Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata kama mipango ni yake na sio yangu, ila kuna vitu vingine sio vya kumjaza mtu ujinga kisa nisimkatishe tamaaMipango yake co yako uckatishe tamaa jaama
Huwezi kuamini hata doctors wa mifugo huwa wanasababisha kusambaza magonjwa wanapotoka kwenye kuku wagonjwaSimamia kwenye chanjo kuna ugonjwa unaitwa mdondo huo ukipita bandani kama kuku wako hawajachanjwa wanapukutisha banda nzima.
Hongera sana. Penye nia pana njia!
Nipo kiongozi, za siku?Mkuu upo?
Njema boss, sijakuona muda mrefu mitaa hii kiasi kwamba nikakuhamu.Nipo kiongozi, za siku?
Nipo sana, sema tunapishana tu.Njema boss, sijakuona muda mrefu mitaa hii kiasi kwamba nikakuhamu.
Mkuu umesomea kuwatisha watu wenye ndoto zao nini, mana sio kwa 'mitisho' ya namna hii!Endelea kujifurahisha na kufurahisha wengine, ila kiuhalisia ni kwamba Huwezi kuwa na kuku laki moja
Unawajua kuku laki 1 au unawaskia tu? Hiyo mashine unayosema ipo ya kusaga haina uwezo wa kuhudumia kuku laki 1 Kwa siku
Ni vizuri kama umeamua kukimbia Dar na kurudisha mpira Kwa goal kipa ila kama ndo umerudi na mawazo hayo basi muda sio mrefu utarudi Dar pamoja na kuku wa Mama
Kuanza na kuku 15 saizi unawaza kuwa na kuku laki 1, unadhani wafugaji wenzio walio kwenye tasnia kabla yako hawajui hayo madawa na chanjo?
Huwajui kuku vizuri wewe, Kwa sasa we furahia tu hao vifaranga 70 Kwa sababu wapo ndani ya uwezo wako na ata wafike 500 still wanaweza wakawa ndani ya uwezo wako
ila ukitaka kujua kuwa inawezekana unawaza ukiwa umeshiba sana au Una njaa sana basi Piga hesabu ya gharama ya kulisha kuku 5000 tu ndio utajua kuwa unaota ndoto ukiwa ndani ya Maji
Anyway, All the best mkuu
Nmekaa kijijini kidogo, nmegundua watu wa mjini ukipiga nao story kuhusu kijiji hua wanakitazama kijiji kwa jicho la mjini hivyo ideas zao hua wanadhan kinachoendelea town bas unaweza ukahamishia kijiji na ika work... No, no, si hivyo mkuu. Iko hivi..Namaanisha kibiashara. Kuku wa kienyeji anatumia miezi sita kuwa mkubwa wa kulika wakati chotara anatumia miezi mitatu hadi minne. Kibiashara ilo gape la muda lina maana kubwa sana.
Kuku wa kienyeji ukiwafuga kibiashara (sio free range) wana gharama sana halafu soko lake ni gumu kutokana na bei ambayo inajumuisha gharama za kuwatunza
Kuku wa mayai wana faida sana ila unapaswa kuwa na mtaji wa kutosha kuwalisha miezi sita kabla hawajaanza kutaga
Wanyama wana mzunguko mzuri kwa wawekezaji wanaotaka faida ya haraka maana wakifika kuanzia wiki nne wanakuwa tayari kuuzwa ingawa faida yao si kubwa sana
Kwa ushauri wangu kama mdau wa sekta hii kufuga kuku laki moja wa kienyeji sio jambo zuri unless uwe na soko zuri la kimkataba kabisa. Ngumu sana kukuta watu wanaonunua kuku kwa wingi kama wale wa mikutano au harusi kutumia kuku wa kienyeji. Wa nyama wanamzunguko mkubwa sana na ni nafuu. Kienyeji tunakula kwenye matukio muhimu tu
Ndoto za alinachaDawa za kinga na chanjo nazijua, chakula ni uhakika kwakua kuna mashine ya kukoboa na kusaga unga wa mahindi. Eneo lipo la kutosha na maji ya kumwaga.
Mtaji ni kuku 15 niliowakuta hapahapa kwa mama. Hakika nataka niwe milionea kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji. Hakika huu mradi nauheshimu maana mpaka sasa nimefanikiwa kuzalisha vifaranga 70 na kuna kuku wanataga na wengine wameatamia.
Hakika najuta kupoteza muda dar miaka yote hiyo. Japo siwezi sema nilipoteza muda kutokana na elimu niliyoipata isiyo rasmi
Free range kuku laki mojaNmekaa kijijini kidogo, nmegundua watu wa mjini ukipiga nao story kuhusu kijiji hua wanakitazama kijiji kwa jicho la mjini hivyo ideas zao hua wanadhan kinachoendelea town bas unaweza ukahamishia kijiji na ika work... No, no, si hivyo mkuu. Iko hivi..
Mtoa mada amesema yuko kijiji right? Kwanza choice yake ya kuamua kufuga kuku wa kienyej it's the perfect choice kulingana na MAZINGIRA aliyopo sababu kuu ikiwa eneo, (km analo au atanunua, even one acre or more than that) it's ok maeneo vijijini yapo, mpaka ukitaka pori upasue msitu ww mwenyewe sawa tu hivyo idadi ya kuku 100k inawezekana tu kikubwa MANAGEMENT.
Pili upatkanaji wa chakula ni rahisi kdg, hasa materials km pumba na mashudu akitaka kufuga boilers au chotara kupata chakula chake itamsumbua sn na kwanza kule hawana soko, utajipa headache bure kikubwa afuge kwa kuzingatia anabana cost of production as well as he can. Tena kwa ushauri afuge free range akitaka kuwaweka ndani cost of production lazma zitapanda.
😂😂 bado nafuga, tena mambo yamepamba moto kwa sasa...inabidi anitafte sasa tena aje shambani kabisa.Nipo sana, sema tunapishana tu.
Bado unaendelea na ufugaji? Mpe uzoefu wako mleta mada
Wana utani hawa, wanaongea vitu wasivyovijuaFree range kuku laki moja
Kuna kitu mkuu unakosea sana, hakuna aliekataa mazingira ya kijijini kuwa hayako favourable Kwa ajili ya ufugaji wa kuku na hasa free range systemNmekaa kijijini kidogo, nmegundua watu wa mjini ukipiga nao story kuhusu kijiji hua wanakitazama kijiji kwa jicho la mjini hivyo ideas zao hua wanadhan kinachoendelea town bas unaweza ukahamishia kijiji na ika work... No, no, si hivyo mkuu. Iko hivi..
Mtoa mada amesema yuko kijiji right? Kwanza choice yake ya kuamua kufuga kuku wa kienyej it's the perfect choice kulingana na MAZINGIRA aliyopo sababu kuu ikiwa eneo, (km analo au atanunua, even one acre or more than that) it's ok maeneo vijijini yapo, mpaka ukitaka pori upasue msitu ww mwenyewe sawa tu hivyo idadi ya kuku 100k inawezekana tu kikubwa MANAGEMENT.
Pili upatkanaji wa chakula ni rahisi kdg, hasa materials km pumba na mashudu akitaka kufuga boilers au chotara kupata chakula chake itamsumbua sn na kwanza kule hawana soko, utajipa headache bure kikubwa afuge kwa kuzingatia anabana cost of production as well as he can. Tena kwa ushauri afuge free range akitaka kuwaweka ndani cost of production lazma zitapanda.