Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda TISS ya babako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda TISS ya babako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣With that state of mind, you've never been part of the bees..
Furahisha genge...
Kwani TISS wanaandikaje, TISS wa bongo mnawa overate sana.
Walah na afadhali sikua Moderator maan nahis hadi mim siku moja ningejipiga ban walahna kama ataendelea kupost nyuzi za hivi kuchafua kazi za watu, mmh.
na alivyo popoma, anaweka namba za simu et atumiwe hela ahahah huyu atakuja kutumiwa combola, na hapo ndipo atajua maana ya TISS
Uandishi wa mtu humu JF unasadifu akili yako na mazingira yako.We ni psychopath mkubwa? Mimi mbona ninayo maendeleo? Hao vijana wenzako wakiniiga mmepotea
Kwamba hawana ndugu?Hizi taarifa huwa mnaziokoteaga wapi !!?
Hakuna cha ethics jamaa amechoka kuua ,kutesa, na kuteka kwa maslahi ya Chama.Uliingia either kimchongo au yawezekana spoter hakufanya vetting ya kutosha, maana hata ethics za kazi hujui.
Huu uzi 100% ni uongo namna tiss wanavyopewa zile device zao zinazofanana na simu na kupewa mashart flan juu yake (siwezi kuyataja hapa) huwezi andika huu uchokoraa wasikujue maana huacha alama ya tracking na tracing kumbuka kanuni yao kuu Kati ya nyingi (mbele ya mtu kuna mtu na nyuma ya mtu kuna mtu)Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa 0sababu ya kuilinda taasisi.Wakuu hii job ni mzuri interm of salary and allowance but ni Maputo sana.
Mnakumbukwa kutekwq kwa msaani fulani maarufu wa jimbo za kiharakati?tajiri maalufu je? Yule kada wa chadema mbeya ? Si mnakumbuka? I was among folks who involved kwenye ile mishe aisee na nyingi nyinginezo hii kazi task sio poa aisee
Nawasilisha mods msifute huu uzi tafadhali
Huu uzi 100% ni uongo namna tiss wanavyopewa zile device zao zinazofanana na simu na kupewa mashart flan juu yake (siwezi kuyataja hapa) huwezi andika huu uchokoraa wasikujue maana huacha alama ya tracking na tracing kumbuka kanuni yao kuu Kati ya nyingi (mbele ya mtu kuna mtu na nyuma ya mtu kuna mtu)
Kipindi cha Bashite inawezekana[emoji23][emoji23][emoji23] mtu mmoja hawezi kushiriki hizo OP zote ndani ya miaka 3
Pole saana kwa stress za kukosa nafasi tiss kitu ambacho kimefanya uwachukie mm mwenyewe nachukia jeshi letu hili dhaifu baada ya jamaa wa ikulu kushindwa kunipeleka MSATA nikale kozi ya ajira JW [emoji24][emoji24]
Nakubaliiiiiiiiiii mwanetuuuuuuuuu😂😂😂😂😂Huge than Jada Steven's butty??
Uchokoraa like wise
Acha ujinga ndugu hakuna usalama taifa mwenye akili ndogo Kama yako,,be care nakuambia kama umeshiba laalUnjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Unjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Nilitaka kuandika hivo umeniwahi.Kwani TISS wanaandikaje, TISS wa bongo mnawa overate sana.
Tangazo limekaa utamu sana natumaini huko Pm wananzengo soon watajaaUnjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha