Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
So?Umasikini wa kwako nani unamnunia? Kaondoe laana huko kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So?Umasikini wa kwako nani unamnunia? Kaondoe laana huko kwenu
Ndio uje uni judge mie
Kuna pisi kali anaifukuzia humu. Kaanzisha uzi kuwin gameTISS wa mchongo huyu.
Go forth and multiplyNdio uje uni judge mie
For what? Hawajui kuoga sio type yanguKuna pisi kali anaifukuzia humu. Kaanzisha uzi kuwin game
Si muliwaua akina ben sanane na damu yao inawaliliaUnjani sabuwona.
Wakuu nipo hapa kuwaambia huu mwaka haupiti kabla sijaacha kazi ya usalamaa wa Taifa (Tiss) maana siku baada siku iendayo kwa mungu regression point inaniwazisha.
Wakuu huu ni mwaka wa tatu tokea nipo usalama wa Taaifa ila nitaficha site yangu ya kazi because of my life nawindwa sana.
Majuto na stress kwangu haziishi japo napata pesa za kutosha na marupurupu ila peace of mind ni kitu nakosa aisee.
Nimefanya mishe kibao kwakweli nyingine ni siri siwezi weka hapa kwa sababu ya kuilinda taasisi. Wakuu hii job ni mzuri in terms of salary and allowance but ni Majuto sana.
Nawasilisha
Unawapongeza kwa kazi ipi ya maana walifanya.rushwa kila sehemu,maliasili yanatoroshwa kila siku na wao wpo wapo tuLabda Tiss ya Nyokoo Siyo Tiss hii Usalama wa Taifa. Ni job fulani hivi Amazing yaani full confidence Good life Matarajio kibao Kama fitina zipo kila Idara . Halafu unajua hakuna Afisa wa Tiss anakialia Mitandaoni. Hivi unaelewa maana ya watu wa System au unaropoka tu. Mimi huwa muda wote nawapongeza tu .
Damu ina mdomo?Si muliwaua akina ben sanane na damu yao inawalilia
Kasome fasihiDamu ina mdomo?
Tanzania Kuna mtaji Mkubwa wa wajinga ukweli uko wazi TISS wako bize kupambana na wapinzani wa ccm na sio maslai ya TanzaniaWabongo sijuinwakoje yan....badala ya kumsifu mtoa mada yanamgeuka tena...inamaana yanapenda kuendelea kutekwa na kuuliwa kwa kuipinga CCM??
Kwa aina hii ya watanzania CCM itakuwepo mpaka mwaka 3700
TISS wa Tanzania kigezo kikubwa ni kuwa kada wa ccm kwanza hayo mambo ya akili yanafuata baadaeWapo wengine ni weupe kabisa kichwani. Niliwahi kukutana nao kama watatu hivi. Yaani nilibaki nimeduwaa kwa utendaji mbovu namna ile. Hata mimi "layman" nilijiona nina akili kubwa kuliko yale maboya niliyokutana nayo.
Hata mshahara wa kwanza bado tayari unavimba hivyo kijana?Damu ina mdomo?
Daa! Hili ni kosa kubwa sana kuifanyia Taasisi nyeti kama hii. Inasikitisha sana!TISS wa Tanzania kigezo kikubwa ni kuwa kada wa ccm kwanza hayo mambo ya akili yanafuata baadae
Snowden marekani anaonekana hero, bongo angeonekana msalitiTanzania Kuna mtaji Mkubwa wa wajinga ukweli uko wazi TISS wako bize kupambana na wapinzani wa ccm na sio maslai ya Tanzania
Nakubaliana nawe. Vijana wamekuwa cheap sana as whatever comes in their mind they can post in here.Labda TISS ya babako
na kama ataendelea kupost nyuzi za hivi kuchafua kazi za watu, mmh.Aisee huyu ni jini mahaba walah