josemaro
Member
- Jul 14, 2018
- 90
- 61
Kaka tuletee mrejesho au uliamuwa kurud darDawa za kinga na chanjo nazijua, chakula ni uhakika kwakua kuna mashine ya kukoboa na kusaga unga wa mahindi. Eneo lipo la kutosha na maji ya kumwaga...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka tuletee mrejesho au uliamuwa kurud darDawa za kinga na chanjo nazijua, chakula ni uhakika kwakua kuna mashine ya kukoboa na kusaga unga wa mahindi. Eneo lipo la kutosha na maji ya kumwaga...
Wa kisasa manMayai wa kienyeji au kisasa
Kiongozi,Ngoja nikupe mchanganuo wa mradi wangu wa broilers
Hapa sijaweka eneo ambalo nilinunua milioni 20 kiasi cha Sqm 5900
Nilijenga mabanda mawili ambayo yana capacity ya kuingiza kuku 5000 kila moja kwa kiasi cha sh 22m. Mabanda hayo yana sehemu ya stoo za kuhifadhia chakula ukiwa unaingia
Nilizungushia fensi ya nguzo za namba saba na waya wa mfumo wa wavu mkubwa katika eneo lote pamoja na geti na kibanda cha mlinzi chenye choo ndani ambayo ilikula kama 8 to 9m. Pia nimejenga kijumba simple cha vyumba viwili kwa ajili ya wafanyakazi cha bati za upande mmoja na choo kilitumia kama 6m.
Kisima cha maji na umeme vilikuwa kama 3m. Nilisakafia sehemu ya kuhifadhi mbolea na kununua Simtank moja la lita elfu 10 zilighalimu kama 3m hivi. Vifaa vya chakula na maji kama 1M. Kilichobaki ndio nilianzia kuingizia kuku 5000 na kuwatunza na akiba kidogo ilikuwep. Kwa sasa nina kuku 8000 na mwisho wa mwaka huu nataka niwe na kuku 10,000 wa broiler.
Nimenunua eneo kubwa jipya mitaa ya Kibaha ambako ninategemea kufanya mradi mkubwa zaidi huko maana eneo ni kubwa na nita expand vizuri sana kutokana na business plan yangu.. Ninategemea kuchukua mkopo maana nimepata soko Zanzibar nataka niwe na constant supply.
Biashara hii ina changamoto sana ila Allahamdulilah life goes on
huuu ugonjwa noma mkuuSimamia kwenye chanjo kuna ugonjwa unaitwa mdondo huo ukipita bandani kama kuku wako hawajachanjwa wanapukutisha banda nzima.
Aisee!Ukweli huu mchungu.Kuna kitu mkuu unakosea sana, hakuna aliekataa mazingira ya kijijini kuwa hayako favourable Kwa ajili ya ufugaji wa kuku na hasa free range system...
Mkuu nilibahatika kuanza mradi wa kuku wa kienyeji katika eneo la eka 3 ila nilichukua sehemu ndogo ya eneo kwa kuanzia.Kuna kitu mkuu unakosea sana, hakuna aliekataa mazingira ya kijijini kuwa hayako favourable Kwa ajili ya ufugaji wa kuku na hasa free range system....
Nimekupata vizuri mkuuMkuu nilibahatika kuanza mradi wa kuku wa kienyeji katika eneo la eka 3 ila nilichukua sehemu ndogo ya eneo kwa kuanzia
Walifika mpaka 100 na nilikuwa nawala ila siuzi....
Azingatie hili...mipango sio matumiziNi rahisi kusema haya, lakini uhalisia haupo hivyo, unayo safari ndefu kufikia idadi hiyo.
Ana wazo zuri jamani.Sio kumkatisha tamaa ni kuelezana ukweli tu. Kuku laki moja wanahitaji mtaji mkubwa sana zaidi ya milioni 500. Sasa hiyo time aliyojiwekea kufikia hiyo idadi si sahihi unless awe na mtaji kama milioni 250 kwa sasa awekeze ili akizalisha afikie hilo lengo...
Hapo tunaongelea kampuni sasa ambapo una wafanyakazi hata elfu1 na mashamba hata kumi ya kuku lakini ukiwaza kwa udogo kwamba nyumba na ist ndiyo umeshapatia maisha basi kuku elfu mbili ni wengi sana kwakoIla mkuu kuwa na kuku mil 1 n Jambo linalowezekana k ila utekelezaji wake n balaa anahtaj kujitoa haswaa
Nikupe mfano mm hapa kwangu vjana wangu wanapassion ya ufugaji niliwanunulia kuku 10 jike 8!jogoo 2 asee wale kuku walianza.kutaga Kama mzaha Sasa hivi wanakuku 180 wa kienyeji ufugaj huu ulianza mwaka Jana mwez 1
Kiukwel wamekuwa msaada hapa nyumban
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wwe huyoo na mikuku yakoHongera sana. Penye nia pana njia!
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Endelea kujifurahisha na kufurahisha wengine, ila kiuhalisia ni kwamba Huwezi kuwa na kuku laki moja
Unawajua kuku laki 1 au unawaskia tu? Hiyo mashine unayosema ipo ya kusaga haina uwezo wa kuhudumia kuku laki 1 Kwa siku...
Unaweza kabisa sky is a limit!go for it!Dawa za kinga na chanjo nazijua, chakula ni uhakika kwakua kuna mashine ya kukoboa na kusaga unga wa mahindi. Eneo lipo la kutosha na maji ya kumwaga...
Hamna hiyo,karudi Dar mdau na kuku 1 wa kubanika wa mwisho.Updates zikije hapa?