Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio uvivu ni umaskin uliokithir vijana wanatafuta namna za kujikwamua kila mtu ana njia zake, si unaskia huko sirikalin watu wanapiga pesa, uantaka kuniambia ni wavivu? [emoji23][emoji23]Skuizi vijana wengi wamekua wavivu grade 1
Si umesema "Ujasiri ninao,liwalo na liwe"ujinga huo.jombaa, unakaa frontline unawapigania watu huku wanasiasa wako wamevimba matumbokwa ulafi wa madaraka wamekaa kwenye ac wanawatuma nyie mpigane ..
rais chikwera atanishangaa kwamba nazunguka.malawi yote kutafuta hio inshu bila kujua mahala sahihi unaenda moja kwa mojaPole sana kijana, ingia Malawi huko ukachekeche vibuyu
utapata bahat y wachache, weng wao unamaliza nguv zako tu bure na shahawa bure mwisho wa siku unaambulia ziro..halaf mambo haya ya kutegemea mimama ikutoe kimaisha ni ushubwada tu.Nakuunga mkono.
Bora shangazi, unajipooza, na bado linakuinua.
Kwa upande wa utajir wa giza/mizimu/majiniSi umesema "Ujasiri ninao,liwalo na liwe"
nambiwa kuna majin maskin pia walalahoi ndio.hao unaowazungumzia naamin.
Pia kuna majini walaghai, matapeli na mabasha, watakumega kwa mkopo.nambiwa kuna majin maskin pia walalahoi ndio.hao unaowazungumzia naamin.
kazi zipi, za saidia fundi ama zipi ambazo sijawai fanya na nyingin wew huwez hata kuwaza kua utakuja fanya
Mcheki yule dogo wa tiktok Chief Godlove naona ana njia ya kupata pesa lakini kinachokuza kwa urahisi huwa kina masharti na hakidumunambiwa kuna majin maskin pia walalahoi ndio.hao unaowazungumzia naamin.
AhahahaKwa konekshen ya utajir huo na Mm naitaka. Potelea mbali wazeee kufa kupo tu
Upo tayari kumtoa mama yako mzazi kafara?Nataka kuukaribia utajiri wa giza, utajiri wa mkataba, utajiri wa mizimu ama majini, connection naombeni, umaskini ni laana wazee mnaelewa?
Au mnataka niwe kama wengine waliojikatia tamaa halafu wanakuja kuwaaga kua wanajiua, halafu wakifa ndio mnawanunulia suti za bei mbaya na jeneza la bei mbayaa..inasaidia nini kwa mfu..leten konekshen tujitose ,, ujasiri ninao nshaamua liwalo na liwe..
Naskia uchungu sana huu umasikini [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
kazi zipi, za saidia fundi ama zipi ambazo sijawai fanya na nyingin wew huwez hata kuwaza kua utakuja fanyaPia kuna majini walaghai, matapeli na mabasha, watakumega kwa mkopo.
Fanya kazi ndugu yangu, hakuna pesa ya msesereko isiyo na madhara.
kuna nini huko ambako huwez kukisema hapaBadala ya kupita hiyo njia fanya uende Luxembourg tu