Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

Mkuu MILL8 unataka kuwa kama Thomas Beatie, yeye alibeba mimba yake ya kwanza mwaka 2008 na sasa hivi ana watoto watatu. Wewe unataka kubeba mimba mara ngapi mkuu?
dume mimba.PNG
dume mimba b.PNG

Picha ya kwanza kushoto ni Thomas Beatie akiwa na mimba yake ya kwanza na picha ya pili kulia akiwa na mtoto wake wa kwanza.

Lakini huyu alizaliwa kama "mwanamke" akiwa na "Uke" na "tumbo la uzazi" sema alijibadilisha na kuwekewa "uume" na kuwa kama mwanaume, isipokuwa "uke" wake haukuondolewa ndiyo maana aliweza kubeba mimba pale alipoamua kuzaa.

Swali ni je! Wewe ndugu yetu MILL8 unao UKE????
 
Mkuu MILL8 unataka kuwa kama Thomas Beatie, yeye alibeba mimba yake ya kwanza mwaka 2008 na sasa hivi ana watoto watatu. Wewe unataka kubeba mimba mara ngapi mkuu?
View attachment 780776 View attachment 780777
Picha ya kwanza kushoto ni Thomas Beatie akiwa na mimba yake ya kwanza na picha ya pili kulia akiwa na mtoto wake wa kwanza.

Lakini huyu alizaliwa kama "mwanamke" akiwa na "Uke" na "tumbo la uzazi" sema alijibadilisha na kuwekewa "uume" na kuwa kama mwanaume, isipokuwa "uke" wake haukuondolewa ndiyo maana aliweza kubeba mimba pale alipoamua kuzaa.

Swali ni je! Wewe ndugu yetu MILL8 unao UKE????
Ila hizi transgender ziko nying tu..
Pengine Mill8 ni mmoja ya waliopata ujasiri wa kutoka hadharan...

Haya Mzee Bibi , Zaa zako kwa raha zako
 
Mkuu MILL8 unataka kuwa kama Thomas Beatie, yeye alibeba mimba yake ya kwanza mwaka 2008 na sasa hivi ana watoto watatu. Wewe unataka kubeba mimba mara ngapi mkuu?
View attachment 780776 View attachment 780777
Picha ya kwanza kushoto ni Thomas Beatie akiwa na mimba yake ya kwanza na picha ya pili kulia akiwa na mtoto wake wa kwanza.

Lakini huyu alizaliwa kama "mwanamke" akiwa na "Uke" na "tumbo la uzazi" sema alijibadilisha na kuwekewa "uume" na kuwa kama mwanaume, isipokuwa "uke" wake haukuondolewa ndiyo maana aliweza kubeba mimba pale alipoamua kuzaa.

Swali ni je! Wewe ndugu yetu MILL8 unao UKE????
Kwa ufupi tu sina uke
 
Kwa ufupi tu sina uke
Bila Uke na tumbo la uzazi utabebaje mimba sasa?? Ili uweze kubeba mimba unatakiwa kuwa na hivyo viungo, wewe huna sasa huoni kama hilo ni jambo lisilowezekana kwako??

Au uliandika tu huu uzi ili kuchangamsha kijiwe?
 
Sio kazi yangu kuhukumu ila sioni kama kuna faida hapa duniani kuwa na kiumbe hai kama wewe, mwanaume rijali wa kiafrika hawezi tamani upuuzi huu unaoutamani wewe.

Ningekuwa mods ningeondoa hii Thread, JF inaanzaje kutunzwa kwa nyuzi kama hizi.
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
*na bado unapambana*
Pambana tu kufumuliwa marinda, mtoto sio rizik ww
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Je, wewe ni shoga ? Au ni mawazotu yanakunyemelea.
 
Bado una nafasi kwa nn? Usibebe iyo mimba mpaka uje uombe msaada kwa jamii
 
Back
Top Bottom