Nataka nianze kunywa pombe bia gani ni nzuri ya kujifunzia?

Nataka nianze kunywa pombe bia gani ni nzuri ya kujifunzia?

Kweli binadamu wana roho mbaya aisee...

Nimeona watu wanakutaza usinywe pombe yan hadi dhambi wanataka kukubania?
 
Wana Chitchat habari ya mchana

Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi, na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'

Asanteni karibuni sana wana chitchat.

Anza na Bange Lager kisha utamalizia na Gongo Lager, nina uhakika kwa 'Mseto' huu utakuwa umeshajifunza na kufuzu kabisa kuwa Mlevi Mkuu.
 
Inategemea na kichwa chako mimi nimeanza pombe nikiwa Secondary tena kwa siri haswa hakuna mtu mtaani anajua kuwa natupia Pombe, Nilikuwa nakunywa viroba kipindi hicho Siku tungi likizidi naenda mbali na home nalala uko uko kwa washikaji tu, Nilivoingia chuo ndo nkapata ka uhuru ka kupiga beer sio kuwa home walikuwa strictly hapana basi tu nilikuwa naaminika na kuheshimika ivo nilivo safiri kuwa mbali niliweza ata kukaa walau bar na kushusha vitu mana nilikuwa mkoa mbali na home, Pombe haikuwahi kunitawala na haitakuja kunitawala niliinywa kistarabu haswa wakati wa matukio ya chuoni muda wa chuo nilitumia pombe karibu aina zote kuanzia whiskey,wine,Vodka,Cider, Gin na Sprit siku nikiwa na mawe basi ni beer na favourite ilikuwa Safari beer siku nimechacha ni Sprit siku nikiwa na kampani na wazungu mana nimesoma Arusha basi napiga Vodka au Whisky haswa Grants na Smirnoff X1, Mpaka hivi ninavyongea mzee wangu tangu mimi ni mdogo mpaka now mimi nipo kazini mzee wangu anapiga pombe na home zipo tu ila mpaka leo hajui kuwa natumie kilevi iko hata nikiwa nae maeneo napiga Soda tu au maji then na cool, Pombe imenisaidia mengi ikiwemo confidence nakufanya maamuzi Magumu ambayo huleta faida kubwa kwangu naitumia very moderate na sijataka kabisa iniendeshe hata kidogo kiafya huwa napiga Red wine baada ya msosi haswa dinner ili kuruhusu digestion iende njema, Nikiwa na wana viwanja basi mimi Now Beer yangu the Finest ni SERENGETI LAGER
 
Wana Chitchat habari ya mchana

Kama kichwa cha habari kinavyojionyesha hapo juu, nataka nianze kunywa bia, kwa maana sijawahi kunywa pombe yoyote ile, sasa naomba mnishauri ni bia gani ambayo ni rahisi, na rahisi kwa kujifunzia kwa sisi 'beginners'

Asanteni karibuni sana wana chitchat.
Castle Lite.

Heinkein

Serengeti lite

Redds
 
Back
Top Bottom