Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
allah akutangulie wasichokijua ni kuwa mpka kufika hiyo idadi hao kuku watakuwa wanajihudumia wenyewe.Nimefikisha kuku 2000 mpaka sasa. Japo nilipata changamoto hapo kati, ila safari ndo imeiva hivi sasa. Nimetenga tray 10 kila siku za kuhudumia kuku wote. Mpaka ndoto yangu itimie.
Karibu tule vijogoo vya kuchoma na mayai ya kuchemsha kwa mama mkuu