Nataka Tundu Lissu Ashindwe ili Ajirudi, Atubu na Aseme Ukweli

Nataka Tundu Lissu Ashindwe ili Ajirudi, Atubu na Aseme Ukweli

Uchaguzi umeisha na Mbowe ameshindwa kihalali, acheni nongwa na hakuna kuhama chama. Lisu atafanya kwa haki kama alivyoahidi, lakini yeye sio muuza unga, hivyo usitegemee atakuwa na pesa za kumwaga kwenye chama. Ni jukumu la wanachama kuchangia chama chao na sio kusubiri mwenyekiti atoe fedha zake mfukoni. Na hicho chama kikifa kwa kukosa fedha, hilo sio kosa la Lisu bali wanachama wake. Hivyo hili dua lako la kuku litakuacha na msongo wa mawazo bure.
Lisu chama kitamfia
 
Hii najua haitawapendeza wengi wanaotaka mabadiliko katika nchi yetu.

Lakini siasa za uzandiki, fitina, Majungu na kuchafuana mimi sio muumini wake..

toka kipindi Lowassa anaitwa Fisadi, hizi ni siasa chafu na watu wenye nia njema na taifa letu hawatakiwi kuzifumbia macho.

Tanzania kuna wanasiasa na waandishi wa habari wanaojua kutumia kalamu na midomo yao kuchafua wengine mradi tu wanapata kile wanachotaka "Kwa gharama yeyote"mmoja wao ni Tundu Lissu...

Kumbuka wakati wenzako wanakuomba uchangie chama hukutoa hata ndururu ukiwa mbunge, hata kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, mil 30 uliyoombwa hukutoa,

Ila wewe gharama binafsi unasema umetumia mil 40?

Leo unatwambia tuchangie chama ambacho hujawahi kuchangia fedha hata kumi ukiwa financially stable, kwa lipi?

Nevertheless, Kampeni zimeisha na mshindi amepatikana, lakini hatutasahau kamwe hoja hizi....

1. Kwamba CHADEMA Chini ya Mbowe, Maridhiano na Rais hayakuwa na nafasi na alikosea sana kufanya hivyo (Naiskia unaomba mengine)

2. Kwamba Freeman Mbowe kutumia fedha zake binafsi kuendesha chama ni kosa kwakuwa hujui zimetoka wapi

3. Ruzuku na Michango ya Wanachama zinatosha kuendesha chama na kujitegemea

4. Utekaji na kupotea kwa watu CHADEMA chini ya Freeman Mbowe hawakufanya lolote

5. Ubunge viti Maalumu utagawanywa kwa Mpango maalumu na wa kipindi kimoja

6. Viongozi wa sasa Chadema wamepatikana kwa kutoa Rushwa

7. Mahusiaono na Mapendano na serikali ni kitu kisichokubalika..

8. Uchaguzi Usipokuwa huru na Haki patachimbika.

9. Utazuia uchaguzi kufanyika bila mabadiliko ya sheria za uchaguzi "No Reform no Election"

10 . FAM alikuwa amezungukwa na watu wasio na akili nyingi, na sasa wewe umezungungukwa na watu wenye akili nyingi...

11. Fedha za Ruzuku kugawiwa kwenye Kila jimbo kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama.

12. Chama kujitegemea bila kutegemea fedha kutoka kwa watu binafsi...

13. Kuzuia Utekaji nk...


Nataka mfanye yote ila mstick kwenye reli iliyowapa madaraka, hakuna wa kulamba wala kulambishwa asali sasaivi mna timu safi na inayopenda haki...

Mna back up za kila namna... nataka sana mfanikiwe kwenye reli hiyo.. nje ya hapo nataka Ushindwe na chama kikudodee upate wasaliti na wakuchafue zaidi ya hizi propaganda ulizokuwa unaeneza hapa...

Najua kibarua ulicho nacho kuhakikisha wagombea uchaguzi 2025 kwa Ubunge na urais wanapita kwa haki..... Ukitoka nje ya maneno yako nataka chama kisambaratike na ukikimbie kabisa.

Kifupi usipofanya kama ulivyoahidi nataka Ushindwe, Ushindwe na urudi utueleze ukweli na reality on the ground zilikuwa ni zipi.

Bla bla political party wont make it this time around.
Ukitaka kujamba chomoa, utaingizwa tena baadae.
 
Mleta hoja anasema Lissu sio mchangia chama,japo anahubiri Harambee za chama.
Kwa kifupi Lissu si tu mlopokaji tu anajipendelea yeye ndio akina pangu pakavu tia mchuzi.
Ila ni mapema mno kumpa zero readership achievement.
Siku 90 tu tunajua anavaa mawani ipi.
Pole mkuu, mlisema Hana wapiga kura, Kiko wapi😂😂
 
Hii najua haitawapendeza wengi wanaotaka mabadiliko katika nchi yetu.

Lakini siasa za uzandiki, fitina, Majungu na kuchafuana mimi sio muumini wake..

toka kipindi Lowassa anaitwa Fisadi, hizi ni siasa chafu na watu wenye nia njema na taifa letu hawatakiwi kuzifumbia macho.

Tanzania kuna wanasiasa na waandishi wa habari wanaojua kutumia kalamu na midomo yao kuchafua wengine mradi tu wanapata kile wanachotaka "Kwa gharama yeyote"mmoja wao ni Tundu Lissu...

Kumbuka wakati wenzako wanakuomba uchangie chama hukutoa hata ndururu ukiwa mbunge, hata kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, mil 30 uliyoombwa hukutoa,

Ila wewe gharama binafsi unasema umetumia mil 40?

Leo unatwambia tuchangie chama ambacho hujawahi kuchangia fedha hata kumi ukiwa financially stable, kwa lipi?

Nevertheless, Kampeni zimeisha na mshindi amepatikana, lakini hatutasahau kamwe hoja hizi....

1. Kwamba CHADEMA Chini ya Mbowe, Maridhiano na Rais hayakuwa na nafasi na alikosea sana kufanya hivyo (Naiskia unaomba mengine)

2. Kwamba Freeman Mbowe kutumia fedha zake binafsi kuendesha chama ni kosa kwakuwa hujui zimetoka wapi

3. Ruzuku na Michango ya Wanachama zinatosha kuendesha chama na kujitegemea

4. Utekaji na kupotea kwa watu CHADEMA chini ya Freeman Mbowe hawakufanya lolote

5. Ubunge viti Maalumu utagawanywa kwa Mpango maalumu na wa kipindi kimoja

6. Viongozi wa sasa Chadema wamepatikana kwa kutoa Rushwa

7. Mahusiaono na Mapendano na serikali ni kitu kisichokubalika..

8. Uchaguzi Usipokuwa huru na Haki patachimbika.

9. Utazuia uchaguzi kufanyika bila mabadiliko ya sheria za uchaguzi "No Reform no Election"

10 . FAM alikuwa amezungukwa na watu wasio na akili nyingi, na sasa wewe umezungungukwa na watu wenye akili nyingi...

11. Fedha za Ruzuku kugawiwa kwenye Kila jimbo kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama.

12. Chama kujitegemea bila kutegemea fedha kutoka kwa watu binafsi...

13. Kuzuia Utekaji nk...


Nataka mfanye yote ila mstick kwenye reli iliyowapa madaraka, hakuna wa kulamba wala kulambishwa asali sasaivi mna timu safi na inayopenda haki...

Mna back up za kila namna... nataka sana mfanikiwe kwenye reli hiyo.. nje ya hapo nataka Ushindwe na chama kikudodee upate wasaliti na wakuchafue zaidi ya hizi propaganda ulizokuwa unaeneza hapa...

Najua kibarua ulicho nacho kuhakikisha wagombea uchaguzi 2025 kwa Ubunge na urais wanapita kwa haki..... Ukitoka nje ya maneno yako nataka chama kisambaratike na ukikimbie kabisa.

Kifupi usipofanya kama ulivyoahidi nataka Ushindwe, Ushindwe na urudi utueleze ukweli na reality on the ground zilikuwa ni zipi.

Bla bla political party wont make it this time around.
And he is giong to fail measerably maana akina maria Sarungi and Co, Ltd ni madebe ya kutika hayana lolote.
 
Hii najua haitawapendeza wengi wanaotaka mabadiliko katika nchi yetu.

Lakini siasa za uzandiki, fitina, Majungu na kuchafuana mimi sio muumini wake..

toka kipindi Lowassa anaitwa Fisadi, hizi ni siasa chafu na watu wenye nia njema na taifa letu hawatakiwi kuzifumbia macho.

Tanzania kuna wanasiasa na waandishi wa habari wanaojua kutumia kalamu na midomo yao kuchafua wengine mradi tu wanapata kile wanachotaka "Kwa gharama yeyote"mmoja wao ni Tundu Lissu...

Kumbuka wakati wenzako wanakuomba uchangie chama hukutoa hata ndururu ukiwa mbunge, hata kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, mil 30 uliyoombwa hukutoa,

Ila wewe gharama binafsi unasema umetumia mil 40?

Leo unatwambia tuchangie chama ambacho hujawahi kuchangia fedha hata kumi ukiwa financially stable, kwa lipi?

Nevertheless, Kampeni zimeisha na mshindi amepatikana, lakini hatutasahau kamwe hoja hizi....

1. Kwamba CHADEMA Chini ya Mbowe, Maridhiano na Rais hayakuwa na nafasi na alikosea sana kufanya hivyo (Naiskia unaomba mengine)

2. Kwamba Freeman Mbowe kutumia fedha zake binafsi kuendesha chama ni kosa kwakuwa hujui zimetoka wapi

3. Ruzuku na Michango ya Wanachama zinatosha kuendesha chama na kujitegemea

4. Utekaji na kupotea kwa watu CHADEMA chini ya Freeman Mbowe hawakufanya lolote

5. Ubunge viti Maalumu utagawanywa kwa Mpango maalumu na wa kipindi kimoja

6. Viongozi wa sasa Chadema wamepatikana kwa kutoa Rushwa

7. Mahusiaono na Mapendano na serikali ni kitu kisichokubalika..

8. Uchaguzi Usipokuwa huru na Haki patachimbika.

9. Utazuia uchaguzi kufanyika bila mabadiliko ya sheria za uchaguzi "No Reform no Election"

10 . FAM alikuwa amezungukwa na watu wasio na akili nyingi, na sasa wewe umezungungukwa na watu wenye akili nyingi...

11. Fedha za Ruzuku kugawiwa kwenye Kila jimbo kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama.

12. Chama kujitegemea bila kutegemea fedha kutoka kwa watu binafsi...

13. Kuzuia Utekaji nk...


Nataka mfanye yote ila mstick kwenye reli iliyowapa madaraka, hakuna wa kulamba wala kulambishwa asali sasaivi mna timu safi na inayopenda haki...

Mna back up za kila namna... nataka sana mfanikiwe kwenye reli hiyo.. nje ya hapo nataka Ushindwe na chama kikudodee upate wasaliti na wakuchafue zaidi ya hizi propaganda ulizokuwa unaeneza hapa...

Najua kibarua ulicho nacho kuhakikisha wagombea uchaguzi 2025 kwa Ubunge na urais wanapita kwa haki..... Ukitoka nje ya maneno yako nataka chama kisambaratike na ukikimbie kabisa.

Kifupi usipofanya kama ulivyoahidi nataka Ushindwe, Ushindwe na urudi utueleze ukweli na reality on the ground zilikuwa ni zipi.

Bla bla political party wont make it this time around.
Mbona ameshaanza kufail.........
 
Hii najua haitawapendeza wengi wanaotaka mabadiliko katika nchi yetu.

Lakini siasa za uzandiki, fitina, Majungu na kuchafuana mimi sio muumini wake..

toka kipindi Lowassa anaitwa Fisadi, hizi ni siasa chafu na watu wenye nia njema na taifa letu hawatakiwi kuzifumbia macho.

Tanzania kuna wanasiasa na waandishi wa habari wanaojua kutumia kalamu na midomo yao kuchafua wengine mradi tu wanapata kile wanachotaka "Kwa gharama yeyote"mmoja wao ni Tundu Lissu...

Kumbuka wakati wenzako wanakuomba uchangie chama hukutoa hata ndururu ukiwa mbunge, hata kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, mil 30 uliyoombwa hukutoa,

Ila wewe gharama binafsi unasema umetumia mil 40?

Leo unatwambia tuchangie chama ambacho hujawahi kuchangia fedha hata kumi ukiwa financially stable, kwa lipi?

Nevertheless, Kampeni zimeisha na mshindi amepatikana, lakini hatutasahau kamwe hoja hizi....

1. Kwamba CHADEMA Chini ya Mbowe, Maridhiano na Rais hayakuwa na nafasi na alikosea sana kufanya hivyo (Naiskia unaomba mengine)

2. Kwamba Freeman Mbowe kutumia fedha zake binafsi kuendesha chama ni kosa kwakuwa hujui zimetoka wapi

3. Ruzuku na Michango ya Wanachama zinatosha kuendesha chama na kujitegemea

4. Utekaji na kupotea kwa watu CHADEMA chini ya Freeman Mbowe hawakufanya lolote

5. Ubunge viti Maalumu utagawanywa kwa Mpango maalumu na wa kipindi kimoja

6. Viongozi wa sasa Chadema wamepatikana kwa kutoa Rushwa

7. Mahusiaono na Mapendano na serikali ni kitu kisichokubalika..

8. Uchaguzi Usipokuwa huru na Haki patachimbika.

9. Utazuia uchaguzi kufanyika bila mabadiliko ya sheria za uchaguzi "No Reform no Election"

10 . FAM alikuwa amezungukwa na watu wasio na akili nyingi, na sasa wewe umezungungukwa na watu wenye akili nyingi...

11. Fedha za Ruzuku kugawiwa kwenye Kila jimbo kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama.

12. Chama kujitegemea bila kutegemea fedha kutoka kwa watu binafsi...

13. Kuzuia Utekaji nk...


Nataka mfanye yote ila mstick kwenye reli iliyowapa madaraka, hakuna wa kulamba wala kulambishwa asali sasaivi mna timu safi na inayopenda haki...

Mna back up za kila namna... nataka sana mfanikiwe kwenye reli hiyo.. nje ya hapo nataka Ushindwe na chama kikudodee upate wasaliti na wakuchafue zaidi ya hizi propaganda ulizokuwa unaeneza hapa...

Najua kibarua ulicho nacho kuhakikisha wagombea uchaguzi 2025 kwa Ubunge na urais wanapita kwa haki..... Ukitoka nje ya maneno yako nataka chama kisambaratike na ukikimbie kabisa.

Kifupi usipofanya kama ulivyoahidi nataka Ushindwe, Ushindwe na urudi utueleze ukweli na reality on the ground zilikuwa ni zipi.

Bla bla political party wont make it this time around.
Yaani unapoteza mda wako kwa kuandika ugoro huu. Si ungetumia mda wako kutetea bandari zilizo uzwa kwa warabu. Au kukemea ujinga wa ccm inao wafanyia watanzania?
 
Kwamba FAM alikuwa muuza unga?

Future can be calculated, hakuna dua la kuku...

Hizo brainy mlizokuwa mnalilia zimzunguke ashaziteua zote.. bado moja kutoka CCM mambo yawe mazuri
Maana yake ccm haiwezi kushindana na chadema bila policcm?
 
Hakuna mtu mwenye akili nzuri atatoa fedha kwa mhuni,mlaghai....
Ikiwa wewe hutatoa haijawa sababu na wengine wasitoe. Mnamchukia Lissu kisa ameshinda ila haijaondoa ukweli wa yeye kutokukalia ushindi wake.
 
Hii najua haitawapendeza wengi wanaotaka mabadiliko katika nchi yetu.

Lakini siasa za uzandiki, fitina, Majungu na kuchafuana mimi sio muumini wake..

toka kipindi Lowassa anaitwa Fisadi, hizi ni siasa chafu na watu wenye nia njema na taifa letu hawatakiwi kuzifumbia macho.

Tanzania kuna wanasiasa na waandishi wa habari wanaojua kutumia kalamu na midomo yao kuchafua wengine mradi tu wanapata kile wanachotaka "Kwa gharama yeyote"mmoja wao ni Tundu Lissu...

Kumbuka wakati wenzako wanakuomba uchangie chama hukutoa hata ndururu ukiwa mbunge, hata kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, mil 30 uliyoombwa hukutoa,

Ila wewe gharama binafsi unasema umetumia mil 40?

Leo unatwambia tuchangie chama ambacho hujawahi kuchangia fedha hata kumi ukiwa financially stable, kwa lipi?

Nevertheless, Kampeni zimeisha na mshindi amepatikana, lakini hatutasahau kamwe hoja hizi....

1. Kwamba CHADEMA Chini ya Mbowe, Maridhiano na Rais hayakuwa na nafasi na alikosea sana kufanya hivyo (Naiskia unaomba mengine)

2. Kwamba Freeman Mbowe kutumia fedha zake binafsi kuendesha chama ni kosa kwakuwa hujui zimetoka wapi

3. Ruzuku na Michango ya Wanachama zinatosha kuendesha chama na kujitegemea

4. Utekaji na kupotea kwa watu CHADEMA chini ya Freeman Mbowe hawakufanya lolote

5. Ubunge viti Maalumu utagawanywa kwa Mpango maalumu na wa kipindi kimoja

6. Viongozi wa sasa Chadema wamepatikana kwa kutoa Rushwa

7. Mahusiaono na Mapendano na serikali ni kitu kisichokubalika..

8. Uchaguzi Usipokuwa huru na Haki patachimbika.

9. Utazuia uchaguzi kufanyika bila mabadiliko ya sheria za uchaguzi "No Reform no Election"

10 . FAM alikuwa amezungukwa na watu wasio na akili nyingi, na sasa wewe umezungungukwa na watu wenye akili nyingi...

11. Fedha za Ruzuku kugawiwa kwenye Kila jimbo kwa ajili ya kuendesha shughuli za chama.

12. Chama kujitegemea bila kutegemea fedha kutoka kwa watu binafsi...

13. Kuzuia Utekaji nk...


Nataka mfanye yote ila mstick kwenye reli iliyowapa madaraka, hakuna wa kulamba wala kulambishwa asali sasaivi mna timu safi na inayopenda haki...

Mna back up za kila namna... nataka sana mfanikiwe kwenye reli hiyo.. nje ya hapo nataka Ushindwe na chama kikudodee upate wasaliti na wakuchafue zaidi ya hizi propaganda ulizokuwa unaeneza hapa...

Najua kibarua ulicho nacho kuhakikisha wagombea uchaguzi 2025 kwa Ubunge na urais wanapita kwa haki..... Ukitoka nje ya maneno yako nataka chama kisambaratike na ukikimbie kabisa.

Kifupi usipofanya kama ulivyoahidi nataka Ushindwe, Ushindwe na urudi utueleze ukweli na reality on the ground zilikuwa ni zipi.

Bla bla political party wont make it this time around.
Mchawa! Ulitaka Mbowe ashinde ulinusa hatari yake kwa chama? Mchawa mkubwa wewe!
 
Back
Top Bottom