Nataka Tundu Lissu Ashindwe ili Ajirudi, Atubu na Aseme Ukweli

Hajasusiwa, wanaogopa kuitwa wala rushwa,

Not a weak contender- bravo! time will tell
 
Kwamba FAM alikuwa muuza unga?

Future can be calculated, hakuna dua la kuku...

Hizo brainy mlizokuwa mnalilia zimzunguke ashaziteua zote.. bado moja kutoka CCM mambo yawe mazuri
 
🚮
 
Unajua nilipokuwa nasoma uzi wako i thought ningekutana na facts au relative truth but they again ni whishful thoughts, wanting someone to fail ili upate somekind od satsfaction?

Come on man
Not Satisfaction.
Bad behavior and character can be stopped by learning,
Kwenye politics hakuna relative truth, kuna opinions..
 
Pole, lissu
Lissu kiboko, Kuna tetesi ccm wanataka kubadilisha secretariet kwa sababu ya mzalendo lissu.
 
Kwamba FAM alikuwa muuza unga?

Future can be calculated, hakuna dua la kuku...

Hizo brainy mlizokuwa mnalilia zimzunguke ashaziteua zote.. bado moja kutoka CCM mambo yawe mazuri
Narudia tena Lisu sio muuza unga, ataendesha chama kama taasisi ya watu na sio mali yake. Wanachama wakishindwa kukichangia chama sio kosa lake, yeye wajibu wake ni kuongoza mageuzi.
 
Umeandika ujinga mtupu
 
Ccm daima
 
Wewe ni mchaga toleo la mwisho.

Hata ukinuna kazi itapigwa.
Hata ukipinga watu watafurahi.
 
Tulieni Mnyooshwe, Hii ni Chadema mpya, inayoenda kushika dora kwa kishindo kikuuu

Lissu Kawashinda Mbowe na Serikali sasa mmepagawa mmegeukankua watabili
Lissu=Trump wa bongo
 
Wewe ni mchaga toleo la mwisho.

Hata ukinuna kazi itapigwa.
Hata ukipinga watu watafurahi.
Hivi kuna matoleo...?

Wewe ni toleo la ngapišŸ˜‚

Mtapiga kazi au mtapigika kama viazi?

Subir harakati za bla bla zianze tuone mwisho wake ..
 
Unajiumiza nafsi na moyo wako bure tu...

Unaweza vipi kupingana na mpango wa Mungu...?

Utaweza vipi kupambana na mtu mwenye HAKI...?

Mawazo yako ya kishetani yashindwe kwa jina la Yesu Kristo aliye hai...

MAOMBOLEZO 3:37,39 SUV

".....Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza
? Mbona anung’unika mwanadamu aliye hai Mtu akiadhibiwa kwa dhambi zake....?"


ISAYA 54:17 SUV
".....Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA...."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…