Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhHamna hiyo,karudi Dar mdau na kuku 1 wa kubanika wa mwisho.
Wengine mdondo.
Kuna graduate dropper yaani mhitimu msaka ajira zikabuma, leo ni milionea alianza na kuku 3 tena alipewa na shangazi yake alifaulu kuwamanage wakaazaana na kuongezeka ana supply mayai na kuku Kenya yote.
Ngoja nikupe mchanganuo wa mradi wangu wa broilers
Hapa sijaweka eneo ambalo nilinunua milioni 20 kiasi cha Sqm 5900...
Hata eka 10 haitoshi kwa kuku laki moja. Afanye jaribio tu kuku 500 awaweke kwenye eneo la ekari 5 aone wanavyotawanyika na kusambaa shamba lote. Kumbuka kuku wa kienyeji kama hauna mazingira ya wao kujilisha kwenye nyasi na wadudu huko nje kama unategemea mfuko wako lazima ulie.Kuzalisga sawa ila kuwalisha ndo utakwama hapo. Labda uwe na pori lakufikia eka 5 hadi 10 then fuga kwa kuwaachia wajilishe wenyewe
Bank za wapi hizo zinatoa mkopo dhamana ikiwa kuku?Akienda Bank au taasisi za kukopesha, kuku wanaweza tumika kama dhamana.
Hakuna tena hakuna...kuku 10k tu mziki wake atasimulia....labda kufurahisha JF sawa uhalisia atapasuka 10k tu hafikiBank za wapi hizo zinatoa mkopo dhamana ikiwa kuku?
Hii ni Meme au ndio uhalisia?[emoji23]Hamna hiyo,karudi Dar mdau na kuku 1 wa kubanika wa mwisho.
Wengine mdondo.
acheni kumdanganya mtu. Benki hata ukiwaambia umejenga nyumba iwe dhamana kama haina hati na eneo halijapimwa hawakubali katu. sembuse kuku ambao kideri ikiwapitia tu wanasambaratika woteAkienda Bank au taasisi za kukopesha, kuku wanaweza tumika kama dhamana.
[emoji1][emoji1]kwaiyo mwamba anaota?Angekuwa na hizo rasilimali asingeenda Kijijini "kwa Mama".
Anyway ni ruksa kuota
Ila ndyo ukweli kuku 15 kufika 1000 cio leo na sio kimahesabu ya kichwa tuYaani bana watu Kama wewe yaani wewe kushindwa kwako Basi unajua naye Ni Kama wewe. Tunatofautiana mkuu. Motivation yako sio ya kaangu
Na cjui chakula ni pumba tu hakuna mixumempa ukweli mchungu kulisha kuku laki1 kisa kuna mashine ya kukoboa karibu kijana analeta masikhara uyu
Your limitations exist only in your own mind or oneselfIla ndyo ukweli kuku 15 kufika 1000 cio leo na sio kimahesabu ya kichwa tu
Ila ndyo ukweli kuku 15 kufika 1000 cio leo na sio kimahesabu ya kichwa tu
nisaidie natk nianze kufung kuku bajet kuki mia tano ipoje ya mayai wa kisasa had kutagaAkitafuta Incubator hata ndogo yenye kufanya kazi vizuri…..the rest is history
Nimecheka sana.Vijana wanatoka shule wakiwa na motivated na mitandao.Mwambie ajaribu kuku 100 kwanza,ndiyo ataelewa Somo ni kwa nini watu hatufugi Kuku wa kienyeji kwa idadi ya broilerEndelea kujifurahisha na kufurahisha wengine, ila kiuhalisia ni kwamba Huwezi kuwa na kuku laki moja
Unawajua kuku laki 1 au unawaskia tu? Hiyo mashine unayosema ipo ya kusaga haina uwezo wa kuhudumia kuku laki 1 Kwa siku
Ni vizuri kama umeamua kukimbia Dar na kurudisha mpira Kwa goal kipa ila kama ndo umerudi na mawazo hayo basi muda sio mrefu utarudi Dar pamoja na kuku wa Mama
Kuanza na kuku 15 saizi unawaza kuwa na kuku laki 1, unadhani wafugaji wenzio walio kwenye tasnia kabla yako hawajui hayo madawa na chanjo?
Huwajui kuku vizuri wewe, Kwa sasa we furahia tu hao vifaranga 70 Kwa sababu wapo ndani ya uwezo wako na ata wafike 500 still wanaweza wakawa ndani ya uwezo wako
ila ukitaka kujua kuwa inawezekana unawaza ukiwa umeshiba sana au Una njaa sana basi Piga hesabu ya gharama ya kulisha kuku 5000 tu ndio utajua kuwa unaota ndoto ukiwa ndani ya Maji
Anyway, All the best mkuu