GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
TISS hawawezi kuwa na a Dolt and Mental kama Wewe sawa? Kuna Watu hapa tuna Akili Kubwa kuliko zako na zilizoko katika Koo zako zote Mbili.Hopeless like you mother?
Pumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TISS hawawezi kuwa na a Dolt and Mental kama Wewe sawa? Kuna Watu hapa tuna Akili Kubwa kuliko zako na zilizoko katika Koo zako zote Mbili.Hopeless like you mother?
Brother pole sana mimi yalinishinda nimehamia canada.. na wewe kama unataka kuishi hama nchi unayofanya hizo kazi la sivyo kifo kinakuhusu, utakuja kunishukuru baadae.Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
huyu sio TISS ni tapeli tu aliyeshiba dona.Hakuna cha ethics jamaa amechoka kuua ,kutesa, na kuteka kwa maslahi ya Chama.
Yaani TISS ninayoifahamu Mimi na iliyonilea ( Kimalezi ) tokea Utotoni ( Chole Road Oysterbay ) kupitia Wabobezi wake akina Marehemu Mzee Apson ( Baba Jimmy ), akina Marehemu Mzee Kuyomba, Kamalamo, Mzee kitundu, Balozi Mzee Nzagi, Mzee Christopher Nyirabu, Mzee Mkanzabi, Marehemu Mzee Simon Mohammed, Mzee Mbogo wa Mkadini Street Oysterbay, Mzee Malwelwe, Balozi Zoka na aliyekuwa Principal wa Chuo Chao Malindi Mzanaki Mwenzangu Mzee 'Brazameni' Wandiba na Wengineo kadhaa iajiri kweli Pumbavu na Punguwani Mwandamizi kama huyu Lumumbashi anayetupotezea muda Wetu hapa?Wee uliingizwa TISS kikabila
Siyo kweli bhana mbona mnakuza sana hii kszi?Mimi nina 4 years nakomaa... Pole sana mkuu. Ukiacha umekwisha labda uwe na sababu zenye mashiko.