
Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.
Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.
Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.
Mapema mtu anapigwa tatu bilaAtatoboa
Kwanini nisiweze?Hautaweza.
Anapumulia mashine huko IndiaMafwele azidi kuwala vichwa tu.
KaribuNaomba niwe refa.
Yalikua ni mashindano..Yani walibet..hivo dhana ya kua kwa Mungu hakuna mashindano ni uongowale manabii wa baali walijifanya wajanja ikabidi nabii eliya awanyooshe
Karibu Sana,,, Bibi kipaji chake level nyingine kabisa.... Kuna mwamba alijifanya kwenda kumkamata eti anapigwa ramli!!! Wako njiani mitambo ikasoma akasema subiri nimkomeshe huyu mtoto kahamishiwa hapa harafu anacheza na wenye mji wao. Mwamba kila akiendesha gari nyumba anaiona ile wakishuka wanashuka kituo cha polisiNaahidi kua shabiki wa Bibi,
sitamuangusha.
Huwezi kumshindanisha Mungu na viumbe vyake.Hamna mambo ya Mungu, kuna mambo ya rohoni. Hawa mabingwa wa ulimwengu wa rohoni nataka washindane hadharani. Maana wanayoyafanya kwenye ulimwengu wa roho yanadhihirika kwenye ulimwengu wa mwili (ulimwengu wandamu na nyama)
Taarifa zitoke mapema tulete wadhaminiUkipita sehemu za wanamaombi utasikia wakiutuma moto (wanapiga faya) kwenda kwa shetani, mapepo, wachawi na waganga.
Ukiingia kwenye makanisa yao utakuta watu wamepagawa na mapepo, mapepo yanasema naungua, naungua, usinichome, natoka.
Kuna watu wanasema huko makanisani kuna maigizo na hizo kelele haziakisi ukweli wowote. Sasa kuondoa ubishi, nimeona nije na pambano la wazi ambalo walokole watapambana wa waganga tuone ni kundi gani lina nguvu zaidi.
Mipango inaendelea, mtajulishwa ni lini na wapi pambano litafanyika, na Zawadi zitakuwa ni zipi kwa washindi.