Nataka nitoke na binti niliyemwajiri. Kwa wale mliowahi kutoka na mabinti mliowaajiri kwenye maduka au ofisi zenu, hii itaathiri ufanisi wa kazi?

Litakuwa duka la mpenzi to wake au mume wake hivyo atakuwa na haki ya kuchukuwa pesa kwa matumizi yake. Akiwa na huruma atakuwa analeta vitu vinavyouzikq kwa haraka dukani kwako na kuuza utakuta bidhaa zako haziendi.
 
Na huo nd'o mwisho wa hiyo ofisi!!!
Niamini, nina uhakika na uzoefu wa kinachoenda kukuta mkuu.
 
busara sana hii mkuu. Yaani hivi sasa single mother imekuwa kama fashion. Lakini hii hali inaharibu sana future za mabinti wengi. wanaume wangapi wapo tayari kuoa mwanamke mwenye mtoto? ni wachache sana.
 
😅😅😅 mwaka flani baada ya kumaliza chuo, nilipata tempo kufundisha kishule kimoja cha kata. I wasnt gettig paid that much, wazee wenzangu wa tempo mnajua.

So, ili kuongeza kipato nikaanzisha kimradi cha kupiga picha wanafunzi nikusanye zile buku buku zao. Nilitoka chuo na ki-digital camera changu kidogo kiroho safi. Na nilijua soko langu kubwa litakuwa kwa mabinti. Mabinti na picha aisee....

Ile shule ilikuwa na hostel. Pamoja na kwamba nilikuwa napiga picha huku nje fresh tuu, ila nilipata wazo. Kwamba kama nitaweza kuwafuata wale mabinti kule kwenye mabweni yao naweza kupiga picha nyingi huko kuliko huku. Sasa naingiaje?!

Ikabidi nimtumie huyo binti. Mwanafunzi wa kidato cha nne. Demu wa kwenda. Mshapu yani. Nilimuona yeye anaweza kunifaa kwa kazi ile.

Yaani awe anaenda na kamera mabwenini kwao, anawapiga hukoo, then wakitosheka, ananiletea weekend naenda kuzisafisha, au najiiba katikati ya week. Namletea anazigawa. Kisha ananiletea pesa.

Nilipiga noti, nae alianza kula vimandazi bwana, na viwali kwa mama muuza si haba.

Nikajichanganya sasa. Huyu shetani huyu!!. Si nikamtongoza yule binti bwana! Yaani ile mikutano ya wawili ya kupeana picha na hela ikanifanya nijione mimi ndio mwaaaamba, nikatupa vokali.

Hata kabla vokali zangu hazijapewa majibu ya kueleweka zile hela za picha zikawa sio zangu tena, zikawa zetu. Demu akaanza kuzila anavyotaka. Akiniletea hesabu imepwaya namuuliza kulikoni ananijibu zingine katumia. Aisee!

Project yangu ikayumba, mwisho niseme tuu ikafa. Maana sasa ilibidi nimnyang'anye kamera na sikupata mwingine kirahisi wa kufanya nae kazi. Si unajua tena vyanafunzi🤣🤣🤣

Kwahyo mleta maada, take it from here. Kupanga ni kuchagua.
 
Nakushauri tafuta mfanyakazi mwingine. Huyo tayari ameshapanda cheo
 
mkuu Black Sniper, kwanini mdau akianza kucheka cheka na wateja, binti aanze kuwa na wivu wakati pengine ni ukarimu tu kwa wateja?
 
busara sana hii mkuu. Yaani hivi sasa single mother imekuwa kama fashion. Lakini hii hali inaharibu sana future za mabinti wengi. wanaume wangapi wapo tayari kuoa mwanamke mwenye mtoto? ni wachache sana.
Kaka, huwa nikileta nyuzi zangu humu, naambiwa nawaigizia. Ila ukweli natafuta mke wangu wa maisha. Mm sio mpinga ndoa kama baadhi ya wajuba humu. Tatizo huja hapa, unamtokea binti ambae unaona kabisa anakufaa. Lahaula! unakuja kugundua ni single mother. Na mm siku hizi kabla ya kuemq madini yangu lazima nimtege kwanza afunguke kama amewah kuzaa au la. Akiniambia tu anamtoto hata lengo lqngu simwambii maana najua ni mzigo tu.

Huwa nabaki kujiuliza tu, hiv mm ndio nilichwlewa kuaapa mimba? Mbona wamewahi sana kuzaa?. Kjna muda nataman nitwange mtoto wa mtu mimba ila roho huaa inakataa. Sitaki kuwa na watoto mama tofauti na pia huwa naaaza sana kumpa mtu ujauzito kisha usimuoe, binafsi siwezi.


Mungu anisaidie kwakweli
 
Kazi na mapenzi hapana chezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…