Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mkuu nitataka kuona makaburi ya kuku wetuSawa mkuu sina hata kuku mmoja. Mradi wangu ulifeli sana. Mdondo uliua kuku wote nilioanza nao. Yaani hapa nilipo napumulia mashine maana hata pa kwenda sina.
Hapo utakua umefurahi au unataka nikutumie picha za kuku waliokufa ili nikuaminishe?
Hio Imekaa njemaaa ! SafiSoko la kuku wa kienyeji kwa huku kwetu ni zuri sana aisee. Kwanza tupo karibu na mjini kwahiyo inanipa urahisi wa kuuza maana ukipiga simu tu, wanakuja kama nyuki na matenga yao
Una maanisha nini mkuu??? Kwamba hii ipo kwenye mipango???Mipango sio matumizi.
Sio rahisi uwe na kuku laki moja ndani ya miaka mitatu.Una maanisha nini mkuu??? Kwamba hii ipo kwenye mipango???
Kama una eneo lenye usalama kwa kuku wa kienyeji, nakupa ofa njoo nikupe somo na nikupe formula ya dawa ya mdondo na ndui....
Utajifunza bure kabisa kwa muda mfupi sana. Ila kama unalo eneo la usalama kwa kuku wa kienyeji
Kuku 1000 kwa miaka 3????? Hahaaaaaa.....ndani ya mwaka mmoja nimezalisha kuku 2000 tena hapo nilipata changamoto ya vifaranga kufa kwa wingi mpaka nilichanganyikiwa. Isingekua hivyo, leo hii ningekua mbali sana.Sio rahisi uwe na kuku laki moja ndani ya miaka mitatu.
Ni sawa na kuota unapaa.
Wewe fuga kuku wako wakifika 1000 kwa hiyo miaka 3 nenda kanisani/msikiti Katoe sadaka.
Simu ya nusuhela haina cameraKapicha hata kwa mbali inatosha.
Simu ya nusuhela haina camera
Hahahaaa!.[emoji3][emoji3][emoji3] save your Energy brother, kwani kuna mtu alikuuliza kama unajua dawa ya MDONDO au ulisema mwenyewe kuwa unaijua?
Kwahiyo ulisema unaijua ili kuturingishia au? Kwani ungekaa kimya ungepungukiwa nini, maana ni ngumu Kwa mfugaji kuona mfugaji mwenzie anasema anajua Dawa ya ugonjwa Fulani na asiulize ndomana tunauliza
Na issue ingine, labda tu nikwambie wote tunafanya biashara au tunafuga au tunafanya shughuri yoyote iliyo halali hakuna mtu anaweza kuficha shughuri halali labda iwe na makando makando
Utaficha outcome ya biashara ila sio biashara, mtu utajua anafanya kazi gani Ila anaweza kuficha amepata nini kutoka kwenye hiyo kazi
Ungekuwa na hao Kuku, compared na watu vile walivo ku criticize kuwa huwezi Kufuga kuku laki moja, Naimani ata ungefikisha kuku 200 Tu lazima ungeleta picha ili kuprove watu wrong na usingerudi na blaaaa blaaaa kama hizi
Kuhusu Dawa ya MDONDO unasema ohhh sijui formula siwezi kutoa bure it's okay, haya kuhusu picha za kuku nazo watu wa jf wataiba au sio, kuhusu miundombinu nayo watu wa humu watakuja kuivunja au sio
Kwahiyo Kwa lugha nyepesi ni kuwa wewe hao Kuku HUNA, ila umeamua tu kurudi kufufua Uzi wako baada ya kimya kirefu