Nataka nizalishe kuku wa kienyeji laki moja ndani ya miaka mitatu

Nataka nizalishe kuku wa kienyeji laki moja ndani ya miaka mitatu

Sawa Mkuu Kwa maelezo hayo nimekupata in term ya structure ya mabanda unayotumia

ila sijaona uhusiano wa uliopo kati maghala unayotumia kufugia kuku wako na kutoshea picha zake

Me niliomba Kwa niaba ya wengi tuone vile unalea na kufuga kuku wako maana sidhani kama kuna ubaya, mwingine nayeye anaweza akawa na hayo maghala ila hajui namna ya kuyatumia kwenye ufugaji na ukawa umemsaidia

Na kuhusu Dawa ya MDONDO sidhani kama ukisema hivo ni Sawa, ingekuwa hivo basi kipindi cha Corona watu wangeuchuna tu na kushuudia ndugu zao wakifa ilhali kuna dawa wao zinawasaidia

Unless otherwise watu tutaamini umeamua kutupiga kamba Tu kama kamba zingine maana hakuna ulicho prove hadi sasa, yani ujue dawa ya ugonjwa usio na dawa na usitake kushea ili upate faida gani?

Kama hutojali mkuu, sie tunaomba tu ushee picha za mradi wako tujifunze na muhimu zaidi hiyo dawa ya MDONDO
Amini hii ni kamba kama kamba nyingine kaka wala usisumbuke ndugu yangu
 
Nadhani sio wote mkuu, maana kwa tafsiri ya Maskini kama tuijuavyo hapana me sio Maskini labda uwe na tafsiri ingine

Bahati mbaya kwa asubui hii ni kweli hiyo Laki 3 mkuu SINA Kama ndio kipimo chako cha utajiri, ila sidhani kama kuna business man anakaa tu na hela ndani ili awe anaziangalia

Pia mkuu labda tu nikukumbushe kuwa ninazo Gut's sio Tu za kusema ukweli bali ninazo, Gut's za kufanya pia, sio kama wengi wenu keyboard warrior mlivo, hujawahi kufuga ata njiwa unataka kushauri kuhusu Kuku 100,000

Na mwisho kabisa, zingatia mtoa mada alivorudi karudi na same story ya kuku laki moja au karudi na kuku elf mbili? alafu kamuulize kachange wazo kwa sababu ya comment yangu unayoiita ya kukatatisha Tamaa au kachange kisa ukweli ambao amekutana nao Field
Alifikiria kikubwa sana akapata kikubwa kidogo. Kuku 2000 akiuza kila kuku 10,000 ni mtaji mzuri tu.
 
Alifikiria kikubwa sana akapata kikubwa kidogo. Kuku 2000 akiuza kila kuku 10,000 ni mtaji mzuri tu.
Mkuu with all due respect kwa ndugu yangu hapo, kwa Akili tu ya kuvukia barabara unahisi kuna mwenye kuku 2000 hapo?

Unapofuga kuku it means hiyo ni biashara, na biashara yoyote ile mwenzie ni matangazo ili biashara/product zako ziweze kusambaa eneo kubwa na hatimae kuongeza income

anasema anauza mayai, anauza na kuku kipi kinafanya afanye Siri utadhani anafuga MAJINI? labda kama utakuwa mgeni wa watu tuliopo humu na majigambo yao nyuma ya keyboard

Kupitia picha atapata wateja wa mayai kutoka mikoa yote,atapata wateja wa mitetea kutoka mikoa yote,atapata wateja wa majogoo kutoka mikoa yote, sasa kuna mfanya biashara asie taka Ku expand empire yake?

Kwahiyo ukikuta mfanya biashara analazimishwa kuonesha/kutangaza bidhaa zake na hataki Usijipe tabu, jibu jepesi ni kuwa HANA

Ata mie naweza kuanzisha Uzi au kutoa comment kuwa kwa sasa nina mbuzi 200 na nilianza na majike wawili na beberu moja mwaka Juzi, wakutoa pongezi atatoa na kukosoa atakosoa

ila kuna wenye curiosity ya kutaka kujua nimefanikiwa vipi watataka kujua kupitia picha za hao Mifugo, pia picha za miundombinu nayotumia katika ufugaji wangu ili itumike kama elimu Kwa wengine lakini pia kujitangaza

Sasa kama nafuga kimya kimya sitaki kuonesha picha za hao mbuzi wala mabanda yao wala mbinu nazotumia kukabiriana na magonjwa sasa nilianzisha Uzi wa nataka kuwa na mbuzi 5000 ndani ya miaka 5 wa nini?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Akiweka chochote hapa kinachoendana na hicho anachosema mimi najipiga ban! Huyu mwamba ni aina fulani ya motivesheno spikazi!
Inashangaza sana Mkuu, yani mtu uweke tangazo kuwa unafanya biashara ya kuuza vifaa vya umeme

ila cha ajabu watu/wateja wakiomba kuona picha za hivo vifaa pamoja kutoa location ya ofisi yako hutaki

Sasa ulileta tangazo la nini si ungekaa kimya ukaendelea kuwauzia watu wa mtaani kwako

Alafu watu tukiuliza tunaonekana ma Hater's, wanataka tupelekwe tu kama Mang'ombe yanaingizwa kwenye Josho
 
Mkuu with all due respect kwa ndugu yangu hapo, kwa Akili tu ya kuvukia barabara unahisi kuna mwenye kuku 2000 hapo?

Unapofuga kuku it means hiyo ni biashara, na biashara yoyote ile mwenzie ni matangazo ili biashara/product zako ziweze kusambaa eneo kubwa na hatimae kuongeza income

anasema anauza mayai, anauza na kuku kipi kinafanya afanye Siri utadhani anafuga MAJINI? labda kama utakuwa mgeni wa watu tuliopo humu na majigambo yao nyuma ya keyboard

Kupitia picha atapata wateja wa mayai kutoka mikoa yote,atapata wateja wa mitetea kutoka mikoa yote,atapata wateja wa majogoo kutoka mikoa yote, sasa kuna mfanya biashara asie taka Ku expand empire yake?

Kwahiyo ukikuta mfanya biashara analazimishwa kuonesha/kutangaza bidhaa zake na hataki Usijipe tabu, jibu jepesi ni kuwa HANA

Ata mie naweza kuanzisha Uzi au kutoa comment kuwa kwa sasa nina mbuzi 200 na nilianza na majike wawili na beberu moja mwaka Juzi, wakutoa pongezi atatoa na kukosoa atakosoa

ila kuna wenye curiosity ya kutaka kujua nimefanikiwa vipi watataka kujua kupitia picha za hao Mifugo, pia picha za miundombinu nayotumia katika ufugaji wangu ili itumike kama elimu Kwa wengine lakini pia kujitangaza

Sasa kama nafuga kimya kimya sitaki kuonesha picha za hao mbuzi wala mabanda yao wala mbinu nazotumia kukabiriana na magonjwa sasa m nilianzisha wa nataka kuwa na mbuzi 5000 ndani ya miaka 5 wa nini?
Labda ni uchoyo au hana au basi tu hajataka kuweka wazi. Vyovyote vile ni sawa tu boss.
 
Mkuu with all due respect kwa ndugu yangu hapo, kwa Akili tu ya kuvukia barabara unahisi kuna mwenye kuku 2000 hapo?

Unapofuga kuku it means hiyo ni biashara, na biashara yoyote ile mwenzie ni matangazo ili biashara/product zako ziweze kusambaa eneo kubwa na hatimae kuongeza income

anasema anauza mayai, anauza na kuku kipi kinafanya afanye Siri utadhani anafuga MAJINI? labda kama utakuwa mgeni wa watu tuliopo humu na majigambo yao nyuma ya keyboard

Kupitia picha atapata wateja wa mayai kutoka mikoa yote,atapata wateja wa mitetea kutoka mikoa yote,atapata wateja wa majogoo kutoka mikoa yote, sasa kuna mfanya biashara asie taka Ku expand empire yake?

Kwahiyo ukikuta mfanya biashara analazimishwa kuonesha/kutangaza bidhaa zake na hataki Usijipe tabu, jibu jepesi ni kuwa HANA

Ata mie naweza kuanzisha Uzi au kutoa comment kuwa kwa sasa nina mbuzi 200 na nilianza na majike wawili na beberu moja mwaka Juzi, wakutoa pongezi atatoa na kukosoa atakosoa

ila kuna wenye curiosity ya kutaka kujua nimefanikiwa vipi watataka kujua kupitia picha za hao Mifugo, pia picha za miundombinu nayotumia katika ufugaji wangu ili itumike kama elimu Kwa wengine lakini pia kujitangaza

Sasa kama nafuga kimya kimya sitaki kuonesha picha za hao mbuzi wala mabanda yao wala mbinu nazotumia kukabiriana na magonjwa sasa m nilianzisha wa nataka kuwa na mbuzi 5000 ndani ya miaka 5 wa nini?
Mkuu hili bandiko sio la biashara au sijaja kujimwambafai. Nimekuja kutoa mrejesho wa kile nilichokianzisha mwaka jana.

Wewe au wengine kuniona natafuta sifa, hiyo haipunguzi kasi yangu ya kufuga kuku.

Hapo juu nimetoa maelezo ya namna ninavyo wafuga kuku wangu. Kumbuka, natumia mbinu ya kupunguza gharama kwa maana ya kuwalisha mara moja kwa siku. Muda mwinhi wanakua wanajitafutia ndani ya fence.
 
Inashangaza sana Mkuu, yani mtu uweke tangazo kuwa unafanya biashara ya kuuza vifaa vya umeme

ila cha ajabu watu/wateja wakiomba kuona picha za hivo vifaa pamoja kutoa location ya ofisi yako hutaki

Sasa ulileta tangazo la nini si ungekaa kimya ukaendelea kuwauzia watu wa mtaani kwako

Alafu watu tukiuliza tunaonekana ma Hater's, wanataka tupelekwe tu kama Mang'ombe yanaingizwa kwenye Josho
Wapi nimetangaza biashara mkuu?
 
Labda ni uchoyo au hana au basi tu hajataka kuweka wazi. Vyovyote vile ni sawa tu boss.
Uchoyo wa nini sasa mkuu? Picha au kitu gani? Kam ni dawaya mdondo, hakika siwezi kugawa formula.... Hili hata kwa watu wanaoendesha makampuni makubwa wapo hivyo. Hiyo ni siri ya mafanikio
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Upo sahihi kabisa. Target ilikua ni kufikisha kuku laki moja ndani ya miaka mitatu. Lakini kwa hali ilivyo na mazingira niliyopo, kufikisha kuku laki moja kwa wakati mmoja ni ngumu.

Kwa hapa nilipofikia, angalau nauona mwanga wa maisha nisiwe muongo.

Ila kama mradi utakaa sawa hivi hivi kwa muda mrefu kidogo, basi nitajipanga mpaka nije nifikishe hao kuku laki moja aisee
Unaweza fikisha in two years. Kikubwa let it be your living norm. Focus on that project. Ongeza nguvu KAZI. Ulipofikia hapo ni ngazi ya juu, you are almost there.
Best of your luck.
 
Uchoyo wa nini sasa mkuu? Picha au kitu gani? Kam ni dawaya mdondo, hakika siwezi kugawa formula.... Hili hata kwa watu wanaoendesha makampuni makubwa wapo hivyo. Hiyo ni siri ya mafanikio
Sahihi boss
 
Uchoyo wa nini sasa mkuu? Picha au kitu gani? Kam ni dawaya mdondo, hakika siwezi kugawa formula.... Hili hata kwa watu wanaoendesha makampuni makubwa wapo hivyo. Hiyo ni siri ya mafanikio
Mmh hapo kwenye daya ya mdondo na ndui umekuwa mbinafsi na mchoyo aisee

Au unauza formulated tukufuate inbobo?
 
Mmh hapo kwenye daya ya mdondo na ndui umekuwa mbinafsi na mchoyo aisee

Au unauza formulated tukufuate inbobo?
[emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo mkuu nawewe unataka kuamini kuwa jamaa anajua Dawa ya MDONDO?

Chukua tahadhari, Chanja kuku wako kwa wakati ili kupunguza Athari za ugonjwa wa MDONDO, ili ata mlipuko ukitokea basi wasipate kabisa ugonjwa wa MDONDO au wasipate mashambulizi makubwa

Kwa upande wa Ndui at least kuna antibiotics zinajitahidi katika kupunguza Athari na kutibu ugonjwa wa NDUI ila kuwa sehemu salama pia ni Bora uchanje tu

Jamaa amemua tu kujipakulia minyama, Ogopa matapeli na wapenda sifa MDONDO hauna DAWA
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo mkuu nawewe unataka kuamini kuwa jamaa anajua Dawa ya MDONDO?

Chukua tahadhari, Chanja kuku wako kwa wakati ili kupunguza Athari za ugonjwa wa MDONDO, ili ata mlipuko ukitokea basi wasipate kabisa ugonjwa wa MDONDO au wasipate mashambulizi makubwa

Kwa upande wa Ndui at least kuna antibiotics zinajitahidi katika kupunguza Athari na kutibu ugonjwa wa NDUI ila kuwa sehemu salama pia ni Bora uchanje tu

Jamaa amemua tu kujipakulia minyama, Ogopa matapeli na wapenda sifa MDONDO hauna DAWA
Upo sahihi kabisa. Bora kuchanja kuliko tiba. Ushauri mzuri sana.

Ila ningependa kukukumbusha, sipo hapa kujipakulia minyama wala sipo kutapeli mtu. Ndio maana nimesema siwezi kumtajia mtu dawa ya mdondo na ndui kwakua haijathibitishwa. Ukipata hasara si utakuja kunilaumu mimi hapa????

Kikubwa ambacho ningependa kuwashauri watanzania wenzangu ni kutoogopa kuwa na ndoto kubwa. Kisha usiogope kuzifuata ndoto zako........ Hata kama hutatimiza, basi kuna mahali utafika. Amini nawaambia, hatua niliyofikia, kwa maisha yangu ya kawaida, sikuwahi kufikiria.... Kuna wakati natamani niwaambie walioko mjini kuwa mali zipo vijijini... Ila jibu ni sio kila aliyeko mjini ametokea kijijini

Ni hayo tu
 
Upo sahihi kabisa. Bora kuchanja kuliko tiba. Ushauri mzuri sana.

Ila ningependa kukukumbusha, sipo hapa kujipakulia minyama wala sipo kutapeli mtu. Ndio maana nimesema siwezi kumtajia mtu dawa ya mdondo na ndui kwakua haijathibitishwa. Ukipata hasara si utakuja kunilaumu mimi hapa????

Kikubwa ambacho ningependa kuwashauri watanzania wenzangu ni kutoogopa kuwa na ndoto kubwa. Kisha usiogope kuzifuata ndoto zako........ Hata kama hutatimiza, basi kuna mahali utafika. Amini nawaambia, hatua niliyofikia, kwa maisha yangu ya kawaida, sikuwahi kufikiria.... Kuna wakati natamani niwaambie walioko mjini kuwa mali zipo vijijini... Ila jibu ni sio kila aliyeko mjini ametokea kijijini

Ni hayo tu

[emoji3][emoji3][emoji3] save your Energy brother, kwani kuna mtu alikuuliza kama unajua dawa ya MDONDO au ulisema mwenyewe kuwa unaijua?

Kwahiyo ulisema unaijua ili kuturingishia au? Kwani ungekaa kimya ungepungukiwa nini, maana ni ngumu Kwa mfugaji kuona mfugaji mwenzie anasema anajua Dawa ya ugonjwa Fulani na asiulize ndomana tunauliza

Na issue ingine, labda tu nikwambie wote tunafanya biashara au tunafuga au tunafanya shughuri yoyote iliyo halali hakuna mtu anaweza kuficha shughuri halali labda iwe na makando makando

Utaficha outcome ya biashara ila sio biashara, mtu utajua anafanya kazi gani Ila anaweza kuficha amepata nini kutoka kwenye hiyo kazi

Ungekuwa na hao Kuku, compared na watu vile walivo ku criticize kuwa huwezi Kufuga kuku laki moja, Naimani ata ungefikisha kuku 200 Tu lazima ungeleta picha ili kuprove watu wrong na usingerudi na blaaaa blaaaa kama hizi

Kuhusu Dawa ya MDONDO unasema ohhh sijui formula siwezi kutoa bure it's okay, haya kuhusu picha za kuku nazo watu wa jf wataiba au sio, kuhusu miundombinu nayo watu wa humu watakuja kuivunja au sio

Kwahiyo Kwa lugha nyepesi ni kuwa wewe hao Kuku HUNA, ila umeamua tu kurudi kufufua Uzi wako baada ya kimya kirefu
 
[emoji3][emoji3][emoji3] save your Energy brother, kwani kuna mtu alikuuliza kama unajua dawa ya MDONDO au ulisema mwenyewe kuwa unaijua?

Kwahiyo ulisema unaijua ili kuturingishia au? Kwani ungekaa kimya ungepungukiwa nini, maana ni ngumu Kwa mfugaji kuona mfugaji mwenzie anasema anajua Dawa ya ugonjwa Fulani na asiulize ndomana tunauliza

Na issue ingine, labda tu nikwambie wote tunafanya biashara au tunafuga au tunafanya shughuri yoyote iliyo halali hakuna mtu anaweza kuficha shughuri halali labda iwe na makando makando

Utaficha outcome ya biashara ila sio biashara, mtu utajua anafanya kazi gani Ila anaweza kuficha amepata nini kutoka kwenye hiyo kazi

Ungekuwa na hao Kuku, compared na watu vile walivo ku criticize kuwa huwezi Kufuga kuku laki moja, Naimani ata ungefikisha kuku 200 Tu lazima ungeleta picha ili kuprove watu wrong na usingerudi na blaaaa blaaaa kama hizi

Kuhusu Dawa ya MDONDO unasema ohhh sijui formula siwezi kutoa bure it's okay, haya kuhusu picha za kuku nazo watu wa jf wataiba au sio, kuhusu miundombinu nayo watu wa humu watakuja kuivunja au sio

Kwahiyo Kwa lugha nyepesi ni kuwa wewe hao Kuku HUNA, ila umeamua tu kurudi kufufua Uzi wako baada ya kimya kirefu
Sawa mkuu sina hata kuku mmoja. Mradi wangu ulifeli sana. Mdondo uliua kuku wote nilioanza nao. Yaani hapa nilipo napumulia mashine maana hata pa kwenda sina.

Hapo utakua umefurahi au unataka nikutumie picha za kuku waliokufa ili nikuaminishe?
 
Back
Top Bottom